Trending Videos
Title: SIMI - Duduke (Official Video)
Apr 23
SIMI - Duduke (Official Video)
Apr 22
Alikiba - DODO (Official Music Video)
Jan 1
Happy New Year
Dec 17
Rais Dr Magufuli awahakikishia watanzania...
Dec 12
Rais John Pombe magufuli atangaza baraza la...
Dec 9
Mh.Mwamunyange aongoza kikosi chake cha Jeshi...
Dec 4
Rais Dr Magufuli atoa siku 7 kwa...
Nov 27
WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA YAKUSHTUKIZA BANDARINI...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/MQ1JVxNaan8/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m_4yaANm3NQ/XvhSbnpNLEI/AAAAAAALvxQ/L2mARfGUE34Yut2ulyBDVmmB4ZdzDXL6ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B11.13.23%2BAM.jpeg)
ALICHOKISEMA WAZIRI JAFO KWA RAIS DK.MAGUFULI KUHUSU KISARAWE, ASEMA YEYE NI FUNDI SELEMALA
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemeani Jafo amemshukuru Rais Dk.John Magufuli kwa kumuamini na kumteua kwenye nafasi hiyo ya uwaziri licha yeye ni fundi selemala huku akimhakikishia kuendelea kufanya kazi kwa juhudi zake.
Jafo amesema hayo leo Juni 27,2020 wakati wa uzinduzi wa mradi wa maji wilayani Kisarawe ambapo Rais Magufuli ameuzindua rasmi na hivyo kutatua changamoto ya tatizo la maji ambalo limewakabili kwa muda mrefu wananchi wa Kisarawe mkoani Pwani.
"Mheshimiwa Rais Magufuli , hakika binafsi nakushukuru sana kwa kuniteua kwenye nafasi hii, mimi sio chochote, sio lolote lakini kwa jicho lako mwenyewe uliamua kuniteua kuwa Waziri katika ofisi yako.Mimi ni fundi selemala na wale ndugu zangu wa ambao tumeanzisha mji wa Njiro pale Arusha wananifahamu kama fundi Selemala lakini Rais Magufuli ameamua kuniteua.
"Nikuhakikishie Rais , nitaendelea kufanya kazi kwa nguvu, maarifa na juhudi zangu zote kubwa kadri ya maelekezo yako kwa nia njema ya kuleta maendeleo ya Watanzania wote wakiwamo wana Kisarawe.Nakumbuka katika mkutano wako na viongozi wa dini uliwaambia wanichunge mpaka 2015, na kweli wamefanya hivyo, ahsante Rais,
"amesema Jafo.
Kuhusu wilayani Kisarawe Jafo amesema kuwa moja ya changamoto kubwa ilikuwa ni changamoto ya upatikanaji wa maji lakini hatimaye chini ya Rais Magufuli leo hii wananchi wanashuhudia mradi mkubwa maji ukilizunduliwa wenye thamani ya Sh.bilioni 10.6 na hivyo kwenda kutatua changamoto hiyo.
Mbali ya changamoto ya maji, Waziri Jafo amesema katika elimu kulikuwa na shule moja tu ya kidato cha tano na sita ya Minaki lakini hivi sasa kuna shule nyingine za kidato cha tano na sita wilayani humo na mbil tayari zimeanza kupokea wanafunzi.
Wakati katika sekta ya afya, nako vituo vya afya vimejengwa katika maeneo mbalimbali ya wilaya ya Kisarawe na hivyo kusogeza huduma za afya karibu na wananchi.Pia amezungumzai ujenzi wa miundombinu ya barabara ambapo chini ya Rais Magufuli barabara za wilaya hiyo nyingi zimeboreshwa na zinapita wakati wote.
Waziri Jafo amesema kutokana na mambo makubwa ya maendeleo ambayo yamefanyika wilayani Kisarawe, Rais Magufuli katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu asiwe na wasiwasi kwani wananchi wa Wilaya hiyo wameshaamua Rais ni Magufuli.
"Rais Magufuli nikuhakikishie huku kwa watani zako wameshamua katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu ni wewe.Ukija huku wakati wa kampeni wewe njoo tu upite kwa ajili ya kutusalimia lakini biashara ya uchaguzi mkuu biashara ilishakwisha tunasubiri kupiga kura tu,"amesema Waziri Jafo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-m_4yaANm3NQ/XvhSbnpNLEI/AAAAAAALvxQ/L2mARfGUE34Yut2ulyBDVmmB4ZdzDXL6ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B11.13.23%2BAM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aHELeYGfzSA/XvhRwOIJvDI/AAAAAAALvxE/IoeMQS1CfRUrwsfc4qkMUJ1g43f1IiRqQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B10.16.01%2BAM.jpeg)
RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA MRADI WA MAJI WA KIBAMBA KISARAWE
Na Zainab Nyamka, Michuzi Tv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanua Dkt John Pombe Magufuli amezindua mradi wa maji wa Kibamba Kisarawe uliotekelezwa na Mamlaka ha Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA.
Mradi huo umejengwa kufuatia agizo alilotoa Juni 21,2017 wakati wa uzinduzi wa Mtambo wa Ruvu Juu akiwataka Dawasa kutanua mtandao wa Usambazaji maji na kupeleka maji Kisarawe.
Akitoa maelezo ya mradi huo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Dawasa Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema mradi wa Kisarawe umejengwa kwa fedha za ndani Bilion 10.6 zinazotokana na makusanyo ya maduhuli ya mauzo ya maji.
Luhemeja amesema wakati wa utekelezaji wa mradi huo, Dawasa iliona fursa ya kujenga mradi mwingine wa Bilionj 7.3 wa kuyatoa maji katika tenki la Kisarawe linalohifadhi maji Lita Milioni 6 kupeleka katika maeneo ya Dar es Salaam.
Amesema, kukamilika kwa mradi wa maji Kisarawe umewezesha maunganisho mapya yapatayo 1650 na bado wanaendelea kufanya maunganisho mapya na wananchi wanaendelea kupata maji safi.
Aidha, maeneo yatakayonufaika na mradi huo ni Kata za Kisarawe, Kazimzumbwi, Kiluvya, Kwembe, Kisopwa, Mloganzila na maeneo maalumu ya Viwanda.
Akizungumzia upatikanaji wa hali ya maji katika Mkoa wa Dar es Salaam, Luhemeja amesema kwa sasa asilimia 88 wanapata maji kutoka asilimia 68 mwaka 2015 kwahiyo ni ongezeko kubwa la maji.
Pia lengo la Dawasa ni kuona kufikia mwaka 2025, asilimia 95 wanapata maji safi katika muda wote.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanua Dkt John Pombe Magufuli amezindua mradi wa maji wa Kibamba Kisarawe uliotekelezwa na Mamlaka ha Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanua Dkt John Pombe Magufuli amezindua mradi wa maji wa Kibamba Kisarawe uliotekelezwa na Mamlaka ha Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA.
Mradi huo umejengwa kufuatia agizo alilotoa Juni 21,2017 wakati wa uzinduzi wa Mtambo wa Ruvu Juu akiwataka Dawasa kutanua mtandao wa Usambazaji maji na kupeleka maji Kisarawe.
Akitoa maelezo ya mradi huo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Dawasa Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema mradi wa Kisarawe umejengwa kwa fedha za ndani Bilion 10.6 zinazotokana na makusanyo ya maduhuli ya mauzo ya maji.
Luhemeja amesema wakati wa utekelezaji wa mradi huo, Dawasa iliona fursa ya kujenga mradi mwingine wa Bilionj 7.3 wa kuyatoa maji katika tenki la Kisarawe linalohifadhi maji Lita Milioni 6 kupeleka katika maeneo ya Dar es Salaam.
Amesema, kukamilika kwa mradi wa maji Kisarawe umewezesha maunganisho mapya yapatayo 1650 na bado wanaendelea kufanya maunganisho mapya na wananchi wanaendelea kupata maji safi.
Aidha, maeneo yatakayonufaika na mradi huo ni Kata za Kisarawe, Kazimzumbwi, Kiluvya, Kwembe, Kisopwa, Mloganzila na maeneo maalumu ya Viwanda.
Akizungumzia upatikanaji wa hali ya maji katika Mkoa wa Dar es Salaam, Luhemeja amesema kwa sasa asilimia 88 wanapata maji kutoka asilimia 68 mwaka 2015 kwahiyo ni ongezeko kubwa la maji.
Pia lengo la Dawasa ni kuona kufikia mwaka 2025, asilimia 95 wanapata maji safi katika muda wote.
![](https://1.bp.blogspot.com/-aHELeYGfzSA/XvhRwOIJvDI/AAAAAAALvxE/IoeMQS1CfRUrwsfc4qkMUJ1g43f1IiRqQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B10.16.01%2BAM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZvshmacpThA/XvhEdw4u0aI/AAAAAAALvv0/06qDyOgZJUA1ddCktKjihekZSUOG-dwXgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B10.16.01%2BAM.jpeg)
SERIKALI YA AWAMU YA TANO IMELETA MAENDELEO PWANI- MHANDISI NDIKILO
Na Zainab Nyamka, Michuzi Tv
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo amesema ndani ya miaka mitano chini ya serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli imepata maendeleo makubwa sana.
Ndikilo amesema, toka kupata kwa Uhuru mji wa Kisarawe haujawahi kupata maji safi na kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA wamefanikisha kukamilika kwa mradi huo.
Mradi wa maji wa Kisarawe umeuzindulia leo na Rais Dkt John Pombe Magufuli, tunafurahi sana kwa maji kupatikana ndani ya mji huu na pia kuna miradi mingi ya maji ndani ya mkoa wa Pwani.
Ndikilo, amesema Mkoa wa Pwani umefanikiwa kukusanya mapato ya Shilingi Bilion 53 ikiwa ni ongezeko kubwa katika kipindi cha miaka mitano.
Amesema, toka kuingia serikali ya awamu ya tano imeleta maendeleo makubwa, ikijenga Hospitali za Wilaya katika halmashauri zote tisa.
Mbali na hilo, Ndikilo ameeleza kuwa awali Mkoa wa Pwani ulikua unategemea kilimo cha Korosho na Ufuta ila kwa sasa wameongeza zao la Katani na kilimo cha miwa sambamba na kuanzisha kiwanda kwa ajili ya uzalishaji wa Sukari.
Pia, Mkoa wa Pwani umepiga hatua kwa viwanda mbalimbali kuanzishwa ikiwemo Kiwanda cha nyama cha Tanchoice kilichopelekewa maji kwa mradi wa Bilioni 1.2
Rais Dkt John Pombe Magufuli wa pili kulia akizindua mradi wa Maji Kibamba Kisarawe uliojengwa kwa gaharama zaidi ya shilingi Bilioni 10.6,katika hafla hiyo viongozi mbalimbali wameshiriki.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo amesema ndani ya miaka mitano chini ya serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli imepata maendeleo makubwa sana.
Ndikilo amesema, toka kupata kwa Uhuru mji wa Kisarawe haujawahi kupata maji safi na kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA wamefanikisha kukamilika kwa mradi huo.
Mradi wa maji wa Kisarawe umeuzindulia leo na Rais Dkt John Pombe Magufuli, tunafurahi sana kwa maji kupatikana ndani ya mji huu na pia kuna miradi mingi ya maji ndani ya mkoa wa Pwani.
Ndikilo, amesema Mkoa wa Pwani umefanikiwa kukusanya mapato ya Shilingi Bilion 53 ikiwa ni ongezeko kubwa katika kipindi cha miaka mitano.
Amesema, toka kuingia serikali ya awamu ya tano imeleta maendeleo makubwa, ikijenga Hospitali za Wilaya katika halmashauri zote tisa.
Mbali na hilo, Ndikilo ameeleza kuwa awali Mkoa wa Pwani ulikua unategemea kilimo cha Korosho na Ufuta ila kwa sasa wameongeza zao la Katani na kilimo cha miwa sambamba na kuanzisha kiwanda kwa ajili ya uzalishaji wa Sukari.
Pia, Mkoa wa Pwani umepiga hatua kwa viwanda mbalimbali kuanzishwa ikiwemo Kiwanda cha nyama cha Tanchoice kilichopelekewa maji kwa mradi wa Bilioni 1.2
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZvshmacpThA/XvhEdw4u0aI/AAAAAAALvv0/06qDyOgZJUA1ddCktKjihekZSUOG-dwXgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B10.16.01%2BAM.jpeg)
5 years ago
MichuziAliyewahi kuwa katibu wa CHADEMA mkoa wa Njombe atimkia CCM
Aliyewahi kuwa katibu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) mkoa wa Njombe aliyepokelewa nafasi hiyo kwenye chaguzi za ndani za chama hicho mwaka 2019 Ndugu Alatanga Nyagawa,Leo ametangaza kukihama chama hicho na kurejea CCM kwa madai ya kukosekana kwa ajenda ndani ya upinzani.
Vile vile Alatanga amesema hakuna ubishi kwamba Serikali ya awamu ya Tano imepiga hatua kubwa katika shughuli za maendeleo na upinzani umekosa ajenda.
Alatanga ambaye aliwahi kugombea Ubunge katika jimbo la Lupembe mwaka 2010 na kutia nia katika jimbo la Njombe mjini mwaka 2015 kupitia Chadema amepokelewa na viongozi wa CCM kata ya Ikuna ambako ni nyumbani kwake. Daitan Mhema ni katibu kata na Barnaba Kigahe ni mwenyekiti wa CCM kata ya Ikuna wamekiri kuwa Alatanga amewasumbua sana akiwa upinzani na sasa wanategemea kujenga chama chao kwa pamoja.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SVF9loI-X8A/XveTYcEU9SI/AAAAAAALvs4/hBQgm7_Yw6kANZO2AAmPBJCt33m_UHTggCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
WANAOMPINGA RAIS MAGUFULI WANA URAIA WA NCHI MBILI-MASAUDA
WANAOMPINGA RAIS MAGUFULI WANA URAIA WA NCHI MBILI-MASAUDA
Aliyekuwa mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa wa Mkoa wa Manyara mwaka 2007 hadi 2015 Cosmas Bura Masauda amesema vigogo wanaompinga Rais John Magufuli Magufuli, huenda wana uraia wa nchi mbili.
Masauda akizungumza jana mjini Babati alisema yeye alikuwa mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa mwaka 2007 hadi 2015 hivyo anashangazwa na vigogo kama Bernard Membe wanampinga Rais Magufuli.
Alisema wanaompinga wanapaswa kutambua kuwa Rais Magufuli anapaswa kupita bila kupingwa kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu ili aone namna anavyoungwa mkono na watanzania na siyo kupingwa.
Alisema Membe hana uwezo wa kipambana na Rais Magufuli, kwani hata kwenye mkutano mkuu wa Taifa Dodoma mwaka 2012 alishindwa kwa kura na Januari Makamba na Mwigulu Nchemba kati ya watu 12 waliopitishwa NEC Membe alikuwa wa saba.
"Wewe kama ulishindwa na kina January na Mwigulu utamuweza Rais Magufuli hata akisimama na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira kwa kweli atagaragazwa kwani Rais Magufuli ni wa kwanza kukubalika na wakulima na wafugaji," alisema.
Alisema hata Membe akiachiwa aingie uwanjani hivi sasa hana mvuto Rais Magufuli ni mzalendo atamuacha mbali sana hivyo asijisumbue aachane na wazo hilo la kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Aliwataka vijana wachangamkie fursa ya kugombea ubunge na udiwani kwani Rais Magufuli ameirudisha CCM katika misingi bora na hata usipokuwa na fedha hivi sasa unaweza kugombea uongozi.
"Vijana changamkieni fursa hata ukiangalia mwaka 2015 fomu za kugombea ubunge ndani ya CCM ilikuwa shilingi milioni 2.1 na hivi sasa ni sh100,000 ni ishara tosha kuonyesha kililenga matajiri sasa hivi chini ya Rais Magufuli ni chama cha wanyonge," alisema Masauda.
Alisema vijana wasijali lolote kwani CCM chini ya uenyekiti wa Rais Magufuli na Katibu Mkuu Dk Bashiru Ally imekuwa mpya na kimbilio la watu wanyonge tofauti na awali.
Alisema vijana wanachangamkia fursa kwani hata hivi sasa mjini Babati watia nia ya kugombea ubunge ndani ya CCM wapo zaidi ya 20 wakiwemo walimu 12 na madaktari sita.
![](https://1.bp.blogspot.com/-SVF9loI-X8A/XveTYcEU9SI/AAAAAAALvs4/hBQgm7_Yw6kANZO2AAmPBJCt33m_UHTggCLcBGAsYHQ/s400/unnamed.jpg)
Masauda akizungumza jana mjini Babati alisema yeye alikuwa mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa mwaka 2007 hadi 2015 hivyo anashangazwa na vigogo kama Bernard Membe wanampinga Rais Magufuli.
Alisema wanaompinga wanapaswa kutambua kuwa Rais Magufuli anapaswa kupita bila kupingwa kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu ili aone namna anavyoungwa mkono na watanzania na siyo kupingwa.
Alisema Membe hana uwezo wa kipambana na Rais Magufuli, kwani hata kwenye mkutano mkuu wa Taifa Dodoma mwaka 2012 alishindwa kwa kura na Januari Makamba na Mwigulu Nchemba kati ya watu 12 waliopitishwa NEC Membe alikuwa wa saba.
"Wewe kama ulishindwa na kina January na Mwigulu utamuweza Rais Magufuli hata akisimama na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira kwa kweli atagaragazwa kwani Rais Magufuli ni wa kwanza kukubalika na wakulima na wafugaji," alisema.
Alisema hata Membe akiachiwa aingie uwanjani hivi sasa hana mvuto Rais Magufuli ni mzalendo atamuacha mbali sana hivyo asijisumbue aachane na wazo hilo la kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Aliwataka vijana wachangamkie fursa ya kugombea ubunge na udiwani kwani Rais Magufuli ameirudisha CCM katika misingi bora na hata usipokuwa na fedha hivi sasa unaweza kugombea uongozi.
"Vijana changamkieni fursa hata ukiangalia mwaka 2015 fomu za kugombea ubunge ndani ya CCM ilikuwa shilingi milioni 2.1 na hivi sasa ni sh100,000 ni ishara tosha kuonyesha kililenga matajiri sasa hivi chini ya Rais Magufuli ni chama cha wanyonge," alisema Masauda.
Alisema vijana wasijali lolote kwani CCM chini ya uenyekiti wa Rais Magufuli na Katibu Mkuu Dk Bashiru Ally imekuwa mpya na kimbilio la watu wanyonge tofauti na awali.
Alisema vijana wanachangamkia fursa kwani hata hivi sasa mjini Babati watia nia ya kugombea ubunge ndani ya CCM wapo zaidi ya 20 wakiwemo walimu 12 na madaktari sita.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3lvkpMeytek/XveQcvPrrAI/AAAAAAALvsY/iteJnvQpk50OvS45ZeccR8ixxdkSzAUlwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A5119-2-768x518.jpg)
MJUMBE WA NEC TAIFA NA RAIS APOKEA MWANACHAMA MPYA KUTOKA ACT WAZALENDO
![](https://1.bp.blogspot.com/-3lvkpMeytek/XveQcvPrrAI/AAAAAAALvsY/iteJnvQpk50OvS45ZeccR8ixxdkSzAUlwCLcBGAsYHQ/s640/F87A5119-2-768x518.jpg)
Aliyekuwa mjumbe wa Ngome ya Vijana wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Samora Julius Mwanyonga, akirudisha kadi yake kwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, baada ya kukihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM leo Juni 27,2020 wakati wa majumuisho ya ziara ya Makamu wa Rais Kichama Mkoa wa Dar es Salaam yaliyofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Ilala Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salam.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bs-Z9sAfN84/XvePz-y8O4I/AAAAAAALvsQ/4c_9Vevmm1E-_GBA04u_aB0PMMisNOtgACLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4992-2-768x546.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AHITIMISHA ZIARA YA KICHAMA MKOA WA DSM
![](https://1.bp.blogspot.com/-bs-Z9sAfN84/XvePz-y8O4I/AAAAAAALvsQ/4c_9Vevmm1E-_GBA04u_aB0PMMisNOtgACLcBGAsYHQ/s640/F87A4992-2-768x546.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM ya Mkoa wa Dar es Salaam alipowasili katika Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam leo Juni 27,2020 kwa ajili ya mkutano wa majumuisho ya ziara yake ya Kichama katika Mkoa wa Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A5005-2-1024x553.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A5024-2-1024x403.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A5043-2-1024x434.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A5078-2-1024x482.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iNU8dshtrZE/XveNC9oXkNI/AAAAAAALvr0/lQTPTGQfMy8EDkQ-XUVsv04nXsQnRw7TwCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_4367AAA-768x511.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI ATOA MAAGIZO KWA MKANDARASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-iNU8dshtrZE/XveNC9oXkNI/AAAAAAALvr0/lQTPTGQfMy8EDkQ-XUVsv04nXsQnRw7TwCLcBGAsYHQ/s640/PMO_4367AAA-768x511.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_4439AAAA-1024x686.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_4441AAAA-1024x733.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi Patrick Mfugale (kulia) na Mwakilishi wa Kampuni ya China Railway 15 Bureau Group Corporation, Su Jinlan wakionyesha nakala za mkataba wa makubaliano kati ya serikali na Kampuni hiyo ya ujenzi wa barabara ya Nanganga -Ruangwa yenye urefu wa Kilomita 53.2 kwa gaharama ya Sh. Bilioni 59.28. Mkataba huo ulitiwa saini huku ukishuhudiwa na Waziri Mkuu ambaye pia ni Mbunge wa Ruangwa kwenye uwanja wa Likangala, Ruangwa Juni 27, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_4389AAA-1024x759.jpg)
……………………………………………………………………………….
*Ampongeza Waziri Mkuu kwa uhodari wake wa kuchapa kazi
RAIS Dkt. John Pombe Magufuli amemuagiza mkandarasi wa Kampuni ya China Railway 15 Bureau Group Corporation kutoka China aliyesaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya kutoka Ruangwa hadi Nanganga yenye urefu wa km 53.2 kwa gharama ya sh. 59,286,553,159 aanze kazi mara moja.
Ametoa agizo hilo leo (Jumamosi, Juni 27, 2020) alipozungumza na wananchi wa wilaya ya Ruangwa kwa njia ya simu alipompigia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati wa tukio la utiaji saini mkataba wa makubaliano ya ujenzi wa barabara ya Ruangwa-Nanganga km 53.2 kwa kiwango cha lami.
“Nashukuru ahadi niliyoitoa leo imeanza kuzaa matunda na ilimradi mkandarasi amekubali kusaini aanze mara moja kupeleka mitambo kwenye eneo la mradi na nitakuja kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa mradi huo.”
Pia, Rais Dkt. Magufuli ametumia fursa hiyo kumpongeza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Ruangwa mkoani Lindi kwa uhodari wake katika kufanya kazi. “ Endeleeni kumuani Mheshimiwa Majaliwa, amekuwa akinisaidia. Aendelee kuchapa kazi kwa ajili ya Ruangwa na Tanzania.”
Kwa upande wake, Waziri Mkuu amemshukuru Rais Dkt. Magufuli kwa kuthamini na kujali maendeleo ya Watanzania wakiwemo na wananchi wa wilaya ya Ruangwa kwa sababu ujenzi wa barabara ya Ruangwa hadi Nanganga kwa kiwango cha lami ni utekelezaji wa ahadi yake.
“Leo hii ni siku ya kihistoria kwa sababu kile ambacho tulikuwa tunatamani, kikaahidiwa hapa na kiongozi wa nchi Rais wetu Dkt. John Pombe Magufuli alipofanya ziara Ruangwa aliweza kuvunja kiu yetu Wana-Ruangwa toka alivyokuwa anaingia Nanganga wananchi walimuomba asimame na yeye alisimama akijua kuwa hawa wana hamu ya maendeleo.”
Waziri Mkuu aliongeza kuwa baada ya Rais Dkt. Magufuli kusimama aliwaambia kuwa “najua hamu yenu ni ya maendeleo, lakini mimi ninaanza kuwaondolea kiu ya muda mrefu ya barabara yenu kutoka hapa Nanganga mpaka Ruangwa kwa kuijenga kwa kiwango cha lami. Sifa moja ya Rais Dkt. Magufuli ni kusema na kutenda na ametekeleza.”
Vilevile, Waziri Mkuu amewataka Watanzania wote waendelee kushirikiana bila ya kujali itikadi zao za kisiasa kwa sababu maendeleo hayana chama na miradi ya maendeleo anayoitekeleza katika maeneo mbalimbali nchini imekuwa ikiwanufaisha wananchi wote.
Akizungumzia kuhusu Kampuni ya China Railway 15 Bureau Group Corporation kutoka China iliyosaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya kutoka Ruangwa hadi Nanganaga kwa kiwango cha lami, Waziri Mkuu amesema ni miongoni mwa kampuni kubwa zinazojenga kwa viwango.
Waziri Mkuu ameendelea kuwashukuru wananchi wa wilaya hiyo kwa umoja na mshikamano mkubwa waliompatia katika kipindi chote cha miaka mitano na amewaahidi kuendelea kuwatumikia bila ya ubaguzi wa aina yoyote na kwamba waendelee kuiunga mkono Serikali ambayo imefanikiwa kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2015-2020 kwa vitendo.
Naye, Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Ujenzi, Dkt. Elias Kuandikwa amesema barabara hiyo itakuwa na madaraja makubwa matatu na makaravati 31 na kwamba itajengwa kwa wakati na kwa kuzingatia viwango vya ubora vinavyohitajika.
Dkt. Kuandikwa aliongeza kuwa barabara zingine za mkoa wa Lindi zikiwezo za kutoka Nachingwea hadi Liwale yenye urefu wa km 159 ipo katika hatua ya usanifu na barabara ya kutoka Liwale hadi Nangurukuru km 230 na Nanganga-Nachingwea-Masasi zipo katika utaratibu wa ujenzi kwa kiwango cha lami.
Mapema, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale alisema barabara ya Nachingwea – Ruangwa – Nanganga ni barabara muhimu kwa uchumi wa mkoa wa Lindi kwani inaunganisha pia mkoa wa Lindi na mikoa jirani kwa barabara kuu ya Mtwara – Dar es Salaam na Mtwara – Masasi – Songea.
“Ili kurahisisha utekelezaji, mradi huu umegawanywa katika sehemu mbili: Sehemu ya Nachingwea hadi Ruangwa yenye urefu wa kilometa 52.8 na sehemu ya pili ni kutoka Ruangwa hadi Nanganga yenye urefu wa kilometa 53.2. Serikali imeamua kuanza ujenzi wa sehemu ya Ruangwa hadi Nanganga yenye urefu wa kilometa 53. 2 na upana wa meta 10.0, kwa kutumia fedha za ndani na itajengwa kwa muda wa miezi 27.”
Mhandisi Mfugale aliongeza kuwa ujenzi wa barabara hiyo utakapokamilika utasaidia kukuza kilimo na utalii katika wilaya ya Ruangwa na mkoa wa Lindi kwa ujumla. Aidha mradi utakapokamilika utachochea ukuaji wa shughuli mbalimbali za kiuchumi na kijamii kwa wananchi waishio maeneo ya Ruangwa, Nanganga na Nachingwea.
Wakizungumza kuhusu ujenzi wa barabara hiyo wananchi wa wilaya ya Ruangwa walimshukuru Rais Dkt. Magufuli pamoja na Waziri Mkuu ambaye pia ni mbunge wa Ruangwa kwa uamuzi wao wa kuijenga barabara hiyo kwa kiwango cha lami kwani itasaidia katika ukuaji wa uchumi.
Miongoni mwa wananchi hao ni pamoja na dereva wa basi litokalo Ruangwa kwenda Masasi, Omar Njinji ambaye amesema kutengenezwa kwa barabara hiyo kutarahisisha shughuli za usafirishaji wa abiria na mizigo, pia nauli zitapungua na maendeleo ya wilaya nayo yataimarika.
Dereva mwingine Issa Lingonda wanaishukuru sana Serikali kwa uamuzi wake wa kujenga barabara hiyo kwa sababu ubovu wake unasababisha magari kuharibika mara kwa mara. “Tunamshukuru sana Rais pamoja na Mbunge wetu kwani tutapumzika kwenda gereji maana siku mbili tunafanyakazi siku mbili gereji. Ikiwekwa lami vyombo vyetu vya usafiri vitadumu na nauli zitapungua.”
5 years ago
BBCSwahili27Jun
Jinsi rais Nkurunziza alivyowapanga marais Kagame, Kenyatta, Kikwete na Museveni
Mwanahabari wa BBC, Salim Kikeke alimtembelea rais Pierre Nkurunziza na kufanya mahojiano naye mwaka 2015 kuhusu jinsi ambavyo angewapanga marais wenzake katika timu ya kandanda ya Afrika mashariki.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-arfJm-soSU8/Xvc9Wf-cFtI/AAAAAAABMn8/W8DQIBJEBtkKMg-fV4oGg8HUMZIJ8FdcQCLcBGAsYHQ/s72-c/KIKWETE.jpeg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA, RAIS MSTAAFU KIKWETE WAKISHIRIKI MAZISHI YA NKURUNZIZA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-arfJm-soSU8/Xvc9Wf-cFtI/AAAAAAABMn8/W8DQIBJEBtkKMg-fV4oGg8HUMZIJ8FdcQCLcBGAsYHQ/s400/KIKWETE.jpeg)
5 years ago
BBCSwahili27Jun
Rais Mutharika: Amewataka wafuasi wake kupuuza matokeo yanayosambazwa na vyombo vya habari
Ijapokuwa tume ya uchaguzi ya Malawi MEC bado haujatangaza matokeo ya uchaguzi wa urais uliorudiwa , ishara za mapema zinaonesha kwamba rais Peter Mutharika yuko nyuma ya mpinzani wake mkuu Lazarus Chakwera.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_UkrAR7fxW0/XvbJYXjtkuI/AAAAAAALvog/jE8okzxzsGwaDXKAf0JSMkSsel_tDTOzACLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS BALOZI SEIF ALI IDD AONYA WATOA RUSHWA
Na Mwandishi wetu Shinyanga
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd amewaonya baadhi ya wanachama wa chama cha Mapinduzi wanaotaka kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kupitia chama hicho kujiepusha na matumizi ya fedha katika kutafuta nafasi za uongozi kwani kufanya hivyo ni kukiuka katiba ya Chama hicho.
Aidha Barozi Seif Ali Idd ameonya kuwa kuna baadhi ya watu wenye nia ya kugombea uongozi lakini badala ya kwenda wenyewe wanatuma watu wengine kutoa rushwa kwa niaba yao nakuonya kuwa wana taarifa zao na watashughulikia ipasavyo kwani watu wanonunua uongozi sio watu wazuri hata kidogo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd ameyasema hayo leo wakati wa ziara yake ya kichama Mkoani Shinyanga alipokutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wa Mkoa na Wilaya ya Kahama kama mlezi wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga.
‘’Kiongozi yoyote anayetafuta uongozi kwa kwa kununua huyo sio kiongozi mzuri, uongozi hautafutwi kwa kununua bali uongozi utafutwa kwa kujenga hoja’’. Aliendelea kusema Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd.
Aidha Kiongozi huyo mkubwa Nchini amesisitiza kuwa serikali iko macho sana kuwabaini wale wote wanaotaka kutumia ushawishi wa fedha kujipatia uongozi kwani macho yake yanaangaza kila mahali na wana uhakika kuwa wataonekana pasiposhaka na kuwataka kuacha siasa za namna hiyo mara moja.
Barozi Seif Ali Idd amesema mtu akiwaletea viburungutu vya fedha kwa lengo la kununua uongozi chukueni lakini msiwachague maana unaweza kukosea kuchagua na ukajikuta unachagua uhalifu katika jimbo kwani kiongozi anayechaguliwa kwa rushwa ni mhalifu kama walivyo waalifu wengine.
Aidha Barozi Idd amewataka wabunge Mkoani Shinyanga kuendelea na kazi ya kukamilisha ahadi zao kwa wananchi kwani bado ni viongozi mpaka zoezi lakuchukua fomu litakapoanza ingawa inawezakena baadhi yao wanaweza kuwa wanamaliza muda wao na wengine kupoteza nafasi za uongozi kwa kushindwa katika kura za maoni.
‘’Achaneni nao viongozi wanaotumia fedha kutimiza ahadi ya chama cha mapinduzi ambayo inataka mgombea kupita bila matumizi ya rushwa na tamaa. Ukumpitisha kiongozi wa rushwa maana yake umepitisha uovu kwenye jimbo’’. Alionya Makamu wa Rais wa Pili wa Zanzibar Balozi Seif Idd.
Aidha kiongozi huyo ameonya kuwa kwasasa kuna baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi na baadhi ya watu serikalini wanaojifanya madalali wa wagombea na wanawahamasisha baadhi ya watu kwenda kugombea nafasi ya uongozi na kuonya kuwa tabia hii pia haikubaliki kwani uongozi ni suala la hiari.
Katika salam zake kwa wanachama wa chama cha Mapinduzi Mkoani Shinyanga Mbunge wa Kahama Jumanne Kishimba amemwomba Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd kuangalia namna bora ya kuwapa motisha hata kuwapatia Bima za Afya kutokana na juhudi zao katika kujenga Chama Cha Mapinduzi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar yuko Mkoani Shinyanga kwa ziara ya Kichama na ataendelea ziara yake katika Manispaa ya Shinyanga na kuendelea kufanya shughuli za Chama kwa kuwa ni mlezi wa Chama hicho Mkoani Shinyanga.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd akiongea wakati wa ziara yake ya kichama Mkoani Shinyanga alipokutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wa Mkoa na Wilaya ya Kahama kama mlezi wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga,Zainab Telack akifuatilia kwa makini hotuba ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd wakati wa ziara yake ya kichama Mkoani Shinyanga alipokutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wa Mkoani humo.
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd amewaonya baadhi ya wanachama wa chama cha Mapinduzi wanaotaka kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kupitia chama hicho kujiepusha na matumizi ya fedha katika kutafuta nafasi za uongozi kwani kufanya hivyo ni kukiuka katiba ya Chama hicho.
Aidha Barozi Seif Ali Idd ameonya kuwa kuna baadhi ya watu wenye nia ya kugombea uongozi lakini badala ya kwenda wenyewe wanatuma watu wengine kutoa rushwa kwa niaba yao nakuonya kuwa wana taarifa zao na watashughulikia ipasavyo kwani watu wanonunua uongozi sio watu wazuri hata kidogo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd ameyasema hayo leo wakati wa ziara yake ya kichama Mkoani Shinyanga alipokutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wa Mkoa na Wilaya ya Kahama kama mlezi wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga.
‘’Kiongozi yoyote anayetafuta uongozi kwa kwa kununua huyo sio kiongozi mzuri, uongozi hautafutwi kwa kununua bali uongozi utafutwa kwa kujenga hoja’’. Aliendelea kusema Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd.
Aidha Kiongozi huyo mkubwa Nchini amesisitiza kuwa serikali iko macho sana kuwabaini wale wote wanaotaka kutumia ushawishi wa fedha kujipatia uongozi kwani macho yake yanaangaza kila mahali na wana uhakika kuwa wataonekana pasiposhaka na kuwataka kuacha siasa za namna hiyo mara moja.
Barozi Seif Ali Idd amesema mtu akiwaletea viburungutu vya fedha kwa lengo la kununua uongozi chukueni lakini msiwachague maana unaweza kukosea kuchagua na ukajikuta unachagua uhalifu katika jimbo kwani kiongozi anayechaguliwa kwa rushwa ni mhalifu kama walivyo waalifu wengine.
Aidha Barozi Idd amewataka wabunge Mkoani Shinyanga kuendelea na kazi ya kukamilisha ahadi zao kwa wananchi kwani bado ni viongozi mpaka zoezi lakuchukua fomu litakapoanza ingawa inawezakena baadhi yao wanaweza kuwa wanamaliza muda wao na wengine kupoteza nafasi za uongozi kwa kushindwa katika kura za maoni.
‘’Achaneni nao viongozi wanaotumia fedha kutimiza ahadi ya chama cha mapinduzi ambayo inataka mgombea kupita bila matumizi ya rushwa na tamaa. Ukumpitisha kiongozi wa rushwa maana yake umepitisha uovu kwenye jimbo’’. Alionya Makamu wa Rais wa Pili wa Zanzibar Balozi Seif Idd.
Aidha kiongozi huyo ameonya kuwa kwasasa kuna baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi na baadhi ya watu serikalini wanaojifanya madalali wa wagombea na wanawahamasisha baadhi ya watu kwenda kugombea nafasi ya uongozi na kuonya kuwa tabia hii pia haikubaliki kwani uongozi ni suala la hiari.
Katika salam zake kwa wanachama wa chama cha Mapinduzi Mkoani Shinyanga Mbunge wa Kahama Jumanne Kishimba amemwomba Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd kuangalia namna bora ya kuwapa motisha hata kuwapatia Bima za Afya kutokana na juhudi zao katika kujenga Chama Cha Mapinduzi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar yuko Mkoani Shinyanga kwa ziara ya Kichama na ataendelea ziara yake katika Manispaa ya Shinyanga na kuendelea kufanya shughuli za Chama kwa kuwa ni mlezi wa Chama hicho Mkoani Shinyanga.
![](https://1.bp.blogspot.com/-_UkrAR7fxW0/XvbJYXjtkuI/AAAAAAALvog/jE8okzxzsGwaDXKAf0JSMkSsel_tDTOzACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mDcu7RC__pw/XvbJYOpSj2I/AAAAAAALvoc/_N3ANPY1mJcgaYtzEO1Oy_ccaT51HqodQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-nmM9x9av0YE/Xvbd-KaHXJI/AAAAAAAAW-U/73JWffjERZkggCDFM7vd7c8MMEU7-30ywCLcBGAsYHQ/s72-c/21ed60ddedde9e66abf3ae7b4d781e5f.jpg)
DKT. BASHIRU AHIMIZA HAKI KWA WATENDAJI WA CCM WILAYANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-nmM9x9av0YE/Xvbd-KaHXJI/AAAAAAAAW-U/73JWffjERZkggCDFM7vd7c8MMEU7-30ywCLcBGAsYHQ/s400/21ed60ddedde9e66abf3ae7b4d781e5f.jpg)
Dkt. Bashiru ameeleza hayo wakati akifungua semina ya mafunzo kwa makatibu wa CCM ngazi ya wilaya kote nchini na kuonya kuwa miongoni mwa mambo yanayovunja haki ni rushwa na kuwataka makatibu hao kusimamia haki kwa kutojihusisha na vitendo vya rushwa.
Mambo mengine aliyosisitiza Dkt. Bashiru ni Pamoja na watendaji hao kusimamia nidhamu ndani ya chama, haki na kuwapa motisha wana CCM wenye moyo wa kujitolea.
Awali akimkaribisha katibu mkuu kwa ajili ya ufunguzi wa semina hiyo, Naibu katibu mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo akawataka watendaji hao kuhakikisha wanaongeza asilimia za ushindi kwa CCM ili chama kijiongezee kiwango cha ruzuku kutokana na asilimia za ushindi.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-OW_CiaiBlRo/XvbY_poXiGI/AAAAAAAC8hI/8zDz-a1frc86CiNkUPtcd-izx6d83mD0gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI: POKEENI FEDHA ZA WANAOTAKA KUNUNUA UONGOZI NDANI YA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-OW_CiaiBlRo/XvbY_poXiGI/AAAAAAAC8hI/8zDz-a1frc86CiNkUPtcd-izx6d83mD0gCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Kauli hiyo ameitoa Julai 26 mwaka huu wilayani Kahama mkoani Shinyanga katika siku ya kwanza ya ziara yake mkoani humo akiwa ni mlezi wa CCM mkoani humo baada ya kupokea taarifa ya chama kuhusiana na maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
Alisema kuwa kiongozi anayenunua kura hafai kuwemo ndani ya CCM mpya inayoongozwa na Rais Dk John Pombe Maguli kwani atatanguliza mbele Maslahi yake binafsi pindi atakapochaguliwa.
"Wapo wapambe wa wagombea wameanza kuunguka katika matawi na kata na kugawa shilingi elfu 5000 hadi elfu 20000 zipokeeni lakini msiwachague kwa sababu CCM inautaratibu wake wa kuwapata viongozi,"Alisema Balozi Idd Aliongeza kuwa CCM haitapitisha jina la Mgombea yeyote atakayebainika kutoa fedha ili kupata nafasi ya kuchaguliwa hata kama atakuwa amepitishwa na mikutano mikuu ndani ya Chama ili kutokomeza vitendo vya rushwa nyakati za uchaguzi.
"Vyombo vyetu vya dola vimejipanga kikamifu kudhibiti vitendo vya rushwa ambavyo husababisha wagombea wasiokuwa na sifa kuchaguliwa ambao sio chaguo la wananchi na kuwakosesha watu wenye sifa kuchaguliwa,"alisema Balozi Idd.
Kwa upande wake Kaimu Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga Gaspar Kileo ambae pia ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM taifa (NEC)aliwataka makatibu wa matawi,kata, na wilaya kuwachukulia hatua Kali watia nia ambao watakaobainika kuanza kampeni kabla ya Muda wao.
"Wakamateni ili vyombo vyetu viwafanyie kazi kwa kutoa rushwa halafu wakija kwenye chama sisi hatutapitisha majina yao,"alisema Kileo.
Kuanzia tarehe 7 mwaka huu hadi 14 mchakato wa uchukuaji wa fomu ndani ya CCM utaanzaa ambapo kwa sasa watu wote wanaotaka kugombea nafasi za ubunge na udiwani kutoruhusiwa kufanya kampeni.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-iieJFNVyN48/Xvbw0ilk2uI/AAAAAAABMnk/DRSFCV9v4-w0jfFI9DZ4mJ1ZcR065SszACLcBGAsYHQ/s72-c/Ebf9VKaWsAA5cM8.jpeg)
WAITARA: KUFANYA KAZI NA RAIS MAGUFULI INABIDI UJIPANGE NI MCHAKAMCHAKA KWELIKWELI
![](https://1.bp.blogspot.com/-iieJFNVyN48/Xvbw0ilk2uI/AAAAAAABMnk/DRSFCV9v4-w0jfFI9DZ4mJ1ZcR065SszACLcBGAsYHQ/s400/Ebf9VKaWsAA5cM8.jpeg)
@MagufuliJP inabidi ujipange ni mchakamchaka kwelikweli, yaani anazungumza kama hataki lakini ndiyo anamaanisha hivyo. Ukilipwa mshahara ujue umefanya kazi kweli" - Mwita Waitara, Naibu Waziri TAMISEMI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JDSrSPbKCqc/XvbUJomRvKI/AAAAAAALvpo/dd_5QsF8_EEIYNzvNQKE-C6L3VmVc0uXACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0059.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAWASHIKILIA MWENYEKITI NA KATIBU WA CCM BABATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-JDSrSPbKCqc/XvbUJomRvKI/AAAAAAALvpo/dd_5QsF8_EEIYNzvNQKE-C6L3VmVc0uXACLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200612-WA0059.jpg)
Na Mwandishi wetu, Babati
TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru) Mkoani Manyara inamshikilia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tawi la Maisaka kati Bakari Khatibu na katibu wa Tawi hilo Juma Swalehe wote wakazi wa wilaya ya Babati kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya sh. 200,000 kutoka kwa Mwinjilist wa kanisa la kinjili la kilutheri Tanzania (KKKT) mtaa wa Komoto.
Mkuu wa Takukuru Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu aliyasema hayo mjini Babati wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Makungu alisema viongozi hao waliomba rushwa ya sh. 200,000 kinyume na kifungu 15 cha sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa namba 11 ya mwaka 2007.
Alisema wawili hao waliomba na kupokea fedha hizo kutoka kwa Mwinjilist wa kanisa la KKKT Komoto kwa maelelezo kuwa baada ya kupokea fedha hizo wangemwachia kiwanja walichokuwa wakidai kuwa ni mali ya CCM.
Alisema kuwa uchunguzi zaidi kuhusiana na uhalali wa CCM kumiliki kiwanja hicho na Mamlaka ya viongozi hao kuhusiana na mali za chama unaendelea na mara utakapokamilika hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
"Rai yetu kwa viongozi wachache ndani ya chama tawala hasa wa ngazi za chini wenye utajiri wa fikra haba wanaopitapita wakiwaaminisha wananchi kuwa hawawezi kuguswa na Takukuru kwa kua chama kilichowaajiri ndicho kinaongoza serikali," alisema Makungu.
Aliwakumbusha viongozi wa aina hiyo ibara ya 13(1) (5) ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na kunuu" Watu wote ni sawa mbele ya sheria na wanayo haki bila ya ubaguzi wowote kulindwa na kupata haki sawa mbele ya sheria bila kuzingatia utaifa wao, kabila, pahala walipotokea, maoni yao ya kisiasa, rangi, dini, jinsia au hali ya maisha,"Alisisitiza
Alisema kwa msingi huo katiba uwe wa chama tawala au vyama vingine vya upinzani, sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa namba 11 ya mwaka 2007 inakuhusu ili mradi nafasi yako iwe ni kutelekeza majukumu yanayohusiana na umma wa watanzania hivyo watendaji ndani ya chama tawala ni vyema pia wakafahamu kuwa hawako juu ya sheria na anayekiuka hatua za kisheria zinachukuliwa dhidi yake kama ilivyo kwa watu wengine.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_UkrAR7fxW0/XvbJYXjtkuI/AAAAAAALvog/jE8okzxzsGwaDXKAf0JSMkSsel_tDTOzACLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
TUTAWANG’OA WENYE KUTOA RUSHWA MAKAMU WA RAIS AONYA
Na Mwandishi wetu ShinyangaMAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd amewaonya baadhi ya wanachama wa chama cha Mapinduzi wanaotaka kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kupitia chama hicho kujiepusha na matumizi ya fedha katika kutafuta nafasi za uongozi kwani kufanya hivyo ni kukiuka katiba ya Chama hicho.
Aidha Barozi Seif Ali Idd ameonya kuwa kuna baadhi ya watu wenye nia ya kugombea uongozi lakini badala ya kwenda wenyewe wanatuma watu wengine kutoa rushwa kwa niaba yao nakuonya kuwa wana taarifa zao na watashughulikia ipasavyo kwani watu wanonunua uongozi sio watu wazuri hata kidogo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd ameyasema hayo leo wakati wa ziara yake ya kichama Mkoani Shinyanga alipokutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wa Mkoa na Wilaya ya Kahama kama mlezi wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga.
‘’Kiongozi yoyote anayetafuta uongozi kwa kwa kununua huyo sio kiongozi mzuri, uongozi hautafutwi kwa kununua bali uongozi utafutwa kwa kujenga hoja’’. Aliendelea kusema Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd.
Aidha Kiongozi huyo mkubwa Nchini amesisitiza kuwa serikali iko macho sana kuwabaini wale wote wanaotaka kutumia ushawishi wa fedha kujipatia uongozi kwani macho yake yanaangaza kila mahali na wana uhakika kuwa wataonekana pasiposhaka na kuwataka kuacha siasa za namna hiyo mara moja.
Barozi Seif Ali Idd amesema mtu akiwaletea viburungutu vya fedha kwa lengo la kununua uongozi chukueni lakini msiwachague maana unaweza kukosea kuchagua na ukajikuta unachagua uhalifu katika jimbo kwani kiongozi anayechaguliwa kwa rushwa ni mhalifu kama walivyo waalifu wengine.
Aidha Barozi Idd amewataka wabunge Mkoani Shinyanga kuendelea na kazi ya kukamilisha ahadi zao kwa wananchi kwani bado ni viongozi mpaka zoezi lakuchukua fomu litakapoanza ingawa inawezakena baadhi yao wanaweza kuwa wanamaliza muda wao na wengine kupoteza nafasi za uongozi kwa kushindwa katika kura za maoni.
‘’Achaneni nao viongozi wanaotumia fedha kutimiza ahadi ya chama cha mapinduzi ambayo inataka mgombea kupita bila matumizi ya rushwa na tamaa. Ukumpitisha kiongozi wa rushwa maana yake umepitisha uovu kwenye jimbo’’. Alionya Makamu wa Rais wa Pili wa Zanzibar Balozi Seif Idd.
Aidha kiongozi huyo ameonya kuwa kwasasa kuna baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi na baadhi ya watu serikalini wanaojifanya madalali wa wagombea na wanawahamasisha baadhi ya watu kwenda kugombea nafasi ya uongozi na kuonya kuwa tabia hii pia haikubaliki kwani uongozi ni suala la hiari.
Katika salam zake kwa wanachama wa chama cha Mapinduzi Mkoani Shinyanga Mbunge wa Kahama Jumanne Kishimba amemwomba Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd kuangalia namna bora ya kuwapa motisha hata kuwapatia Bima za Afya kutokana na juhudi zao katika kujenga Chama Cha Mapinduzi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar yuko Mkoani Shinyanga kwa ziara ya Kichama na ataendelea ziara yake katika Manispaa ya Shinyanga na kuendelea kufanya shughuli za Chama kwa kuwa ni mlezi wa Chama hicho Mkoani Shinyanga.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd akiongea wakati wa ziara yake ya kichama Mkoani Shinyanga alipokutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wa Mkoa na Wilaya ya Kahama kama mlezi wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga,Zainab Telack akifuatilia kwa makini hotuba ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd wakati wa ziara yake ya kichama Mkoani Shinyanga alipokutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wa Mkoani humo.
Aidha Barozi Seif Ali Idd ameonya kuwa kuna baadhi ya watu wenye nia ya kugombea uongozi lakini badala ya kwenda wenyewe wanatuma watu wengine kutoa rushwa kwa niaba yao nakuonya kuwa wana taarifa zao na watashughulikia ipasavyo kwani watu wanonunua uongozi sio watu wazuri hata kidogo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd ameyasema hayo leo wakati wa ziara yake ya kichama Mkoani Shinyanga alipokutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wa Mkoa na Wilaya ya Kahama kama mlezi wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga.
‘’Kiongozi yoyote anayetafuta uongozi kwa kwa kununua huyo sio kiongozi mzuri, uongozi hautafutwi kwa kununua bali uongozi utafutwa kwa kujenga hoja’’. Aliendelea kusema Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd.
Aidha Kiongozi huyo mkubwa Nchini amesisitiza kuwa serikali iko macho sana kuwabaini wale wote wanaotaka kutumia ushawishi wa fedha kujipatia uongozi kwani macho yake yanaangaza kila mahali na wana uhakika kuwa wataonekana pasiposhaka na kuwataka kuacha siasa za namna hiyo mara moja.
Barozi Seif Ali Idd amesema mtu akiwaletea viburungutu vya fedha kwa lengo la kununua uongozi chukueni lakini msiwachague maana unaweza kukosea kuchagua na ukajikuta unachagua uhalifu katika jimbo kwani kiongozi anayechaguliwa kwa rushwa ni mhalifu kama walivyo waalifu wengine.
Aidha Barozi Idd amewataka wabunge Mkoani Shinyanga kuendelea na kazi ya kukamilisha ahadi zao kwa wananchi kwani bado ni viongozi mpaka zoezi lakuchukua fomu litakapoanza ingawa inawezakena baadhi yao wanaweza kuwa wanamaliza muda wao na wengine kupoteza nafasi za uongozi kwa kushindwa katika kura za maoni.
‘’Achaneni nao viongozi wanaotumia fedha kutimiza ahadi ya chama cha mapinduzi ambayo inataka mgombea kupita bila matumizi ya rushwa na tamaa. Ukumpitisha kiongozi wa rushwa maana yake umepitisha uovu kwenye jimbo’’. Alionya Makamu wa Rais wa Pili wa Zanzibar Balozi Seif Idd.
Aidha kiongozi huyo ameonya kuwa kwasasa kuna baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi na baadhi ya watu serikalini wanaojifanya madalali wa wagombea na wanawahamasisha baadhi ya watu kwenda kugombea nafasi ya uongozi na kuonya kuwa tabia hii pia haikubaliki kwani uongozi ni suala la hiari.
Katika salam zake kwa wanachama wa chama cha Mapinduzi Mkoani Shinyanga Mbunge wa Kahama Jumanne Kishimba amemwomba Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd kuangalia namna bora ya kuwapa motisha hata kuwapatia Bima za Afya kutokana na juhudi zao katika kujenga Chama Cha Mapinduzi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar yuko Mkoani Shinyanga kwa ziara ya Kichama na ataendelea ziara yake katika Manispaa ya Shinyanga na kuendelea kufanya shughuli za Chama kwa kuwa ni mlezi wa Chama hicho Mkoani Shinyanga.
![](https://1.bp.blogspot.com/-_UkrAR7fxW0/XvbJYXjtkuI/AAAAAAALvog/jE8okzxzsGwaDXKAf0JSMkSsel_tDTOzACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mDcu7RC__pw/XvbJYOpSj2I/AAAAAAALvoc/_N3ANPY1mJcgaYtzEO1Oy_ccaT51HqodQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M6xhRs2dG6w/XvZDHJSfefI/AAAAAAALvnk/CQ2VlY3QKUUgjTsRfQlO0MzaCAdMA8n5QCLcBGAsYHQ/s72-c/1-56-scaled.jpg)
IMF YAAHIDI KUIPATIA TANZANIA FEDHA ITAKAYOIHITAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-M6xhRs2dG6w/XvZDHJSfefI/AAAAAAALvnk/CQ2VlY3QKUUgjTsRfQlO0MzaCAdMA8n5QCLcBGAsYHQ/s1600/1-56-scaled.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Kabudi akisalimiana na Mkurugenzi Mkazi wa IMF nchini Tanzania Bw. Jens Reinke
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-38-scaled.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi akimuelezea jambo Mkurugenzi Mkazi wa IMF nchini Tanzania Bw. Jens Reinke leo katika ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-39-scaled.jpg)
Mkurugenzi Mkazi wa IMF nchini Tanzania Bw. Jens Reinke akiongea na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi leo katika ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4-35-scaled.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi akiongea na Balozi wa Vietnam nchini, Mhe. Nguyen Kim Doanh ambaye amemaliza muda wake wa utumishi nchini Tanzania
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/517d7818-068c-418c-b78c-1b733630f588.jpg)
Balozi wa Vietnam nchini, Mhe. Nguyen Kim Doanh akipokea zawadi kutoka kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Kabudi
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/b24fdf48-b539-4e23-9ca0-9cd47ee5e303.jpg)
Balozi wa Vietnam nchini, Mhe. Nguyen Kim Doanh akimkabidhi zawadi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Kabudi
*****************************
Shirika la Fedha Duniani (IMF) limeahidi kuipatia Tanzania fedha itakayoihitaji ili iweze kuendelea kukabiliana na athari zitokanazo na janga la Covid 19 kwa ajili ya kuimarisha uchumi wake.
Mkurugenzi Mkazi wa IMF nchini Tanzania Bw. Jens Reinke ameyasema hayo wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamamba John Kabudi leo katika ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam.
Pia Bw. Reinke ameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa hatua madhubuti inazozichukua katika kukabiliana na janga la Covid 19 ili kuepusha madhara ya kiuchumi na kijamii.
Mazungumzo hayo pia yamelenga miradi ya maendeleo, msamaha wa madeni kwa nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania, ushirikiano baina ya IFM na Tanzania, biasara na utalii.
Kwa upande wake, Prof. Kabudi ameishukuru (IMF) kwa msamaha wa madeni ambao umetolewa kwa Tanzania na nchi nyingine, fedha zitakazoziwezesha nchi hizo kuendelea kukabiliana na Covid 19.
“Tumeongelea mambo mbalimbali yanayohusu ushirikiano hasa katika kuimarisha uchumi wetu baada ya janga la covid 19, usirikiano kati ya Tanzania na IMF unafahamika na tumekubaliana baadhi ya mambo ambayo tutayafanyia kazi kwa kina ili tuweze kuimarisha uchumi wetu baada ya corona hasa katika sekta ya utalii, biashara na miundombinu,” amesema Prof. Kabudi.
Katika hatua nyingine, Waziri Kabudi amekutana na kumuaga Balozi wa Vietnam nchini, Mhe. Nguyen Kim Doanh ambaye amemaliza muda wake wa utumishi na amemtakia maisha mema na kumsihi kuendelea kuwa balozi mwema kwa Tanzania nchini Vietnam na duniani kwa ujumla.
“Kwa niaba ya Serikali napenda kukuhakikishia kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana na Vietnam katika nyanja mbalimbali za kimataifa ikiwemo kuiunga mkono Vietnum katika kugombea nafasi mbalimbali katika Masirika ya KImataifa,” Amesema Prof. Kabudi
Nae Balozi Doanh ameishukuru Tanzania kwa ushirikiano ambao imekuwa ikimpatia alipokuwa akitekeleza majukumu yake nchini wakati wote na kuahidi kuwa ushirikiano kati ya nchi hizo mbili utaendelea kuimarishwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wIruOrjZ2Zg/XvY_ngzqL8I/AAAAAAALvnE/VJZc7ndsH_cAXqkOogUfFGXlpUdf9mscgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-55-768x512.jpg)
SERIKALI KUBORESHA MAZINGIRA YA UKUSANYAJI TAKWIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-wIruOrjZ2Zg/XvY_ngzqL8I/AAAAAAALvnE/VJZc7ndsH_cAXqkOogUfFGXlpUdf9mscgCLcBGAsYHQ/s640/1-55-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-37-1024x683.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (katikati) na Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dkt. Amina Msengwa, wakipokea hati ya kiwanja eneo ambalo Ofisi ya NBS Mkoa wa Kigoma kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Bw. Rashid Mchata, wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la msingi katika ofisi hizo mkoani Kigoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-38-1024x683.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akimkabidhi hati ya kiwanja Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dkt. Amina Msengwa wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la msingi kwenye jengo la NBS mkoa wa Kigoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4-34-1024x683.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (wa pili kulia), akipata maelezo ya kazi zinazofanywa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu pamoja na mradi wa ujenzi wa Ofisi za Takwimu za Taifa mkoa wa Kigoma, kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Mfumo wa Mawasiliano, Ukusanyaji na Usambazaji wa Taarifa za Kijiografia (GIS), Bw. Benedict Mugambi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6-19-1024x683.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akicheza ngoma na Kikundi maarufu cha Ngoma za asili cha Mapigo Saba cha Ujiji mkoani Kigoma, alipoweka Jiwe la Msingi la Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), mkoani Kigoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/7-8-1024x683.jpg)
Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dkt. Albina Chuwa, akizungumza wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la msingi katika Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), mkoani Kigoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/8-10-1024x683.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Isdor Mpango (walio keti katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Kigoma, waliohudhuria hafla ya uwekeji jiwe la msingi la Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) mkoa wa Kigoma. Kutoka kushoto ni Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dkt. Ablina Chuwa, Mwenyekiti wa Bodi ya NBS – Dkt. Amina Msengwa, kutoka kulia ni Mkuu wa Wilaya Kigoma, Bw. Samson Anga na Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Bw. Rashid Mchata. (Picha na Josephine Majura WFM – KIGOMA)
…………………………………………………………………..
Na. Josephine Majura na Peter Haule, WFM, Kigoma
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango amesema Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya kazi na mifumo ya ukusanyaji wa takwimu ili kuwa na takwimu bora kwa ajili ya kutunga sera na kupanga mipango endelevu ya maendeleo ya Wananchi ikiwa ni pamoja na kuifanyia tathmini na ufuatiliaji mipango hiyo.
Dkt. Mpango ameyasema hayo wakati wa hafla ya kuweka jiwe la msingi la Ofisi ya Taifa ya Takwimu Mkoa wa Kigoma ambalo hadi wakati linawekewa jiwe la msingi limegharimu shilingi milioni 173.
“Jengo hili litakapokamilika litaboresha zaidi utendaji kazi kwa watumishi pamoja na upatikanaji na usambazaji wa takwimu kwa wadau mbalimbali wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu na hususan wakati huu wa maandalizi ya zoezi la kitaifa la Sensa ya Watu na Makazi litakalofanyika mwaka 2022” alisema Dkt. Mpango
Dkt. Mpango aliipongeza Ofisi ya Taifa ya Takwimu kwa namna ambavyo imekuwa ikitekeleza majukumu yake kwa weledi na kuipatia nchi takwimu bora ambazo ndizo zinatumika katika kusukuma gurudumu la maendeleo.
“Mafanikio ya Serikali yetu ya Awamu ya Tano ambayo tunajivunia leo yamejengwa kwa msingi mzuri wa matumizi bora ya takwimu ambazo zinazalishwa na taasisi yetu hii’ aliongeza Dkt. Mpango
Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dkt. Albina Chuwa alisema kuwa ujenzi wa Jengo hilo ni miongoni mwa mikakati ya Ofisi yake ya kuboresha miundombinu itakayo wezesha matumizi ya teknoljia ya kisasa katika shughuli za ukusanyaji na uchakataji wa takwimu mbalimbali hatua iliyolenga kupunguza matumizi ya Serikali.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya aliishukuru Serikali kwa kutenga fedha za kumalizia jengo hilo na kuomba fedha zilizotengwa kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Ofisi hizo zitolewe mapema kwenye robo ya kwanza ya utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2020/21 ili liweze kukamilika mwezi Septemba kama ilivyopangwa.
Ujenzi wa jengo hili ulioanza mwaka 1994 wakati wa Serikali ya Awamu ya Pili chini ya ufadhili wa Ofisi ya Takwimu ya Sweden (Statistics Sweden) iliyokuwa na ushirikiano na Idara Kuu ya Takwimu chini ya Wizara ya Mipango.
Statistics Sweden kwa mujibu wa kumbukumbu zilizoko waligharamia jengo hili kwa jumla ya Shillingi milioni tano mwaka 1994 na Serikali za Awamu ya Tatu, na Nne ziliendelea na juhudi za kugharamia ujenzi wake hadi lilipofikia kwa gharama ya shilingi 173,386,000.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-S7Gt_-0uhbg/XveCk5KR37I/AAAAAAADdgw/1P-LYUAaBBkNnL-PImlZvpAP_5ZhQlsMACNcBGAsYHQ/s72-c/30121278-8465685-Wolves_midfielder_Ruben_Neves_throws_himself_into_a_challenge_wi-a-1_1593265651531.jpg)
SAMATTA ACHEZA MECHI YOTE ASTON VILLA YACHAPWA 1-0 NA WOLVERHAMPTON WANDERERS NYUMBANI
Na Mwandishi Wetu, BirminghamMSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta leo amecheza kwa dakika zote timu yake, Aston Villa ikichapwa 1-0 na Wolverhampton Wanderers FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Villa Park Jijini Birmingham.
Aston Villa ambao leo wamecheza mechi ya nne ndani ya siku 11, sasa wamefikisha mechi nane za ligi bila kushinda na mbaya zaidi wanaonekana wana tatizo kubwa katika safu yao ya ushambuliaji.
Kipigo hicho kinazidi kuwachimbia kaburi Aston Villa, wakibaki nafasi ya 19 na pointi zao 27 baada ya kucheza mechi 32.
Aston Villa wapo juu ya Norwich City inayoshika mkia kwa pointi zake 21 za mechi 31 na nyuma West Ham United na AFC Bournemouth zenye pointi 27 pia za mechi 31 ambao kwa pamoja wanaifuatia Watford yenye pointi 28 za mechi 31.
Tayari Lverpool wamejihakikishia taji la ubingwa wa Ligi Kuu ya England baada ya waliokuwa wapinzani wao kwenye mbio hizo, Manchester City kuchapwa 2-1 na Chelsea juzi.
Liverpool imetwaa ubingwa kwa rekodi ikiwa imebakiza mechi saba baada ya kufikisha pointi 86 katika mechi 31, ikifuatiwa kwa mbali na Man City yenye pointi 63, Leicester City pointi 55 na Chelsea pointi 54 wote wakiwa wamecheza mechi 31.
Wolverhampton baada ya ushindi wa leo inafikisha pointi 52 kufuatia kucheza mechi 32 wakipanda nafasi ya tano mbele ya Manchester United inayobaki na pointi zake 49 mbele ya Tottenham Hotspur
Kikosi cha Aston Villa kilikuwa; Nyland, Konsa/Elmohamady dk60, Hause, Mings, Targett/Taylor dk10, Nakamba/Trezeguet dk82, Douglas Luiz, Hourihane/McGinn dk60, Grealish, Davis/El Ghazi dk82 na Samatta.
Wolves: Rui Patricio, Boly, Coady, Saiss, Doherty, Dendoncker, Neves, Joao Moutinho, Jonny, Jimenez/Neto dk84 na Jota/Traore dk60
Aston Villa ambao leo wamecheza mechi ya nne ndani ya siku 11, sasa wamefikisha mechi nane za ligi bila kushinda na mbaya zaidi wanaonekana wana tatizo kubwa katika safu yao ya ushambuliaji.
Kipigo hicho kinazidi kuwachimbia kaburi Aston Villa, wakibaki nafasi ya 19 na pointi zao 27 baada ya kucheza mechi 32.
![](https://1.bp.blogspot.com/-S7Gt_-0uhbg/XveCk5KR37I/AAAAAAADdgw/1P-LYUAaBBkNnL-PImlZvpAP_5ZhQlsMACNcBGAsYHQ/s640/30121278-8465685-Wolves_midfielder_Ruben_Neves_throws_himself_into_a_challenge_wi-a-1_1593265651531.jpg)
Tayari Lverpool wamejihakikishia taji la ubingwa wa Ligi Kuu ya England baada ya waliokuwa wapinzani wao kwenye mbio hizo, Manchester City kuchapwa 2-1 na Chelsea juzi.
Liverpool imetwaa ubingwa kwa rekodi ikiwa imebakiza mechi saba baada ya kufikisha pointi 86 katika mechi 31, ikifuatiwa kwa mbali na Man City yenye pointi 63, Leicester City pointi 55 na Chelsea pointi 54 wote wakiwa wamecheza mechi 31.
Wolverhampton baada ya ushindi wa leo inafikisha pointi 52 kufuatia kucheza mechi 32 wakipanda nafasi ya tano mbele ya Manchester United inayobaki na pointi zake 49 mbele ya Tottenham Hotspur
Kikosi cha Aston Villa kilikuwa; Nyland, Konsa/Elmohamady dk60, Hause, Mings, Targett/Taylor dk10, Nakamba/Trezeguet dk82, Douglas Luiz, Hourihane/McGinn dk60, Grealish, Davis/El Ghazi dk82 na Samatta.
Wolves: Rui Patricio, Boly, Coady, Saiss, Doherty, Dendoncker, Neves, Joao Moutinho, Jonny, Jimenez/Neto dk84 na Jota/Traore dk60
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EN1Io4j8RAs/Xvdw_d7FCWI/AAAAAAADdgU/52s46Ef3TCMWhLdFwFRP6nSHXWmj2uz0ACNcBGAsYHQ/s72-c/1.jpeg)
YANGA YAWACHAPA NDANDA 3-2 NA KUREJEA NAFASI YA PILI LIGI KUU
Na Mwandshi Wetu, DAR ES SALAAM
VIGOGO Yanga SC wametokea nyuma na kushinda 3-2 dhidi ya Ndanda SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Ushindi huo unairejesha Yanga SC nafasi ya pili, ikifikisha pointi 60 katika mchezo wa 32, sasa inazidiwa pointi 18 na mabingwa watetezi, SImba SC ambao wana mechi moja mkononi.
Katika mchezo wa leo uliochezeshwa na refa Raphael Ikambi wa Morogoro aliyesaidiwa na Sunday Komba wa Kilimanjaro na Credo Mbuya wa Mbeya, Yanga walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa kiungo wake, Deus David Kaseke dakika ya tano tu akimalizia pasi ya mshambuliaji Ditram Adrian Nchimbi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-EN1Io4j8RAs/Xvdw_d7FCWI/AAAAAAADdgU/52s46Ef3TCMWhLdFwFRP6nSHXWmj2uz0ACNcBGAsYHQ/s1600/1.jpeg)
Lakini Ndanda SC wakatoka nyuma kwa mabao mawili ya Abdul Hamisi dakika ya 10 na 15 mara zote akimalizia kazi nzuri ya mchezaji mwenzake Omary Mponda na kuongoza kwa 2-1.
Mchezaji wa zamani wa Mbeya City, Deus Kaseke akaisawazishia Yanga dakika ya 45 akimalizia kazi nzuri ya beki wa kulia, Juma Abdul Mnyamani.
Mkongwe Mrisho Khalfan Ngassa akatokea benchi kipindi cha pili na kuifungia Yanga SC bao la ushindi dakika ya 72 akimalizia kazi nzuri ya Juma Abdul.
Mechi nyingine za Ligi Kuu leo, Bao la dakika ya 90 na ushei la Gershon Kabeja likainusuru Biashara United kulala nyumbani mbele ya Azam FC iliyotangulia kwa bao la Frank Domayo dakika ya 48 timu hizo zikitoka sare ya 1-1 Uwanja wa Karume, Musoma mkoani Mara.
Nayo Kagera Sugar ikalazimishwa sare ya 1-1 na KMC ya Kinondoni, Dar es Salaam, wageni wakitangulia kwa bao la Abdul Hassan dakika ya 22, kabla ya Yussuph Mhilu kuwasawazishia wenyeji dakika ya 40 Uwanja wa Kaitaba, Bukoba.
Ruvu Shooting nayo ikatoa sare ya 1-1 na Namungo FC Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani - Abeid Athuman akiwatanguliza wageni dakika ya 16, kabla ya William Patrick kuwasawazishia wenyeji dakika ya 30.
Na Uwanja wa Mwadui Complex, wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, bao pekee la Wallace Kiango dakika ya 56 likaipa Mwadui FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, wakati Uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza, bao pekee la Martine Kiggi dakika ya 47 likawapa wenyeji, Alliance FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Coastal Union.
Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya, mabao ya Peter Mapunda dakika ya 37 na Patson Shigala dakika ya 90 na ushei yakaipa Mbeya City ushindi wa 2-0 dhidi ya JKT Tanzania.
Singida United wakachapwa 3-2 na Lipuli FC Uwanja wa Liti mkoani Singida, mabao ya wageni yakifungwa na Daruwesh Saliboko dakika ya 32 kwa penalti na 33 na Joseph Ntamack dakika ya 57, huku ya wenyeji yakifungwa na Stephen Sey dakika ya 35 na 41.
Kikosi cha Yanga SC leo kilikuwa; Farouk Shikhalo, Juma Abdul, Adeyoum Ahmed, Said Juma ‘Makapu’, Kelvin Yondan, Feisal Salum, Haruna Niyonzima/ Patrick Sibomana dk78, Raphael Daudi/ Abdulaziz Makame dk46, David Molinga/ Tariq seif dk78, Ditram Nchimbi/Mrisho Ngassa dk64 na Deus Kaseke.
Ndanda SC; Ally Mustapha ‘Barthez’, Swalehe Abdallah, Hemed Khoja, Abdulrazak Mohamed, Paul Maona, Danald Taro, Abdul Hamisi/ Kassim Mdoe dk70, Vitalis Mayanga, Omar Mponda/Athumani Chubi dk85, Omary Ramadhani/Omary Hamisi dk80 na Kiggi Makassy.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u6PB_5_bkz4/XvY5ySoo_TI/AAAAAAALvmU/blDSaQ0v8-4VU5vaSxJif3UuPR5EtAJ3gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B6.29.34%2BPM.jpeg)
BAADA YA MIAKA 30 WOTE TUPIGE KELELE KWA LIVERPOOL YAKEE
BAADA YA MIAKA 30 WOTE TUPIGE KELELE KWA LIVERPOOL YAKEE
Charles James, Michuzi TV
NI kama Ndoto! Wale wote waliokua wanatusimanga, wanatuponda na kutukejeli leo wametupost kwenye status za WhatsApp na mitandao mingine ya kijamii wakitupongeza.
Kwenye Radio na Televisheni, Magazeti na Mitandaoni stori ni moja tu mjinii, Liverpool ndio Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya England.
Subirio la miaka 30 limetimia, kiu yetu ya kubeba taji la England imekatika. Hakuna mwenye uthubutu wa kutukejeli tena " Mara ya mwisho kuchukua ubingwa ni lini?" Maana tutamjibu "Ni leo".
Yote haya yamewezekana kwa sababu ya uvumilivu wa mioyo ya wana-Liverpool duniani kote. Moyo uliojengwa tangu zama za Bill Shankly, Bob Paisley hata sasa chini ya Klopp.
Tumepitia nyakati ngumu zenye maumivu, mateso na kebehi, nyakati ambazo hata Chelsea iliyoanza kutamba karne ya 21 ilijiona kubwa kuliko sisi.
Tungeongea nini mbele ya Manchester United? Tuliwapita mataji, wakapambana wakatufikia na kutupita. Arsenal licha ya wao pia kujikongoja bado sisi tulikaa muda mrefu bila kubeba ubingwa wa Ligi.
Chelsea na Man City ndio kama hivyo walishajiona wababe wa England. Nafasi yetu ingekua wapi? Tulijipa matumaini usoni huku mioyo yetu ikichakaa kwa maumivu.
Bado tuliamini katika falsafa yetu ya You'll Never Walk Alone. Tuliamini baada ya mateso makali kuna nyakati za dhahabu zinakuja mbeleni. Lakini nani aliziona?
Baada ya Dalglish kuondoka msimu wa 1989/90 ambao tulitwaa taji la mwisho. Hakuna Kocha ambaye aliturudishia ufalme wetu hadi pale tulipompokea 'mkombozi' Klopp.
Souness alishindwa kuonesha uimara wake wa uwanjani akiwa kocha wetu, Roy na Houllier waliishia kutupa FA na Carling Cup.
Benitez tunamkumbuka kwa Usiku wa Istanbul. Hodgson ni kama hakuwahi kuwa kocha wa Liverpool. Wala usinikumbushe kuhusu Brendan Rodgers.
Ni mateso, karaha na kusimangwa tu. Ungemsikia shabiki wa United akirusha kijembe " Mara ya mwisho Liverpool kutwaa ubingwa Rais wa Tanzania alikua ni Alhaji Hassan Mwinyi, leo Rais ni Dk Magufuli".
Halafu shabiki wa Chelsea angeongezea hii, " Mara ya mwisho Liverpool kubeba Ligi ilikua ukipata kona tano basi zinageuka kuwa goli,". Ilimradi watukejeli tu. Tungejisifu na nini watuelewe?
Ipo misimu tulikosa ubingwa, tukakosa nafasi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa, tukaikosa hata nafasi ya kucheza Europa League. Maskini sisi!
Aston Villa walikua wababe kwetu, Crystal Palace waliyadondosha machozi ya Luis Suarez, Chelsea wakamfanya Gerrard adhalilike.
Sitosahau tulivyochapwa na Stoke City goli sita tena katika sendoff ya Steven Gerrard. Yaani mechi ya kumuaga Legend wetu tukachapwa Sita. Fedheha hizi!
Sasa tunacheka, furaha imerudi mahala pake na wala hatuchekwi tena, Dunia nzima inamsifu Mfalme, wote wanaimba mapambio ya kuusifu ubora wa Mfalme mpya.
Tazama twitt ya Mwana FA huko Twitter, amenyanyua mikono kusalimu amri, kumbuka huyu ni Manchester United damu. Msemaji wa Simba na Shabiki wa kutupwa wa Manchester United, Haji Manara amerusha taulo akikiri ubora wa Mfalme.
Nani ambaye hataki kukubali ubora wetu? Anyooshe mkono tu hata ajifanye tu anajikuna.
Misimu minne ya mafanikio makubwa chini ya Jurgen Klopp. Alituahidi, amefanya na leo kila mmoja anasifu mafanikio yetu.
Maisha yangekuaje bila Klopp katika viunga vya Merseyside? Press Conference yake ile Oktoba 12, 2015 wakati akitambulishwa kuwa Kocha mpya wa Liverpool bado inazunguka kichwani mwangu.
Aliahidi kuwa atleast baada ya miaka minne basi atakua ameleta ubingwa Anfield, akaongeza asipotupa ubingwa basi ataenda zake kufundisha soka Uswis.
Misimu mitatu ya kwanza ilitosha kutushtua na kutueleza ni kocha wa aina gani. Tulitinga fainali tatu tofauti, Ligi ya Mabingwa vs Real Madrid kule Ukraine, Europa dhidi ya Seville na Kombe la Ligi vs Man City. Zote tulipoteza, kejeli zikazidi.
Tazama sasa ndani ya kipindi cha miezi 12 Liverpool imetwaa mataji makubwa manne. Ndani ya msimu mmoja huu wa 2019/20 tumetwaa mataji matatu makubwa. Ligi Kuu, Super Cup na Kombe la Dunia la Klabu. Heshima ilioje.
Nimepata bahati ya kumsoma Bill Shankly ambaye anatambulika kama Baba wa Liverpool na binadamu mwenye heshima nyingi sana Anfield.
Spirit, Falsafa na Identity tuliyonayo leo imetokea kichwani kwake. Ninamtunuku nyota nyingi sana.
Bob Paisley OBE ndie Kocha mwenye mataji mengi kuliko wote kwenye historia ya Liverpool. Makombe zaidi ya 20.
Yeye, Zinedine Zidane na Carlo Ancellot ndio makocha ambao wametwaa mara tatu taji la UEFA. OBE amefanya hivyo mara tatu akiwa Anfield. Heshima yake ni kubwa sana.
Jurgen Kaiser Klopp; Tuseme nini kuhusu huyu bwana. Alitukuta tukiwa walalahoi haswa. Tulikataliwa na makocha hadi wachezaji. Usisahau Karim Benzema alivyowahi kutupiga chini akisema sisi siyo timu ya hadhi yake.
Jurgen Klopp alitubadilisha kutoka kuwa wenye mashaka kuwa wenye imani. Alitukanwa, akasimangwa, akabezwa (mimi nikiwemo) lakini leo ametusimamisha juu ya mnara wa 'Babeli' na wala hatujapata ububu.😊
Tumetwaa taji la sita la Ligi ya Mabingwa. Tumetwaa Super Cup. Zaidi ya yote tumebeba Kombe la Klabu bingwa Dunia ambalo hatujawahi kubeba toka Liverpool ianzishwe.
Leo hii tumetwaa Taji la Ligi ya England. Hii ni baada ya miaka 30, miaka 30 ya kunyanyaswa, kutukanwa na kuchekwa.
Jurgen ametupandisha juu ya Mlima Kilimanjaro na kila mmoja anaimba mapambio ya kuisifu Liverpool. Mapambio ya kumsifu Mfalme mpya mjini.
Waliosema Ligi ifutwe kwa sababu ya Corona sasa wameinamisha vichwa, Tulisema msimu huu tutahakikisha Chizi anakimbia Jalala.
Labda niwaulize ndugu zangu wa Manchester United na Arsenal wanawezaje kukaa kitambo kirefu hiko bila kuchukua Ligi Kuu? Sisi wenzao mara ya mwisho kubeba ni leo tu.
Na baada ya yote hayo mimii binafsi. Mimi hapa, kwa kutwaa Taji hili la Ligi ninamueka Klopp daraja la juu, juu zaidi ya Shankly na OBE.
0683 015145![](https://1.bp.blogspot.com/-u6PB_5_bkz4/XvY5ySoo_TI/AAAAAAALvmU/blDSaQ0v8-4VU5vaSxJif3UuPR5EtAJ3gCLcBGAsYHQ/s1600/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B6.29.34%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-82AeDq6YYIA/XvY5ywifyDI/AAAAAAALvmc/sLVkYQWIuzgqMlYSZZ3e_ikb8pswgVcNgCLcBGAsYHQ/s1600/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B6.30.16%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TV
NI kama Ndoto! Wale wote waliokua wanatusimanga, wanatuponda na kutukejeli leo wametupost kwenye status za WhatsApp na mitandao mingine ya kijamii wakitupongeza.
Kwenye Radio na Televisheni, Magazeti na Mitandaoni stori ni moja tu mjinii, Liverpool ndio Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya England.
Subirio la miaka 30 limetimia, kiu yetu ya kubeba taji la England imekatika. Hakuna mwenye uthubutu wa kutukejeli tena " Mara ya mwisho kuchukua ubingwa ni lini?" Maana tutamjibu "Ni leo".
Yote haya yamewezekana kwa sababu ya uvumilivu wa mioyo ya wana-Liverpool duniani kote. Moyo uliojengwa tangu zama za Bill Shankly, Bob Paisley hata sasa chini ya Klopp.
Tumepitia nyakati ngumu zenye maumivu, mateso na kebehi, nyakati ambazo hata Chelsea iliyoanza kutamba karne ya 21 ilijiona kubwa kuliko sisi.
Tungeongea nini mbele ya Manchester United? Tuliwapita mataji, wakapambana wakatufikia na kutupita. Arsenal licha ya wao pia kujikongoja bado sisi tulikaa muda mrefu bila kubeba ubingwa wa Ligi.
Chelsea na Man City ndio kama hivyo walishajiona wababe wa England. Nafasi yetu ingekua wapi? Tulijipa matumaini usoni huku mioyo yetu ikichakaa kwa maumivu.
Bado tuliamini katika falsafa yetu ya You'll Never Walk Alone. Tuliamini baada ya mateso makali kuna nyakati za dhahabu zinakuja mbeleni. Lakini nani aliziona?
Baada ya Dalglish kuondoka msimu wa 1989/90 ambao tulitwaa taji la mwisho. Hakuna Kocha ambaye aliturudishia ufalme wetu hadi pale tulipompokea 'mkombozi' Klopp.
Souness alishindwa kuonesha uimara wake wa uwanjani akiwa kocha wetu, Roy na Houllier waliishia kutupa FA na Carling Cup.
Benitez tunamkumbuka kwa Usiku wa Istanbul. Hodgson ni kama hakuwahi kuwa kocha wa Liverpool. Wala usinikumbushe kuhusu Brendan Rodgers.
Ni mateso, karaha na kusimangwa tu. Ungemsikia shabiki wa United akirusha kijembe " Mara ya mwisho Liverpool kutwaa ubingwa Rais wa Tanzania alikua ni Alhaji Hassan Mwinyi, leo Rais ni Dk Magufuli".
Halafu shabiki wa Chelsea angeongezea hii, " Mara ya mwisho Liverpool kubeba Ligi ilikua ukipata kona tano basi zinageuka kuwa goli,". Ilimradi watukejeli tu. Tungejisifu na nini watuelewe?
Ipo misimu tulikosa ubingwa, tukakosa nafasi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa, tukaikosa hata nafasi ya kucheza Europa League. Maskini sisi!
Aston Villa walikua wababe kwetu, Crystal Palace waliyadondosha machozi ya Luis Suarez, Chelsea wakamfanya Gerrard adhalilike.
Sitosahau tulivyochapwa na Stoke City goli sita tena katika sendoff ya Steven Gerrard. Yaani mechi ya kumuaga Legend wetu tukachapwa Sita. Fedheha hizi!
Sasa tunacheka, furaha imerudi mahala pake na wala hatuchekwi tena, Dunia nzima inamsifu Mfalme, wote wanaimba mapambio ya kuusifu ubora wa Mfalme mpya.
Tazama twitt ya Mwana FA huko Twitter, amenyanyua mikono kusalimu amri, kumbuka huyu ni Manchester United damu. Msemaji wa Simba na Shabiki wa kutupwa wa Manchester United, Haji Manara amerusha taulo akikiri ubora wa Mfalme.
Nani ambaye hataki kukubali ubora wetu? Anyooshe mkono tu hata ajifanye tu anajikuna.
Misimu minne ya mafanikio makubwa chini ya Jurgen Klopp. Alituahidi, amefanya na leo kila mmoja anasifu mafanikio yetu.
Maisha yangekuaje bila Klopp katika viunga vya Merseyside? Press Conference yake ile Oktoba 12, 2015 wakati akitambulishwa kuwa Kocha mpya wa Liverpool bado inazunguka kichwani mwangu.
Aliahidi kuwa atleast baada ya miaka minne basi atakua ameleta ubingwa Anfield, akaongeza asipotupa ubingwa basi ataenda zake kufundisha soka Uswis.
Misimu mitatu ya kwanza ilitosha kutushtua na kutueleza ni kocha wa aina gani. Tulitinga fainali tatu tofauti, Ligi ya Mabingwa vs Real Madrid kule Ukraine, Europa dhidi ya Seville na Kombe la Ligi vs Man City. Zote tulipoteza, kejeli zikazidi.
Tazama sasa ndani ya kipindi cha miezi 12 Liverpool imetwaa mataji makubwa manne. Ndani ya msimu mmoja huu wa 2019/20 tumetwaa mataji matatu makubwa. Ligi Kuu, Super Cup na Kombe la Dunia la Klabu. Heshima ilioje.
Nimepata bahati ya kumsoma Bill Shankly ambaye anatambulika kama Baba wa Liverpool na binadamu mwenye heshima nyingi sana Anfield.
Spirit, Falsafa na Identity tuliyonayo leo imetokea kichwani kwake. Ninamtunuku nyota nyingi sana.
Bob Paisley OBE ndie Kocha mwenye mataji mengi kuliko wote kwenye historia ya Liverpool. Makombe zaidi ya 20.
Yeye, Zinedine Zidane na Carlo Ancellot ndio makocha ambao wametwaa mara tatu taji la UEFA. OBE amefanya hivyo mara tatu akiwa Anfield. Heshima yake ni kubwa sana.
Jurgen Kaiser Klopp; Tuseme nini kuhusu huyu bwana. Alitukuta tukiwa walalahoi haswa. Tulikataliwa na makocha hadi wachezaji. Usisahau Karim Benzema alivyowahi kutupiga chini akisema sisi siyo timu ya hadhi yake.
Jurgen Klopp alitubadilisha kutoka kuwa wenye mashaka kuwa wenye imani. Alitukanwa, akasimangwa, akabezwa (mimi nikiwemo) lakini leo ametusimamisha juu ya mnara wa 'Babeli' na wala hatujapata ububu.😊
Tumetwaa taji la sita la Ligi ya Mabingwa. Tumetwaa Super Cup. Zaidi ya yote tumebeba Kombe la Klabu bingwa Dunia ambalo hatujawahi kubeba toka Liverpool ianzishwe.
Leo hii tumetwaa Taji la Ligi ya England. Hii ni baada ya miaka 30, miaka 30 ya kunyanyaswa, kutukanwa na kuchekwa.
Jurgen ametupandisha juu ya Mlima Kilimanjaro na kila mmoja anaimba mapambio ya kuisifu Liverpool. Mapambio ya kumsifu Mfalme mpya mjini.
Waliosema Ligi ifutwe kwa sababu ya Corona sasa wameinamisha vichwa, Tulisema msimu huu tutahakikisha Chizi anakimbia Jalala.
Labda niwaulize ndugu zangu wa Manchester United na Arsenal wanawezaje kukaa kitambo kirefu hiko bila kuchukua Ligi Kuu? Sisi wenzao mara ya mwisho kubeba ni leo tu.
Na baada ya yote hayo mimii binafsi. Mimi hapa, kwa kutwaa Taji hili la Ligi ninamueka Klopp daraja la juu, juu zaidi ya Shankly na OBE.
0683 015145
![](https://1.bp.blogspot.com/-u6PB_5_bkz4/XvY5ySoo_TI/AAAAAAALvmU/blDSaQ0v8-4VU5vaSxJif3UuPR5EtAJ3gCLcBGAsYHQ/s1600/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B6.29.34%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-82AeDq6YYIA/XvY5ywifyDI/AAAAAAALvmc/sLVkYQWIuzgqMlYSZZ3e_ikb8pswgVcNgCLcBGAsYHQ/s1600/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B6.30.16%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ycHR1WuOUCo/XvY5y1A2NeI/AAAAAAALvmY/QikiWI7Gb3oDLhjl8B7EeTHCVe5pmSBQwCLcBGAsYHQ/s1600/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B6.31.34%2BPM.jpeg)
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Taji la ligi ya England: Jinsi kocha Jurgen Klopp alivyoisaidia Liverpool kushinda taji la Ligi ya Primia.
Jurgen Klopp amechangia pakubwa katika ushindi wa Liverpool kwenye Ligi ya Primia.
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Unyonge wa Liverpool wa miaka 30 EPL wafikia kikomo
Subira vuta kheri - Subira ya liverpool ya miaka 30 ili kushinda kombe la ligi ya England imetimia baada ya klabu ya Manchester City kupoteza 2-1 dhidi ya Chelsea na hivyobasi kuwathibitisha The Reds kuwa mabingwa wapya wa ligi hiyo.
5 years ago
CCM Blog![](https://3.bp.blogspot.com/-mo2Fe9kxsjU/XvV00c8x0sI/AAAAAAACOeE/RhWKhIKOz9svKMqWuMu57bF_psbT4PD6gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200626-WA0018-691x950.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://2.bp.blogspot.com/-i7HRbT0bhDA/XvVyYqrMGcI/AAAAAAACOc4/pQ9alYfg1TEqd8mhbA-6EqhLYU80f2aFwCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed-8.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-TWgXLGhbbx4/XvQ_aB_xkYI/AAAAAAADddk/Ed0xIkKlOpkpQpKIvSceie3oERp12ZPLwCNcBGAsYHQ/s72-c/30016422-8456705-image-a-18_1593025427694.jpg)
SAMATTA ACHEZA HADI MWISHO ASTON VILLA YATOA SARE YA 1-1 NA NEWCASTLE ST. JAMES' PARK
Na Mwandshi Wetu, NEWCASTLEMSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta jana amecheza muda wote, Aston Villa ikitoa sare ya 1-1 na Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. James' Park.
Wenyeji, Newcastle United walitangulia kwa bao la Dwight Gayle dakika ya 68 kabla ya Ahmed Elmohamady kuisawazishia Newcastle United dakika ya 83.
Kwa sare hiyo, Aston Villa inafikisha pointi 27 baada ya kucheza mechi 31, ingawa inabaki nafasi ya 19 mbele ya Norwich City yenye pointi 21 za mechi 31, ikizidiwa wastani wa mabao na West Ham United na AFC Bournemouth.
Liverpool inaendelea kuongoza Ligi Kuu ya England kwa pointi zake 86 baada ya kucheza mechi 31, ikifuatiwa na Manchester City yenye pointi 63 za mechi 30, Leicester City pointi 55 mechi 31, Chelsea pointi 51 mechi 30 na Manchester United pointi 49 mechi 31.
Kikosi cha Newcastle United kilikuwa: Dubravka, Manquillo, Lascelles, Fernandez, Rose, Ritchie/Gayle dk67, Shelvey, Hayden/Bentaleb dk86, Saint-Maximin, Almiron/Lazaro dk86 na Joelinton/Carroll dk64.
Aston Villa: Nyland, Konsa/Elmohamady dk77, Hause, Mings, Targett, McGinn/Nakamba dk77, Douglas Luiz, Grealish, El Ghazi/Hourihane dk70, Samatta na Trezeguet/Davis dk70.
Wenyeji, Newcastle United walitangulia kwa bao la Dwight Gayle dakika ya 68 kabla ya Ahmed Elmohamady kuisawazishia Newcastle United dakika ya 83.
Kwa sare hiyo, Aston Villa inafikisha pointi 27 baada ya kucheza mechi 31, ingawa inabaki nafasi ya 19 mbele ya Norwich City yenye pointi 21 za mechi 31, ikizidiwa wastani wa mabao na West Ham United na AFC Bournemouth.
![](https://1.bp.blogspot.com/-TWgXLGhbbx4/XvQ_aB_xkYI/AAAAAAADddk/Ed0xIkKlOpkpQpKIvSceie3oERp12ZPLwCNcBGAsYHQ/s640/30016422-8456705-image-a-18_1593025427694.jpg)
Kikosi cha Newcastle United kilikuwa: Dubravka, Manquillo, Lascelles, Fernandez, Rose, Ritchie/Gayle dk67, Shelvey, Hayden/Bentaleb dk86, Saint-Maximin, Almiron/Lazaro dk86 na Joelinton/Carroll dk64.
Aston Villa: Nyland, Konsa/Elmohamady dk77, Hause, Mings, Targett, McGinn/Nakamba dk77, Douglas Luiz, Grealish, El Ghazi/Hourihane dk70, Samatta na Trezeguet/Davis dk70.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Dxk0GOTMl2g/XvRQOjbLxVI/AAAAAAALvUk/lIzYYY1N0SUQTNeL0zMA7npjZNxxrDQJwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B10.15.12%2BAM.jpeg)
Man City kuwaongezea siku moja zaidi Liverpool kusubiri taji baada ya miaka 30
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dxk0GOTMl2g/XvRQOjbLxVI/AAAAAAALvUk/lIzYYY1N0SUQTNeL0zMA7npjZNxxrDQJwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B10.15.12%2BAM.jpeg)
Unachopaswa kufahamu, hapa Meridianbet kuna idadi kubwa sana ya odds zinazoisubiri mechi hii. Matokeo mengine yeyote zaidi ya Man City kushinda ina maana baada ya miaka 30 ya kusubiri, hatimaye Anfield wanapokea taji. Chelesa hawatataka kufunikwa wakiwa nyumbani, watapambana vilivyo kujiongezea gepu la pointi dhidi ya mpinzani wake aliyepo nafasi ya 5 kujihakikishia nafasi yao katika Ligi ya Mabingwa.
Macho yote ya wapenzi wa soka la Uingereza, hasa mashabiki wa Liverpool, yalikuwa yakitazama Man City alichomfanya Burnley, matokeo yalikuwa yaliwafurahisha sana wazee wa mikeka.
Meridianbet inakupa maana tofauti kabisa ya Double Bet, ili tiketi yako iweze kushinda - unahitaji kupatia moja tu kati ya bashiri zako mbili. Unganisha matokeo ya mwisho na idadi ya magoli na ujitengenezee nafasi ya kushinda.
Kuna sababu kibao za kujisajili sasa na Meridianbet.co.tz kisha endelea kujilipa na soka la Uingereza kwa staili yako Unapata 5% ya bonasi kwa kila muamala wa kuanzia 5000 wa kuweka pesa kwenye akaunti tako.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TFllIJcG3bc/XvMWQVUjpBI/AAAAAAAEH_k/zyG69FuhukM1mYA-wBlO1ggHrewiUsgigCLcBGAsYHQ/s72-c/Yangaapic.jpg)
SINEMA YA YANGA NA MORRISON YAANZA UPYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TFllIJcG3bc/XvMWQVUjpBI/AAAAAAAEH_k/zyG69FuhukM1mYA-wBlO1ggHrewiUsgigCLcBGAsYHQ/s320/Yangaapic.jpg)
Yassir Simba, Michuzi Tv Sakata la mchezaji wa Young Africans raia wa Ghana,Bernard Morrison limechukua sura mpya ambapo kupitia nakala iliyotolewa na kaimu katibu mkuu wa klabu ya Yanga Wakili Simon Patrick leo tarehe 24/06/2020 klabu ya Yanga imeamua kumkata kiasi cha shillingi 1,500,000 pesa taslimu ya kitanzania mchezaji huyo kutokana na kile kinachdaiwa na klabu hiyo kuwa mchezaji huyo alifanya mahojiano na chombo cha habari bila kufuata utaratibu uliowekwa na kabu.
Katika siku hizi za hivi karibuni kumekuwa na malalamiko juu ya mkataba ya mchezaji huyo kwa kile kinachodaiwa kuwa kuna baadhi ya timu zinatajwa kumnyemelea mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27,ikumbukwe Yanga na Morrison waliingia mkataba wa miezi saba na mchezaji huyo kuanzia tarehe 15/01/2020 mpaka 14/07/2020 kwa kuwa na makubaliano na mchezaji kuwa endapo klabu itaridhisha na kiwango chake mkataba utaongezwa ambapo mara baada ya Yanga kuridhishwa na kiwango chake tarehe 20/03/2020 klabu hiyo ya Yanga iliingia mkataba na Morrison kwa kuzingatia maslahi binafsi ya mchezaji huyo ambapo mkataba huo uliotakiwa kumalizika 14/07/2022 . Mara baada ya Yanga kumuongeza mkataba mchezaji huyo, klabu hiyo iliusajili mkataba huo kwenye mifumo ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na shirikisho la Mpira wa MIguu Duniani ( FIFA) Katika siku za nyuma Morisson aliwahi kugomea kujiunga na timu katika michezo ya ligi kuu ya Tanzania bara ikiwemo mchezo wa Yanga dhidi Mwadui pamoja na Yanga dhidi ya JKT Tanzania ambapo Benard Morrison hakujiunga na timu licha ya kufanya mazoezi na timu pamoja na jina lake kujumuisha katika kikosi cha wachezaji watakao safiri na timu Kupitia nakala iliyotolewa na klabu imesisitiza kuwa endapo kuna klabu yoyote inayomtaka mchezaji huyo benard MOrrison ifuate sheria na taratibu zote kwa maana Morrisn bado ni mchezaji halali wa Yanga
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qNRWiEacmYM/XvMgLggarQI/AAAAAAABMkw/tjR8Sd3eEoM0VijBZNarfRIqtJzU_5gHwCLcBGAsYHQ/s72-c/EbQPn94XsAYjjXj.jpeg)
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Cristiano Ronaldo na Lionel Messi: Ni nani atakayewarithi nyota wa mchezo wa kandanda duniani muongo huu?
Huku tukielekea katika muongo mpya, BBC Sport anauliza ni nani atakayechukua mahal pao Lionel Messi na Cristiano Ronaldo kama viongozi wa soka duniani?
5 years ago
MichuziTimu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate yaanza mazoezi kujiandaa na mashindano ya dunia Japan
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate imeanza Tena mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya kushiriki mashindano ya Dunia ya Karate huko Japani Mwaka ujao.
Mashindano hayo ya Karate ya Dunia yalikuwa yafanyike mwezi octoba mwaka huu ,lakini yakaahilishwa kutokana na Tahadhari ya Virusi vya Corona. Michuano hiyo huwa inafanyika kila baada ya Miaka 3,na wakati huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome Mhagama.. Tumezungumza Jerome Mhagama ambaye Pia ni Mkufunzi mkuu wa Karate Tanzania Juu ya nafasi hiyo iliyopata nchi ya Tanzania.VIDEO- Jerome mhagama -Mkufunzi mkuu wa karate Tanzania.mp4Haya ni mashindano ya 15 ya Dunia Tangu kuanzishwa kwake,na Tanzania imewahi kushiriki mara Mbili katika mashindano hayo.Kwa mara ya kwanza mwaka 2011 mashindano hayo yaliyofanyika Nchini Tailand,Tanzania Ilipeleka mchezaji mmoja ambaye alifika katika hatua ya 16 Bora.
Mwaka 2014 Katika mashindano yaliyofanyika Japan Tanzania Ilishiriki katika mashindano hayo kwa Kupeleka Jaji .
![](https://1.bp.blogspot.com/-8XFBG-onIig/Xui0hl9FO0I/AAAAAAALuB0/3ktRU2Nxf_UyR7sLSZ0Gj95ri2K5A5D7ACLcBGAsYHQ/s1600/2%2BMAZOEZI.JPG)
![](https://1.bp.blogspot.com/-efvGHnlp9qs/Xui0jQiEf0I/AAAAAAALuB4/pDwqt_Otgyo7mQh7hDGeHq7AWnhgIK-XACLcBGAsYHQ/s1600/1%2BMAZOEZI.JPG)
Mashindano hayo ya Karate ya Dunia yalikuwa yafanyike mwezi octoba mwaka huu ,lakini yakaahilishwa kutokana na Tahadhari ya Virusi vya Corona. Michuano hiyo huwa inafanyika kila baada ya Miaka 3,na wakati huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome Mhagama.. Tumezungumza Jerome Mhagama ambaye Pia ni Mkufunzi mkuu wa Karate Tanzania Juu ya nafasi hiyo iliyopata nchi ya Tanzania.VIDEO- Jerome mhagama -Mkufunzi mkuu wa karate Tanzania.mp4Haya ni mashindano ya 15 ya Dunia Tangu kuanzishwa kwake,na Tanzania imewahi kushiriki mara Mbili katika mashindano hayo.Kwa mara ya kwanza mwaka 2011 mashindano hayo yaliyofanyika Nchini Tailand,Tanzania Ilipeleka mchezaji mmoja ambaye alifika katika hatua ya 16 Bora.
Mwaka 2014 Katika mashindano yaliyofanyika Japan Tanzania Ilishiriki katika mashindano hayo kwa Kupeleka Jaji .
5 years ago
BBC16 Jun
Diamond Platnumz and Africa's most popular YouTube stars
The Tanzanian is the first sub-Saharan artist to reach a billion YouTube views - how do Africa's other stars compare?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-081VWrHkLc4/XufeSGoBkbI/AAAAAAALt84/58aZUJBHF9Q-oO-P8t9nWDffB0Jkrr2SQCLcBGAsYHQ/s72-c/tariq%252Bpic.jpg)
YANGA YAAACHANA NA KATIBU MKUU DKT RUHAGO
Na Zainab Nyamka
Uongozi wa Klabu ya Yanga umeachana na Katibu wake Dkt David Ruhago baada ya kufikia makubaliano kwa pande zote mbili.
Taarifa iliyotolewa na Klabu hiyo wamesema kuwa makubaliano ya kusitisha mkataba wa ajira ya Ukatibu Mkuu ndani ya Yanga yamefikiwa leo Juni 15 mwaka huu.
Taarifa ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano Yanga Hassan Bumbuli imesema kusitishwa kwa ajira hiyo ni baada ya majadiliano ya pande zote mbili kwa maslahi mapana ya Klabu ya Yanga.
Amesema, kufuatia hivyo kuanzia siku ya leo Juni 15 Dkt Ruhago ameachia rasmi nafasi ya Ukatibu Mkuu.
Kamati ya utendaji chini ya Mwenyekiti Dkt Mshindo Msolla amemshukuru kwa utumishi wake ndani ya Klabu ya Yanga katika kipindi chote walichokuwa pamoja.
Aidha, katika kipindi nafasi hiyo itakaimiwa na Mwanasheria Simon Patrick ambaye ni Mkurugenzi wa Sheria na wanachama hadi pale Katibu Mkuu atakapopatika
![](https://1.bp.blogspot.com/-081VWrHkLc4/XufeSGoBkbI/AAAAAAALt84/58aZUJBHF9Q-oO-P8t9nWDffB0Jkrr2SQCLcBGAsYHQ/s640/tariq%252Bpic.jpg)
Dkt Ruhago ameweza kuihudumu Yanga kwenye nafasi ya Ukatibu Mkuu kuanzia Novemba 11 2019 baada ya kipindi kirefu toka kujiuzulu kwa aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Charles Boniface Mkwasa na nafasi hiyo kukaimiwa na viongozi tofauti.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-B_IA9nCTFcs/Xufa5W6VyUI/AAAAAAALt8c/i8v0naWjiJ0AjHJAY4G_P0AwQWZP-kjnACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B8.11.17%2BPM.jpeg)
YANGA WATINGA BUNGENI BILA MSHAMBULIAJI NYOTA MORRISON....SPIKA NDUGAI AWAULIZA YUKO WAPO?
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
KIKOSI cha wachezaji wa timu ya Yanga pamoja a viongozi wao leo Juni 15,2020 wametinga Bungeni ambapo shagwe ziliibuka wakati wakisalimia huku Spika Job Ndugai akiuliza alipo mshambuli mahiri wa timu hiyo Benard Morrison.
Morrison ni yule mchezaji ambaye amejizolea umaarufu tangu alipofanikisha kufunga bao moja dhidi ya watani wao wa jadi Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo Yanga waliibuka na ushindi.Juzi wakati Waziri wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango alimtaja wakati akiwasilisha bungeni bajeti kuu ya Serikali.Hali ambayo ilisababisha shangwe kubwa bungeni.
Hata hivyo leo kikosi hicho kimeingia Bungeni bila uwepo wa mshambuliaji huyo ambaye bao lake dhidi ya Simba Waziri wa Fedha analifananisha na mkuki wa sumu.
Wakati anawatambulisha wachezaji hao wa Yanga ,Spika Job Ndugai alisikika akiuliza mahali alipo baada ya kutomuona bungeni wakati wachezaji wengine wakiwa ukumbini humo.
Mchezaji huyo mbali ya kutoonekana leo bungeni, pia hata katika mchezo wao wa juzi dhidi ya Mwadui FC Morrison hakuwepo uwanjani.Pamoja na kutoonekana kwa mchezaji huyo uongozi wa Klabu ya Yanga bado haujasema chochote.Yanga iliwasili Dodoma jana jioni na leo wameenda Bungeni.
KIKOSI cha wachezaji wa timu ya Yanga pamoja a viongozi wao leo Juni 15,2020 wametinga Bungeni ambapo shagwe ziliibuka wakati wakisalimia huku Spika Job Ndugai akiuliza alipo mshambuli mahiri wa timu hiyo Benard Morrison.
Morrison ni yule mchezaji ambaye amejizolea umaarufu tangu alipofanikisha kufunga bao moja dhidi ya watani wao wa jadi Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo Yanga waliibuka na ushindi.Juzi wakati Waziri wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango alimtaja wakati akiwasilisha bungeni bajeti kuu ya Serikali.Hali ambayo ilisababisha shangwe kubwa bungeni.
Hata hivyo leo kikosi hicho kimeingia Bungeni bila uwepo wa mshambuliaji huyo ambaye bao lake dhidi ya Simba Waziri wa Fedha analifananisha na mkuki wa sumu.
Wakati anawatambulisha wachezaji hao wa Yanga ,Spika Job Ndugai alisikika akiuliza mahali alipo baada ya kutomuona bungeni wakati wachezaji wengine wakiwa ukumbini humo.
Mchezaji huyo mbali ya kutoonekana leo bungeni, pia hata katika mchezo wao wa juzi dhidi ya Mwadui FC Morrison hakuwepo uwanjani.Pamoja na kutoonekana kwa mchezaji huyo uongozi wa Klabu ya Yanga bado haujasema chochote.Yanga iliwasili Dodoma jana jioni na leo wameenda Bungeni.
![](https://1.bp.blogspot.com/-B_IA9nCTFcs/Xufa5W6VyUI/AAAAAAALt8c/i8v0naWjiJ0AjHJAY4G_P0AwQWZP-kjnACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B8.11.17%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aPyzhBkuULU/XuRvet2I3eI/AAAAAAALtqM/fPH1AEqIU1oO5BzqONJHfkD7_8C7s6sSQCLcBGAsYHQ/s72-c/yanga%252Blogo.jpg)
AZAM FC, TFF KUADHIMISHA SIKU YA UTOAJI DAMU DUNIANI KWA KUCHANGIA DAMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-aPyzhBkuULU/XuRvet2I3eI/AAAAAAALtqM/fPH1AEqIU1oO5BzqONJHfkD7_8C7s6sSQCLcBGAsYHQ/s400/yanga%252Blogo.jpg)
Zoezi hilo la uchangiaji damu linatarajiwa kufanyika nje ya Uwanja wa Azam Complex kuanzia majira ya saa 6 mchana.
Juni 14, Azam itakuwa ikicheza mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Mbao saa 1.00 usiku na kuhusisha watu wa aina mbalimbali.
Zoezi hilo la uchangiaji damu na kudumisha shirikiano huo kutatanguliwa na mchezo wa kirafiki, utakaowahusisha wafanyakazi wa timu hizo, ukianza majira ya saa 10.00 jioni.
Taarifa iliyotolewa na TFF, imesema kama Shirikiaho iimeona kuna haja ya kushirikiana na Azam FC katika kuadhimisha siku ya utoaji damu Kimataifa siku ya tarehe 14 Juni mwaka huu.
Azam, imeweka Utaratibu kwa watu wote wataojitokeza kuchangia damu katika siku huyo watajipatia tiketi ya bure kushuhudia mechi kati ya Azam FC na Mbao.
Kwa pamoja wametoa wito kwa mashabiki wa mpira na wakazi wa maeneo ya karibu na uwanja wa Azam , kujitokeza kwa wingi kusapoti juhudi za Serikali pamoja na Kitengo cha Damu Salama, katika kutunisha benki ya damu ya Taifa, ili kuokoa maisha ya Watanzania wenzetu wenye uhitaji wa damu hospitalini.
Toa damu, uokoe maisha ya Mtanzania mwenzako!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--Cw8P2HQOsE/XuRqkpTqQWI/AAAAAAALtqA/g82GeP9XkBYDh4ZF_9l9JxROe4aHD2LaACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.53.13%2BAM.jpeg)
Jumuika katika mchezo huu ambao ni mfano halisi wa upendo wa kweli
![](https://1.bp.blogspot.com/--Cw8P2HQOsE/XuRqkpTqQWI/AAAAAAALtqA/g82GeP9XkBYDh4ZF_9l9JxROe4aHD2LaACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.53.13%2BAM.jpeg)
Kwa ushirikiano na Microgaming Kasino ya Mtandaoni ya Meridian imekuletea hii bora zaidi, Immortal Romance. Mchezo huu kimsingi upo katika mazingira ya hadithi za kisayansi, mapenzi ya bashasha na imani za haiba tofauti za kushangaza. Immortal Romance ni mchanganyiko wa mambo yenye asili ya ajabu, hadithi na mazingira ya giza, nguzo za kijivu zinazovunjika, na wahusika halisi ndani ya jedwali.
Mashujaa wanne wanakuongoza kuelekea ulimwengu wa kushangaza wa sloti, ambao una azimia kukupa wewe zawadi kibao za bonasi! Amber ni kizazi cha wachawi wa Karibiani na Sara ni rafiki yake wa utotoni ambaye ni "Immortal" yaani akiwa nguvu za ajabu. Utakutana na Michael na Troy, ambao wanawakilisha mavampaya wawili wenye nguvu za ajabu wanaonekana kama watu wa kawaida.
Kipengele kingine cha kuvutia zaidi cha sloti ya Immortal Romance ni kipengele cha "Wild Desire" ambayo ni kama Tamaa ya Mwitu. Hii inaonekana kwa bahati nasibu katika mchezo wote na inaweza kubadilisha hadi jedwali tano kuwa Wild au Jokeri! Hii inakupa nafasi na fursa ya KUSHINDA hadi MARA 1,500 ZAIDI ya kiasi chako cha awali! Kipengele kizuri, siyo?
Kasino ya Mtandaoni Meridian inastahili heshima kubwa na nafasi ya uongozi, ofa kubwa ya michezo mingi mikubwa inathibitisha hii. Mchezo wa Immortal Romance una kila kitu unachoweza kuhitaji: Inafanya kazi vyema, sauti halisi, maigizo, shauku, hamu, lakini pia mapato makubwa zaidi kwa karibu 97%.
Jijumuishe katika ulimwengu wa mapenzi ya bashasha, maajabu, na imani za kushangaza, ambayo yanakuletea bonasi za kubwa zaidi na bonsai kibao, ni katika kasino za mtandaoni za Meridian pekee.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PSdazjhh3hw/Xt24_T-tSEI/AAAAAAALs9g/nNgL_kN63TAAhyaAVdOTnfs_jjiZB0R7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200607-WA0294.jpg)
DK. ABBAS ATEMBELEA CHUO CHA MICHEZO MALYA MKOANI MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PSdazjhh3hw/Xt24_T-tSEI/AAAAAAALs9g/nNgL_kN63TAAhyaAVdOTnfs_jjiZB0R7wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200607-WA0294.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/IMG-20200607-WA0293.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Hassan Abbas akiwa katika ziara ya kikazi wakati alipotembelea chuo Cha michezo Cha Malya mkoani Mwanza leo kulia ni Mkurugenzi wa Michezo wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Yusuf Singo.…………………………………..
Katibu MKuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi ameutaka uongozi wa Chuo cha Michezo Malya kuongeza ubunifu katika aina ya mafunzo yanayotolewa na chuo hicho.
Akiwa ziarani Chuoni hapo, Dkt Abbasi ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, alishangazwa na Chuo hicho kuwa na wataalamu mbalimbali wa michezo lakini hakuna wataalamu kutoka chuo hicho katika soko la michezo hasa ligi mbalimbali nchini.
“Nafahamu mmekuwa mkijikita zaidi kuzalisha maafisa michezo, hilo mnapaswa kwenda zaidi ya hapo kwa sasa. Lazima pia mjibu mahitaji ya soko la michezo nchini,” alisema Dkt. Abbasi.
Alikiagiza Chuo hicho kuboresha mitaala yake ili kikidhi mahitaji ya soko hasa la sekta binafsi ikiwemo kuzalisha wataalamu kama makocha, wasemaji wa vilabu, wasimamia masuala ya vifaa na ufundi na watendaji wengine.
“Historia ya Chuo hiki imesheheni maono ya Baba wa Taifa tangu miaka ya 1970 kilipoasisiwa. Maoni hayo yanaishi hata sasa na tunapaswa kufikiria kwa kina zaidi namna ya kuyaendeleza kwa kuipatia nchi wataalamu wa elimu ya kati katika michezo iwe kwa ajili ya ofisi za umma, vyuo vya elimu ya juu au ajira binafsi. Uongozi wa sasa mnajukumu la kubadilisha mambo twende mwelekeo huo mpya,” alisema.
Aidha, Dkt. Abbasi amekitaka Chuo hicho pia kuanza kufikiria kuwa na mkondo wa kukuza vipaji vya vijana wenye uwezo katika michezo kama soka wakianzia na mpira wa kikapu na riadha kwa kuwaweka na kuwalea chini ya wataalamu na vifaa walivyonavyo na baadaye kuwasainisha mikataba na timu kubwa ndani na nje ya nchi.
“Nimeshangaa kuona hapa mna makocha wa soka, kikapu, riadha, vifaa mbalimbali ikiwemo viwanja n.k na pia mna wataalamu wa elimu ya viungo na mazoezi lakini mnaishia kuzalisha maafisa michezo tu wa kwenda kukaa maofisini; fikirieni pia kuanza kuzalisha wachezaji kwa kuwalea wenye vipaji kutoka nchi nzima ili baadaye wakatumikie taifa kwenye michezo wakiwa weledi,” alisisitiza.
Katika ziara hiyo Dkt. Abbasi aliambatana na maafisa kutoka Taasisi ya Mchezaji wa Tanzania aliyeko Aston Villa ya Uingereza, Mbwana Samatta, iitwayo Samatta Foundation, ambao walikwenda kujionea uwekezaji uliofanywa na Serikali katika chuo hicho kwa ajili ya kufanyakazi kwa pamoja siku za usoni.
Kesho Dkt Abbasi atatembelea miradi mbalimbali ya Serikali jijini Mwanza ikiwemo kukagua utayari wa viwanja vya michezo kufuatia agizo la Rais Magufuli la kuruhusu michezo kurejea chini ya tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Covid-19.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--NR7-EW9_7E/Xt0biFMLMLI/AAAAAAALs70/9ZLHVe4eyes22e_c7G3vqYvr1IrXhaStQCLcBGAsYHQ/s72-c/fdad5cae-9c4c-4f65-b63e-16fd8dbd1c7e.jpg)
YANGA YANYUKWA 3-0 NA KMC UWANJA WA UHURU JIJINI DAR
Na Zainab Nyamka
WAMEKAA!!! Mchezo wa Kirafiki kati ya Yanga na KMC imemalizika kwa Yanga kukubali kipigo cha goli 3-0.
Mchezo huo umechezwa leo katika Uwanja wa Uhuru ikiwa ni mchezo wao wa pili wa kirafiki baada ya kupata ushindi wa 3-1 dhidi ya Transit Camp.
Mpira ulianza kwa kasi KMC wakitawala mchezo kwa dakika za mwanzo kabla ya Yanga kubadilisha mchezo na kuonekana kuutawala.
KMC walichukua dakika 31 kuweza kuandika goli la kwanza kupitia kwa Sadala Lipangile akipokea pasi ya Charlse Ilanfya.
Dakika ya 45 kabla ya mapumziko, KMC wanaandika goli pili kupitia kwa Ilanfya kwa pasi safi ya Emmanuel Mvuyekule.
Hadi mapumziko KMC wanatoka wakiwa mbele kwa goli 2-0 dhidi ya Yanga.
Hassan Kabunda anaiandikia KMC goli lingine akipiga faulo iliyomshinda mlinda mlango Metacha Mnata na kuiandikia KMC goli la tatu na la ushindi.
Hadi mpira unamalizika KMC walitoka kifua mbele kwa ushindi wa goli 3-0.
Mchezo unaofuata wa Yanga utakuwa ni wa Ligi Kuu dhidi ya Mwadui ambapo ni mchezo wa Kiporo utakaochezwa katika dimba la Kambarage Mkoani Shinyanga.'
WAMEKAA!!! Mchezo wa Kirafiki kati ya Yanga na KMC imemalizika kwa Yanga kukubali kipigo cha goli 3-0.
Mchezo huo umechezwa leo katika Uwanja wa Uhuru ikiwa ni mchezo wao wa pili wa kirafiki baada ya kupata ushindi wa 3-1 dhidi ya Transit Camp.
Mpira ulianza kwa kasi KMC wakitawala mchezo kwa dakika za mwanzo kabla ya Yanga kubadilisha mchezo na kuonekana kuutawala.
KMC walichukua dakika 31 kuweza kuandika goli la kwanza kupitia kwa Sadala Lipangile akipokea pasi ya Charlse Ilanfya.
Dakika ya 45 kabla ya mapumziko, KMC wanaandika goli pili kupitia kwa Ilanfya kwa pasi safi ya Emmanuel Mvuyekule.
Hadi mapumziko KMC wanatoka wakiwa mbele kwa goli 2-0 dhidi ya Yanga.
Hassan Kabunda anaiandikia KMC goli lingine akipiga faulo iliyomshinda mlinda mlango Metacha Mnata na kuiandikia KMC goli la tatu na la ushindi.
Hadi mpira unamalizika KMC walitoka kifua mbele kwa ushindi wa goli 3-0.
Mchezo unaofuata wa Yanga utakuwa ni wa Ligi Kuu dhidi ya Mwadui ambapo ni mchezo wa Kiporo utakaochezwa katika dimba la Kambarage Mkoani Shinyanga.'
![](https://1.bp.blogspot.com/--NR7-EW9_7E/Xt0biFMLMLI/AAAAAAALs70/9ZLHVe4eyes22e_c7G3vqYvr1IrXhaStQCLcBGAsYHQ/s640/fdad5cae-9c4c-4f65-b63e-16fd8dbd1c7e.jpg)
5 years ago
BBCSwahili28 Jun
Je vita 'dhidi ya ugaidi' vitawahi kuitaisha?
Jitihada zilizwekwa bado hazijaweza kufanikiwa kukabiliana na vitisho vya ugaidi vinavyoendelea duniani kote.
5 years ago
BBC28 Jun
Lazarus Chakwera sworn in as Malawi president after historic win
The opposition candidate won nearly 60% of the vote to defeat the incumbent.
5 years ago
BBC28 Jun
Black Lives Matter: Black Arabs inspired to join anti-racism protests
George Floyd's death in the US has inspired black Arabs to protest over racism and discrimination.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2LJvH_3PeLE/XvhPoYqXctI/AAAAAAALvwE/FhvquxW4FhwJoo6xFBuz8Z5Q06SiJYVJACLcBGAsYHQ/s72-c/CRDB%2BAGM.jpg)
Wanahisa Benki ya CRDB kupata ongezeko la asilimia 112.5 la Gawio, Shilingi bilioni 44.4 kutolewa
![](https://1.bp.blogspot.com/-2LJvH_3PeLE/XvhPoYqXctI/AAAAAAALvwE/FhvquxW4FhwJoo6xFBuz8Z5Q06SiJYVJACLcBGAsYHQ/s640/CRDB%2BAGM.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya CRDB, Dkt. Ally Laay...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/MQ1JVxNaan8/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili28 Jun
Lazarus Chakwera: Kutoka kuongoza makanisa ya Walokole mpaka kushinda Urais wa Malawi
Chakwera anakuwa kiongozi wa kwanza wa upinzania Afrika kushinda uchaguzi baada ya kupinga matokeo ya awali ya uchaguzi mahakamani.
5 years ago
BBC28 Jun
Viewpoint: 'I feel like I was accidentally hired'
Ibrahim Diallo describes what life as a black software engineer has been like for him.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m_4yaANm3NQ/XvhSbnpNLEI/AAAAAAALvxQ/L2mARfGUE34Yut2ulyBDVmmB4ZdzDXL6ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B11.13.23%2BAM.jpeg)
ALICHOKISEMA WAZIRI JAFO KWA RAIS DK.MAGUFULI KUHUSU KISARAWE, ASEMA YEYE NI FUNDI SELEMALA
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemeani Jafo amemshukuru Rais Dk.John Magufuli kwa kumuamini na kumteua kwenye nafasi hiyo ya uwaziri licha yeye ni fundi selemala huku akimhakikishia kuendelea kufanya kazi kwa juhudi zake.
Jafo amesema hayo leo Juni 27,2020 wakati wa uzinduzi wa mradi wa maji wilayani Kisarawe ambapo Rais Magufuli ameuzindua rasmi na hivyo kutatua changamoto ya tatizo la maji ambalo limewakabili kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aHELeYGfzSA/XvhRwOIJvDI/AAAAAAALvxE/IoeMQS1CfRUrwsfc4qkMUJ1g43f1IiRqQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B10.16.01%2BAM.jpeg)
RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA MRADI WA MAJI WA KIBAMBA KISARAWE
Na Zainab Nyamka, Michuzi Tv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanua Dkt John Pombe Magufuli amezindua mradi wa maji wa Kibamba Kisarawe uliotekelezwa na Mamlaka ha Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA.
Mradi huo umejengwa kufuatia agizo alilotoa Juni 21,2017 wakati wa uzinduzi wa Mtambo wa Ruvu Juu akiwataka Dawasa kutanua mtandao wa Usambazaji maji na kupeleka maji Kisarawe.
Akitoa maelezo ya mradi huo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Dawasa Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema mradi wa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanua Dkt John Pombe Magufuli amezindua mradi wa maji wa Kibamba Kisarawe uliotekelezwa na Mamlaka ha Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA.
Mradi huo umejengwa kufuatia agizo alilotoa Juni 21,2017 wakati wa uzinduzi wa Mtambo wa Ruvu Juu akiwataka Dawasa kutanua mtandao wa Usambazaji maji na kupeleka maji Kisarawe.
Akitoa maelezo ya mradi huo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Dawasa Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema mradi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uxTQBfhMhmw/Xvg4dmIYElI/AAAAAAALvuw/HXeGwjujqvQOCUT4WrkMsCkkZUFqIl-lACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.44%2BAM.jpeg)
MELI YA MV VICTORIA-HAPA KAZI TU YAANZA SAFARI YAKE MAJARIBIO
![](https://1.bp.blogspot.com/-uxTQBfhMhmw/Xvg4dmIYElI/AAAAAAALvuw/HXeGwjujqvQOCUT4WrkMsCkkZUFqIl-lACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.44%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bchG91fxRno/Xvg4dis2q2I/AAAAAAALvu0/cnyVJYOyPrgF-ymMjCEbw1rVolNtcwQYQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.45%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rdQSVMHofVw/Xvg4diuuVCI/AAAAAAALvu4/MlPZ-GSrwbYyVj1Evorx7v-9TlbhaALAQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.46%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QsUu9HnElow/Xvg4erUn_qI/AAAAAAALvu8/_h3-WIpND6QEX7xkKltCJUnWOfIDg0PjACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.46%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3BmnuNBf5Q8/Xvg4e6b_-eI/AAAAAAALvvA/SL6jV2FS4l0zMXHgzW3XaQdRlpTvjjJ_QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.47%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-LyOPIDPeog0/Xvg4fEXi1VI/AAAAAAALvvE/w4wE4S9x5MIO8-CSJxjZAlci1BA89eWqQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.48%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ualu4xieKNM/Xvg4f9kHDCI/AAAAAAALvvI/nv3jKYsXtvwMgg89QCinfsdsxYapYYR-ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.49%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ekIcAAsjCU0/Xvg4gDZPwMI/AAAAAAALvvM/VLPQjAL1pKc0E3iR0PkE0dp2rosZE7EAgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.50%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-PiXVdY9897o/Xvg4gImwRsI/AAAAAAALvvQ/O93FygYmuPot60xWjjYhXLVRKG8xWI7qQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B9.21.50%2BAM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZvshmacpThA/XvhEdw4u0aI/AAAAAAALvv0/06qDyOgZJUA1ddCktKjihekZSUOG-dwXgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B10.16.01%2BAM.jpeg)
SERIKALI YA AWAMU YA TANO IMELETA MAENDELEO PWANI- MHANDISI NDIKILO
Na Zainab Nyamka, Michuzi Tv
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo amesema ndani ya miaka mitano chini ya serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli imepata maendeleo makubwa sana.
Ndikilo amesema, toka kupata kwa Uhuru mji wa Kisarawe haujawahi kupata maji safi na kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA wamefanikisha kukamilika kwa mradi huo.
Mradi wa maji wa Kisarawe umeuzindulia leo na Rais Dkt John Pombe Magufuli, tunafurahi...
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo amesema ndani ya miaka mitano chini ya serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli imepata maendeleo makubwa sana.
Ndikilo amesema, toka kupata kwa Uhuru mji wa Kisarawe haujawahi kupata maji safi na kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA wamefanikisha kukamilika kwa mradi huo.
Mradi wa maji wa Kisarawe umeuzindulia leo na Rais Dkt John Pombe Magufuli, tunafurahi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-S7Gt_-0uhbg/XveCk5KR37I/AAAAAAADdgw/1P-LYUAaBBkNnL-PImlZvpAP_5ZhQlsMACNcBGAsYHQ/s72-c/30121278-8465685-Wolves_midfielder_Ruben_Neves_throws_himself_into_a_challenge_wi-a-1_1593265651531.jpg)
SAMATTA ACHEZA MECHI YOTE ASTON VILLA YACHAPWA 1-0 NA WOLVERHAMPTON WANDERERS NYUMBANI
Na Mwandishi Wetu, BirminghamMSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta leo amecheza kwa dakika zote timu yake, Aston Villa ikichapwa 1-0 na Wolverhampton Wanderers FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Villa Park Jijini Birmingham.
Aston Villa ambao leo wamecheza mechi ya nne ndani ya siku 11, sasa wamefikisha mechi nane za ligi bila kushinda na mbaya zaidi wanaonekana wana tatizo kubwa katika safu yao ya ushambuliaji.
Kipigo hicho kinazidi kuwachimbia kaburi Aston...
Aston Villa ambao leo wamecheza mechi ya nne ndani ya siku 11, sasa wamefikisha mechi nane za ligi bila kushinda na mbaya zaidi wanaonekana wana tatizo kubwa katika safu yao ya ushambuliaji.
Kipigo hicho kinazidi kuwachimbia kaburi Aston...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EN1Io4j8RAs/Xvdw_d7FCWI/AAAAAAADdgU/52s46Ef3TCMWhLdFwFRP6nSHXWmj2uz0ACNcBGAsYHQ/s72-c/1.jpeg)
YANGA YAWACHAPA NDANDA 3-2 NA KUREJEA NAFASI YA PILI LIGI KUU
Na Mwandshi Wetu, DAR ES SALAAM
VIGOGO Yanga SC wametokea nyuma na kushinda 3-2 dhidi ya Ndanda SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Ushindi huo unairejesha Yanga SC nafasi ya pili, ikifikisha pointi 60 katika mchezo wa 32, sasa inazidiwa pointi 18 na mabingwa watetezi, SImba SC ambao wana mechi moja mkononi.
Katika mchezo wa leo uliochezeshwa na refa Raphael Ikambi wa Morogoro aliyesaidiwa na Sunday Komba wa Kilimanjaro na Credo Mbuya wa Mbeya,...
5 years ago
BBCSwahili28 Jun
Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 28.06.2020: Sancho, Kepa, Havertz, Ronaldinho, Koulibaly, Rabiot
Borussia Dortmund wanaamini winga wao Muingereza Jadon Sancho atasalia katika klabu hiyo, kwani hawajapokea ombi lolote la kutaka kumnunua mchezaji huyo. (Sport Buzzer, via Goal).
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nm1Qma65u7g/Xvgy3QB_OSI/AAAAAAALvuk/vuBUV98bh2YLdXn-I8xy7skfbZkvqy3dgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200628-WA0017.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jU0CDu2LvY8/Xvdc91RsEeI/AAAAAAAAG0c/BcfwnmL2vj4yDZ5TIP69YDsdjWMl8QMpQCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-06-27-15h10m05s721.png)
DC IKUNGI MKOANI SINGIDA AZINDUA MNADA MKUBWA WA MIFUGO NA MAZAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-jU0CDu2LvY8/Xvdc91RsEeI/AAAAAAAAG0c/BcfwnmL2vj4yDZ5TIP69YDsdjWMl8QMpQCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-27-15h10m05s721.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9vf_WhMXcO8/XvddDiY6qmI/AAAAAAAAG0k/GHZanWJLwx4CHTJ5A9lm0Ax2KaTdZdKJwCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-27-15h11m08s450.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-NBj5UTihODU/XvdclIVz_dI/AAAAAAAAGzg/WxrSXj-MqLMil1ZkFue3ie9FnKYfgWsmwCLcBGAsYHQ/s640/3.png)
Mwonekano wa mnada huo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-D3qgS5cSA1U/XvddC8SnEGI/AAAAAAAAG0g/LWhHz4_Adlo3Kblkt-1NbfFIFSbm9NQFgCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-27-15h11m54s760.png)
Mchoma nyama...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-aVqB36xBQMQ/Xvg7cOGWWKI/AAAAAAABMoQ/1ganG9WbyfYqPHPLVZqTAboPP9QNn-oqgCLcBGAsYHQ/s72-c/TAKUKURU.jpg)
5 years ago
BBCSwahili28 Jun
Kiongozi wa upinzani Malawi Lazarus Chakwera ashinda uchaguzi
Lazarus Chakwera ameshinda uchaguzi huo kwa karibu asilimia 60 kuwa rais wa Malawi.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-p-JIshTK6oU/XvgYHvwaesI/AAAAAAAC8jw/5ljg5FX-ikcBsLg7buOeVNzJ-xlGOmBOwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200628-WA0006-Copy.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dw_PauBelXI/XvdEAZMR7kI/AAAAAAAC8jA/JYe4WGrVv3IlZ9ZKG4plEIK7H5avORfpACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. MOLLEL ATEMBELEA BOHARI KUU YA DAWA (MSD) JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-dw_PauBelXI/XvdEAZMR7kI/AAAAAAAC8jA/JYe4WGrVv3IlZ9ZKG4plEIK7H5avORfpACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akizungumza na viongozi wa Bohari ya Dawa Jijini Dar es Salaam Dkt Mollel amesema lengo la kutembelea taasisi hiyo ni kuangalia maboresho katika uagizaji, utunzaji na usambazaji wa dawa vifaa tiba na vitendanishi vya maabara ili kuboresha huduma ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2LJvH_3PeLE/XvhPoYqXctI/AAAAAAALvwE/FhvquxW4FhwJoo6xFBuz8Z5Q06SiJYVJACLcBGAsYHQ/s72-c/CRDB%2BAGM.jpg)
Wanahisa Benki ya CRDB kupata ongezeko la asilimia 112.5 la Gawio, Shilingi bilioni 44.4 kutolewa
![](https://1.bp.blogspot.com/-2LJvH_3PeLE/XvhPoYqXctI/AAAAAAALvwE/FhvquxW4FhwJoo6xFBuz8Z5Q06SiJYVJACLcBGAsYHQ/s640/CRDB%2BAGM.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya CRDB, Dkt. Ally Laay alisema ukuaji wa gawio kwa Wanahisa kutoka shilingi 8 kwa hisa mwaka jana hadi shilingi 17 kwa hisa, umechangiwa na matokeo mazuri ya kifedha ambapo Benki ya CRDB ilipata ongezeko la faida kwa asilimia 87 kufikia shilingi bilioni 120.1 kulinganisha na shilingi bilioni 64 mwaka 2018. “Matokeo haya yamepelekea Bodi kupendekeza gawio la shilingi 17 kwa hisa ambalo ni historia kwa Benki yetu,” alisema Dkt. Laay hukuaki wapongeza Wanahisa wanahisa kwa kushiriki kwa wingi zaidi katika mkutanon huo uliofanyika kidijitali.
![](https://1.bp.blogspot.com/-qRCYV7kc7h8/XvhPu74t36I/AAAAAAALvwM/a4oR_LbHbi8t8ybBGUk4uoAQf9cZzqcCACLcBGAsYHQ/s640/CRDB%2BAGM4.jpg)
Dkt. Laay alisema mwaka 2019 ulikuwa wa mafanikio kwa Benki ya CRDB na kampuni zake tanzu za Benki ya CRDB Burundi na kampuni tanzu ya Bima. “Katika kampuni tanzu ya Burundi tumefanikiwa kupata ongezeko la faida la asilimia 146 wakati kwa upande wa kampuni yetu tanzu ya Bima tumefanikiwa kupata ongezeko la faida kwa asilimi 17.” Aliainisha Dkt. Laay huku akisema kuwa mkakati wa Benki hiyo kupanua wigo wake katika Ukanda wa Afrika ya Mashiriki na Kati unaendelea huku Benki hiyo ikiangazia kupanua wigo katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Akiwasilisha ripoti yake katika Mkutano huo Mkuu wa Wanahisa, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela alisema katika mwaka wa fedha wa 2019 Benki ya CRDB imeshuhudia ukuaji mkubwa katika bishara yake ambapo amana za wateja ziliongezeka kwa asilimia 8 kufikia shilingi trilioni 3.4 kulinganisha na shilingi trilioni 3.1 mwaka 2018, rasilimali ziliongezeka kwa asilimia 11 kufikia shilingi trilioni 6.6 kulinganisha na na shilingi trilioni 5.2 mwaka 2018.
![](https://1.bp.blogspot.com/-IOYKoFhbpxQ/XvhQDyK6i8I/AAAAAAALvwk/FKllpaCpMxkZC4lM3G2ZLnrWlLqtk3WFgCLcBGAsYHQ/s640/OTMI1349.jpeg)
“Tulifanikiwa pia kupanua wigo wa wateja wetu kwa zaidi ya asilimia 50, sasa hivi tuna zaidi ya wateja milioni 3 ukilinganisha na wateja milioni 2 tuliokuwa nao hapo awali,” alisema Nsekela.
Nsekela alisema mafanikio hayo ambayo Benki ya CRDB imeyapata yanatokana na jitihada kubwa zilizofanya na Benki hiyo katika kuingiza bidhaa na huduma bunifu na zinaoendana na mahitaji ya wateja katika soko. Mwaka jana Benki ya CRDB iliingiza sokoni huduma ya mikopo ya uwezeshaji kwa wakandarasi na wazabuni ili kusaidia katika utekelezaji wa miradi ya kimkakati inayotekelezwa na Serikali na Sekta.
Huduma nyengine ni pamoja na mikopo ya magari “Safari Car Loan” kwa makampuni ya kitalii, mikopo ya kidijitali kwa wanafunzi wa vyuo vikuu “Boom Advance” na mikopo ya “Jiwezeshe” maalum kwa ajili ya wamachinga inayotolewa kidijitali kupitia huduma ya SimAccount.
![](https://1.bp.blogspot.com/-BpOBQoI5Ehw/XvhPoRbyhfI/AAAAAAALvwI/6KF5mZei2rEQIMh_Jbr1siLJW28lei6zACLcBGAsYHQ/s640/CRDB%2BAGM2.jpg)
“Tumefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuboresha mifumo yetu ya utoaji huduma kwa njia ya kidijitali. Mwaka jana asilimia 86 ya miamala ya wateja ilifanyika kupitia njia za kidijitali. Hii imetusaidia sana hata pale tulipokumbwa na janga la corona hatukupata tabu ya kuwaambia sana wateja wetu kutumia mifumo hii kwani wengi wo Tayari wanatumia,” alisema Nsekela.
Nsekela alisema Benki ya CRDB pia imeshiriki katika kuboresha na kukuza sekta mbalimbali za maendeleo nchini ikiwa ni pamoja na kusaidia jitihada za Serikali kuiletea nchi Maendeleo kupitia uwekezaji wa miradi mbalimbali ya kimkati ikiwamo mradi wa treni ya mwendokasi (SGR) na mradi wa uzalishaji wa umeme katika bonde la mto Rufiji (Nyerere HydroPower Project).
“Tumewekeza pia katika uendelezaji wa sekta ya kilimo, uzalishaji viwandani na miundombinu ya usafirishaji kusaidia kufikia azma ya Serikali ya kujenga uchumi wa kati unaoshamirishwa na viwanda ifikapo mwaka 2025,” alisema Nsekela.
![](https://1.bp.blogspot.com/-mTjObOsibP0/XvhPoUHgpcI/AAAAAAALvwA/h83jh019QGY5Y8AAMsrbdNHpFRpm2FIiQCLcBGAsYHQ/s640/CRDB%2BAGM3.jpg)
Wanahisa wa Benki ya CRDB waliipongeza Benki hiyo kwa kuandaa mkutano huo wa Wanahisa kupitia mtandao huku wakisema umekuwa wa mafanikio makubwa sana na kutoa fursa kwa wanahisa wengi zaidi kushiriki. Akitoa shukrani kwa niaba ya Wanahisa, Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye aliupongeza uongozi wa Benki hiyo kupitia kwa Mkurugenzi Mtendaji wake Abdulmajid Nsekela akisema wamekuwa wakifanya kazi nzuri kwa maendeleo ya benki, watanzania na taifa kwa ujumla. “Mnastahili pongezi sana, na niipongeze Bodi ya Wakurugenzi kwa kutuchagulia kiongozi kijana na mchapakazi,” alisema Sumaye.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rYSjxz06Ls4/XvhPu3X1KGI/AAAAAAALvwQ/XfoCz-oNyDo2rCNVyAXzSSvT6_rV5fkzgCLcBGAsYHQ/s640/CRDB%2BAGM5.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-r13tCxD-UI0/XvhRFDwRCDI/AAAAAAALvw4/saLm6J-79ak-FfeXjlLp10a1uypSC737ACLcBGAsYHQ/s640/OTMI1283.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-GbesG3prWTc/XvhRFG8_IEI/AAAAAAALvww/33iXJGx35FwQcDhcgj54BxbZvBFkDkcjQCLcBGAsYHQ/s640/OTMI0963.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iZt3jrZpd8k/XvhTlJHImiI/AAAAAAALvxg/VstdSfUocV0LkTotSt26Yzz6FwkcUv3OACLcBGAsYHQ/s640/OTMI1062.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SREHrpk-IWc/XvhToK15KYI/AAAAAAALvyA/0cTZ6BEzK8gf0hBORviJPNqRkjgdG5O2wCLcBGAsYHQ/s640/OTMI1248.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-4HCpKaerteQ/XvhToTgU5II/AAAAAAALvyE/9malZ8KIVDAZ9bt-CkOpyDCsYOn43Ga-gCLcBGAsYHQ/s640/OTMI1249.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-T248JxM0od4/XvhTnkk1AaI/AAAAAAALvx0/LLBz8ZrSJVIGhr-A1CFq8EZGUHzgzjwEgCLcBGAsYHQ/s640/OTMI1240.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-oUyEJOS0V2I/XvhTm46MKNI/AAAAAAALvxw/GoK0_OgolIk9tKml3sTPRA149_kqc_EpACLcBGAsYHQ/s640/OTMI1239.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-95xBwh3_Q-E/XvhTmqWA3rI/AAAAAAALvxo/9__iVvB1wVYeewMM5AleUQRopXrAOkECwCLcBGAsYHQ/s640/OTMI1217.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QkN2ExNzXBI/XvhTnv6954I/AAAAAAALvx4/zdbczBs_-NY0HfxjSTUz72ySu4bS_jM_gCLcBGAsYHQ/s640/OTMI1241.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Be5CPOgAi5c/XvhTmsl8ynI/AAAAAAALvxs/agWxZnujvKkwCJJhiv5onSnvf-sW5_TBgCLcBGAsYHQ/s640/OTMI1224.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-A00VBzULrFc/XvhTnwonEkI/AAAAAAALvx8/NVgUhShzDh4Ap1-lK4WFHbNse4gxWUa4ACLcBGAsYHQ/s640/OTMI1245.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-j0zWVm1kHdU/XvhTl11U57I/AAAAAAALvxk/Nwy8qphJkZkadJ-R7bsBC7x-aMrBVe0IgCLcBGAsYHQ/s640/OTMI1082.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_RPmTihQ53Q/XvhTlF-8meI/AAAAAAALvxc/KTLdV7C9GJoU2x2nRDVhURpNfMZTIca1wCLcBGAsYHQ/s640/OTMI1073.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q7dtVUzUSFY/XvhU5yrBU5I/AAAAAAALvyo/gKKjazlqjPM3GWKjr6AAC6a_t9FWNjeiwCLcBGAsYHQ/s640/OTMI0845.jpeg)
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Mimea na si watu waliojaza viti kwenye ukumbi wa burudani
Mimea yaburudishwa kwenye tamasha la muziki wa Opera
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
China yazindua mfumo wa kutambua unyanyasaji
Mji wa Yiwu nchini China umeanzisha mfumo utakaowezesha watu kufahamu kiwa wapenzi wao wana historia ya unyanyasaji kabla ya kufunga ndoa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AFie06AUli0/XvNAmIL-BeI/AAAAAAALvPs/cVXuCyZESEAfTCtCmRn-PUsPiUmSl9r6wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B2.34.50%2BPM.jpeg)
SASA NI WAKATI KUWAPA BURUDANI ZA KINYUMBANI ZAIDI WATAZAMAJI WETU-TIDO MHANDO
Na.Khadija seif, Michuzi tv
- Rich rich aona Raha ya kuwepo Azam tv, tamthilia 4 madebe na shilingi yake.
KAMPUNI ya Azam media imezindua filamu nne kwa mpigo jijini leo jijini Dar es salaam.
Akizungumza na Michuzi tv Mtendaji mkuu wa kampuni ya Azam Media, Tido Mhando amesema Sasa ni wakati wa kuwapa burudani za kinyumbani zaidi watazamaji wao.
"Tumekuwa tukipokea malalamiko,maoni na ujumbe kutoka kwa watazamaji wet,u kupitia mitandaoni kuhusu juu ya kutaka kuona tamthilia za kinyumbani na kuona wasanii kutoka hapa nchini hivyo tukaiona haja ya kuwaletea watazamaji wetu kitu wanachotaka na ndio maana tumeamua kuleta tamthilia nne kwa mpigo zilizotengenezwa na kuchezwa na watu maarufu,wakongwe pamoja na wapya kwenye tasnia hiyo,"
Aidha, Mhando amezitaja tamthilia hizo ni pamoja na panguso ya Jimmy Mafufu,single mama ya jb, shilingi ya madebe lidai pamoja ja na tandi ya Ray kigosi zitakazoanza julai 13 saa 3 usiku.
Huku Mkurugenzi wa Mauzo na masoko sabrina Mohammed akifafanua zaidi kuwa tamthilia hizo zitarushwa kwa kifurushi cha chini kabisa kuanzia elfu 3 mpaka elfu 10.
Hata hivyo kwa upande wake msanii mkongwe ambae pia ni mmoja wa waandaji wa tamthilia ya "single mama" single Mohammed mtambarike a.k.a Rich amesema ni wakati wa kuifufua tasnia ya filamu na kuleta mapinduzi ya kiburudani zaidi.
"Bado tunaona mchango wa kuendelea kuwepo kwa wadau kama azam tv na wengine ni wazi tasnia inahitaji kufika mbali na kufikia soko la kimataifa ,"
Pia ametoa pongezi kwa uongozi wote wa Azam tv kwa kubeba dhima ya kuonyesha tamthilia hizo za kiswahili na kukusanya wasanii wa kinyumbani.
Mtendaji mkuu wa Azam media Tido Mhando Akizungumza na waandishi wahabari waliohudhuria katika uzinduzi wa tamthilia nne za kitanzania shilingi,single mama,panguso na Tandi
Mkurugenzi wa Mauzo na masoko Sabrina Mohammed akiteta Jambo pamoja na Mtendaji mkuu wa Azam media Tido Mhando wakati wa uzinduzi wa tamthilia nne zitakazorushwa hivi karibuni kupitia azam tv
Wasanii mbalimbali akiwemo Eshe Buheti,Maya,Mzee kikoti,Monalisa na wengine waliohudhuria katika uzinduzi wa tamthilia nne zitakazorushwa na Azam media jijini Dar es salaam
Wasanii mbalimbali akiwemo eshe buheti,Maya,mzee kikoti,monalisa na wengine waliohudhuria katika uzinduzi wa tamthilia nne zilizozinduliwa na Azam media jijini Dar es salaam
- Rich rich aona Raha ya kuwepo Azam tv, tamthilia 4 madebe na shilingi yake.
KAMPUNI ya Azam media imezindua filamu nne kwa mpigo jijini leo jijini Dar es salaam.
Akizungumza na Michuzi tv Mtendaji mkuu wa kampuni ya Azam Media, Tido Mhando amesema Sasa ni wakati wa kuwapa burudani za kinyumbani zaidi watazamaji wao.
"Tumekuwa tukipokea malalamiko,maoni na ujumbe kutoka kwa watazamaji wet,u kupitia mitandaoni kuhusu juu ya kutaka kuona tamthilia za kinyumbani na kuona wasanii kutoka hapa nchini hivyo tukaiona haja ya kuwaletea watazamaji wetu kitu wanachotaka na ndio maana tumeamua kuleta tamthilia nne kwa mpigo zilizotengenezwa na kuchezwa na watu maarufu,wakongwe pamoja na wapya kwenye tasnia hiyo,"
Aidha, Mhando amezitaja tamthilia hizo ni pamoja na panguso ya Jimmy Mafufu,single mama ya jb, shilingi ya madebe lidai pamoja ja na tandi ya Ray kigosi zitakazoanza julai 13 saa 3 usiku.
Huku Mkurugenzi wa Mauzo na masoko sabrina Mohammed akifafanua zaidi kuwa tamthilia hizo zitarushwa kwa kifurushi cha chini kabisa kuanzia elfu 3 mpaka elfu 10.
Hata hivyo kwa upande wake msanii mkongwe ambae pia ni mmoja wa waandaji wa tamthilia ya "single mama" single Mohammed mtambarike a.k.a Rich amesema ni wakati wa kuifufua tasnia ya filamu na kuleta mapinduzi ya kiburudani zaidi.
"Bado tunaona mchango wa kuendelea kuwepo kwa wadau kama azam tv na wengine ni wazi tasnia inahitaji kufika mbali na kufikia soko la kimataifa ,"
Pia ametoa pongezi kwa uongozi wote wa Azam tv kwa kubeba dhima ya kuonyesha tamthilia hizo za kiswahili na kukusanya wasanii wa kinyumbani.
![](https://1.bp.blogspot.com/-AFie06AUli0/XvNAmIL-BeI/AAAAAAALvPs/cVXuCyZESEAfTCtCmRn-PUsPiUmSl9r6wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B2.34.50%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bUPr5Yo-VsE/XvNKYGpRbEI/AAAAAAALvQM/TcKSkR_NjoQK9mIxW5IU5al_gB8aC267QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B2.46.26%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-eMy-EQtn_wk/XvNAmd-t3tI/AAAAAAALvPw/uqI9Y507RgUzaWpxMiD-CJlUHk8xIyE2QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B2.35.27%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-HM2ijyqJqpw/XvNAmN4SA7I/AAAAAAALvPo/y2KUAsXNqnQYiyBARAp3Lm752fMjmMNsQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B2.37.07%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XvKU_whlJko/XvM0ZmpB6VI/AAAAAAALvPI/w8iNgEg6Z5MN4zWqpfMkDCMeU_1nxMsBQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B1.58.49%2BPM.jpeg)
STARA FASHION WEEK 2020 IS BACK
![](https://1.bp.blogspot.com/-XvKU_whlJko/XvM0ZmpB6VI/AAAAAAALvPI/w8iNgEg6Z5MN4zWqpfMkDCMeU_1nxMsBQCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B1.58.49%2BPM.jpeg)
Jukwaa hili linafanyika kwa Mara Ya Sita Mwaka huu na litajumuisha wabunifu zaidi ya 30 kutoka kila kona ya Tanzania Fashion show itaanza saa 10Jioni hadi saa 12 jioni na kusindikizwa na Tuzo na burudani za kila aina. Kauli mbiu ya Stara Fashion Week 2020 ni ubunifu wenye tija, Eco Fashion.
Jukwaa hili Mwaka huu linawaleta pamoja wabunifu katika harakati za kutunza Mazingira katika industry ambayo inatajwa kuwa ya pili katika uchafuzi wa Mazingira Duniani.
Jukwaa hili si tu linataka kuongeza ufanisi kwa Wabunifu shiriki lakini pia kuwataka wabunifu hao kuchukua hatua na kuhamasisha jamii katika suala la Mazingira na Mavazi.
Kwa njia hii si tu Wabunifu wanaweza kulinda na kutunza Mazingira bali pia wanaweza kujiongezea kipato kupitia mabaki wanayozalisha na kuyatupa yenye wastani wa takribani gunia mbili kwa wiki.
Wabunifu hawa wamepitia semina elekezi ya namna ya kupunguza Taka (Reduce), kubadili matumizi (recycle) na kutumia upya (Reuse) na wako tayari kuwa mfano wa wabunifu Wanaojali Kulinda na Kutunza Mazingira. Mkakati huu ni kelele za "wito wa kutaka hatua zichukuliwe.” Utunzaji wa Mazingira ni jukumu la kila mmoja wetu.
Pamoja na jukwaa hili Mnakaribishwa kufanya manunuzi mbalimbali kutoka kwa wajasiriamali na wafanyabiashara katika maonyesho ya biashara yatakayoanza asubuhi mpaka saa 12 jioni. NIBUREE HAKUNA KIINGILIO
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-GEJX1Gu_hJs/XvMb1pFpuAI/AAAAAAABMkk/Y4Bx_Dvf3BgF_ol6KbGLhL8oLrOvnTZtQCLcBGAsYHQ/s72-c/TANZANITE.jpeg)
LAIZER AWA BILIONEA KWA KUIUZIA BENKI KUU KILO 14 ZA TANZANITE ALIYOCHIMBA MERERANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-GEJX1Gu_hJs/XvMb1pFpuAI/AAAAAAABMkk/Y4Bx_Dvf3BgF_ol6KbGLhL8oLrOvnTZtQCLcBGAsYHQ/s400/TANZANITE.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yVPblvyDJXs/XvITTgIiTsI/AAAAAAAAlQw/U9SeNMoqQvANH7-UmiwJuCKsNufe_BwNQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BENKI YA POSTA YATOA MSAADA WA MABATI 100 KUSAIDIA KUPAUA SHULE SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yVPblvyDJXs/XvITTgIiTsI/AAAAAAAAlQw/U9SeNMoqQvANH7-UmiwJuCKsNufe_BwNQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utawala wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Diana Myonga (wa tatu kushoto) akimkabidhi Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe (wa nne kutoka kushoto) moja ya bati kati ya 100 yaliyotolewa mwishoni mwa wiki na benki hiyo kwa ajili ya kupaua madarasa ya shule mkoani humo. Kutoka kushoto ni Kaimu Meneja Mwandamizi wa Uhusiano wa benki hiyo, Chichi Banda, Meneja wa TPB Tawi la Singida, Redemter Rweyemamu. Wengine ni Wenyeviti wa Vikundi vya Wajasiriamali Manispaa ya Singida pamoja na wafanyakazi wa benki hiyo Mkoa wa Sindida.
![](https://1.bp.blogspot.com/-vvbnpWjbdAc/XvITTV59GxI/AAAAAAAAlQo/gDcMyXytsUoJ6XJZLpMN3HzhSLaT1H5pwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200621-WA0088.jpg)
Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utawala wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Diana Myonga (katikati) Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe (kulia) pamoja Kaimu Meneja Mwandamizi wa Uhusiano wa benki hiyo, Chichi Banda wakibadilishana mawazo wakati wa makabidhiano ya mabati hayo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ot_bokzu0t4/XvITTmeO2KI/AAAAAAAAlQs/w_pt3que-J8LKe8bXZx6wxTof4NuYVSgQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200621-WA0089.jpg)
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe (aliyekaa katikati) , akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa benki hiyo baada ya kupokea msaada huo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-wcASKatnoJ4/XvITUrIqukI/AAAAAAAAlQ0/b6WZyfQa7QEeEYmOI6tpQ4LN1d_jexpnACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200621-WA0090.jpg)
Picha ya pamoja na wajasiriamali.
Na Dotto Mwaibale, Singida
OFISI ya Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe imepokea mabati 100 kutoka Benki ya Posta Tanzania (TPB) kwa ajili ya kumalizia baadhi ya shule za msingi na sekondari mkoani hapa.
Akizungumza katika hafla ya kupokea msaada huo iliyofanyika viwanja vya benki hiyo mjini Singida mwishoni mwa wiki, Mattembe aliushukuru uongozi wa benki hiyo chini ya Mkurugenzi wake, Sabasaba Moshingi na kupongeza maboresho makubwa yaliyofanyika katika benki hiyo.
Alisema, TPB ni benki ya kizalendo kwani huduma zake zinalenga katika kuwakomboa watanzania kuanzia wale wa kipato cha chini kabisa hasa wajasiriamali hadi wale wa kipato cha kati.
Mattembe alisema mbali na hilo, benki hiyo imekuwa karibu sana wananchi wa mkoa wa Singida na ni mdau mkubwa katika kuunga jitihada za maendeleo za serikali ya awamu ya tano.
"Msaada huu sio wa kwanza hapa kwetu, nilishawahi kuwaomba vitanda vya kulalia wagonjwa kwenye Hospitali yetu ya Rufaa ya Mkoa wa Singida wakatupatia, wamekuwa wakitusaidia mara kwa mara nawashukuru sana. Naomba mnifikishie salamu zangu kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta, Sabasaba Moshingi na timu yake nzima kwa kazi nzuri ya kuifanya benki hii kuwa miongoni mwa taasisi bora za kifedha kwenye Ukanda wa Afrika Mashariki ..hongereni kwa kazi nzuri." alisema Mattembe.
Katika hatua nyingine Mattembe aliwaomba wananchi wa Mkoa wa Singida kuendelea kuiunga mkono benki hiyo kwa kufungua akaunti ili wapate huduma bora za kifedha na kuwa msaada huo utakwenda kusaidia kuboresha miundombinu ya shule mkoani humo.
Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utawala wa TPB, Diana Myonga ambaye alikabidhi msaada huo kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa benki hiyo alisema msaada huo umekuja kwa wakati muafaka kwani shule zinatarajiwa kufunguliwa Juni 29, 2020 na kuwa kwa shule zile ambazo zimeombewa mabati hayo zitaezekwa na watoto wetu kusoma katika mazingira bora.
Myonga akizungumzia mafanikio ya benki hiyo alisema sasa ina matawi zaidi 28 nchi nzima na kuwa wanatoa huduma za kibenki kwa mawakala 151 wa Shirika la Posta na Simu na kuwa huduma zao zinawanufaisha hata wakulima wa vijijini tofauti na benki zingine zinazoishia mjini.
"Benki yetu imepiga hatua kubwa katika kuongezeka kwa mtandao wa utoaji huduma kutoka tawi moja hadi kufikia matawi 28 pamoja na kuifanya kutoa huduma za kisasa zinazoenda na wakati.
Myonga aliongeza kuwa benki hiyo inatoa huduma za haraka kwa wateja wake na zilizo nafuu ukilinganisha na benki zingine hivyo aliwaomba wananchi kujitokeza na kujiunga na benki hiyo ya kizalendo ambayo inamilikiwa kwa asilimia kubwa na Serikali.
Mkurugenzi huyo katika makabidhiano hayo aliambata na Kaimu Meneja Mwandamizi wa Uhusiano wa benki hiyo, Chichi Banda na Meneja wa TPB Tawi la Singida, Redemter Rweyemamu.
Wengine waliohudhuria makabidhiano hayo ni Wenyeviti wa Vikundi vya Wajasiriamali Manispaa ya Singida pamoja na wananchi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l6MqmyQRz90/XvJR5N0b-jI/AAAAAAALvGQ/Sxlgp5Xqxak3TubP3D8H6DU1tO-xhQf4ACLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-06-23%2Bat%2B22.00.29.png)
Benki ya I & M yachangia Matenki maalumu kwa Wizara ya afya yenye thamani ya Sh10 milioni
![](https://1.bp.blogspot.com/-l6MqmyQRz90/XvJR5N0b-jI/AAAAAAALvGQ/Sxlgp5Xqxak3TubP3D8H6DU1tO-xhQf4ACLcBGAsYHQ/s640/Screenshot%2B2020-06-23%2Bat%2B22.00.29.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-a0TPopGQ2Z4/XvJR59mzESI/AAAAAAALvGY/Sx5Og51xE3gq1-rs_gGb4DgZd_xag7S9QCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot%2B2020-06-23%2Bat%2B22.01.18.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-VLa4u_4pYCg/XvJR5HXGjTI/AAAAAAALvGU/VV_FhYZnK0A707yIL2ZekIEOPgI80XA4wCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot%2B2020-06-23%2Bat%2B22.02.05.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-B7Fa3w3egrU/XvHfkD0QGrI/AAAAAAABA1o/lKFubPp6uVQUQOJjdltG6gXGy0LswKE-QCLcBGAsYHQ/s72-c/David.jpeg)
Huduma ya Tigo Rusha yaja kivingine
![](https://1.bp.blogspot.com/-B7Fa3w3egrU/XvHfkD0QGrI/AAAAAAABA1o/lKFubPp6uVQUQOJjdltG6gXGy0LswKE-QCLcBGAsYHQ/s640/David.jpeg)
Huduma hii ya Tigo Rusha iliyoboreshwa itatolewa katika mtandao wa mauzo wa Tigo ikiwa ni pamoja na maduka ya Tigo, mawakala wa Tigo Pesa, wauzaji wa kujitegemea, pamoja na katika vituo vya mauzo nchi nzima. Pamoja na huduma nyingine zilizopo, huduma hii itaongeza wigo wa namna ya kuongeza salio kwa wateja.
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Tigo Tanzania, David Umoh, amesema, “Kama kampuni inayoongoza kwa huduma za kidigitali, tumejizatiti kuimarisha na kubuni njia zenye kuleta unafuu na zenye chaguzi nyingi ili kumpatia mteja fursa ya kuchagua huduma inayoendana na mahitaji yake kulingana na sehemu aliyopo na muda husika. Tunafanya maboresho haya ili kuendana na kasi ya mabadiliko ya kiteknolojia na maisha kwa ujumla”.
“Wateja wetu wakae mkao wa kula kwamba sasa wataweza kununua muda wa maongezi pamoja na vifurushi kutoka kwenye maduka yetu pamoja na wauzaji wengine wanaotambuliwa na Tigo nchi nzima. Tigo Rusha haina changamoto za kuharibika kwa karatasi ya vocha za kukwangua, lakini pia huduma hii inampunguzia adha mteja wetu wa kutembea na kadi za vocha pindi anapohitaji kuongeza salio kwenye simu yake”.
Tigo Rusha inawapa wateja wetu thamani ya pesa zao kwa maana huduma hii ni rahisi sana kutumia, salama na ya uhakika. Kila mteja wa Tigo atakeyenunua salio au kifurushi chochote kupitia huduma hii ya Tigo Rusha anapewa zawadi ya nyongeza,” ameeleza Umoh.
Umoh pia amegusia manufaa watakayopata wauzaji pamoja na mawakala pindi watakapofanya mauzo yao kwa kutumia njia hii mpya ya Tigo Rusha iliyoboreshwa, pia ameeleza matokeo ya matumizi ya huduma hii kwa maelfu ya wasambazaji wa vocha za kukwangua kote nchini.“Napenda kuwahakikishia wasambazaji wetu wote wa vocha za kukwangua kwamba hii ni fursa mpya ya kuongeza kipato, hivyo ni fursa pia kwao kukua pamoja na Tigo na kama kampuni tutaendelea kuwaunga mkono wasambazaji wote wa vocha hizo za kukwangua kote Tanzania,” amesema Umoh.
Wateja wote wa Tigo wanashauiriwa kununua muda wa maongezi pamoja na vifurushi kutoka kwa wauzaji na mawakala wa Tigo Rusha ambao wanapatikana katika maeneo yote nchini Tanzania.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JXe827GjW24/XvGW-KFhB4I/AAAAAAAEH-c/1ZeKE1CHl_YGuufaNQmkBFTJ_y9hQ8GBACLcBGAsYHQ/s72-c/image002.jpg)
Wafanyakazi wa Benki ya NMB Waisaidia Hospitali ya Ocean Road
Benki ya NMB wakati wote inaamini katika kugusa na kubadili maisha ya wanajamii, ushiriki wa Wafanyakazi katika programu za kuisaidia jamii umeongezeka maradufu ukichangiwa zaidi na ari waliyonayo kutaka kupunguza changamoto na kero zilizopo kwenye jamii inayowazunguka na wanayoihudumia.
Kaimu Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Seka Urio (kushoto) akimkabidhi vifaa vya Hospitali Kaimu Mkurugenzi wa Tiba wa Taasisi ya Ocean Road , Dk. Asafu Munema ikiwa ni michango ya wafanyakazi wa Benki ya NMB Kanda ya Dar es Salaam.![](https://1.bp.blogspot.com/-id--9ab9QDI/XvGW-FOEvTI/AAAAAAAEH-U/EHRw4rfhZpU4Rq6vXDuOrjtZrK28J0y0gCLcBGAsYHQ/s640/image008.jpg)
Sehemu ya vifaa vilivyotolewa na wafankazi wa Benki ya NMB kwa Hospitali ya Ocean Road.
![](https://1.bp.blogspot.com/-JXe827GjW24/XvGW-KFhB4I/AAAAAAAEH-c/1ZeKE1CHl_YGuufaNQmkBFTJ_y9hQ8GBACLcBGAsYHQ/s640/image002.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-id--9ab9QDI/XvGW-FOEvTI/AAAAAAAEH-U/EHRw4rfhZpU4Rq6vXDuOrjtZrK28J0y0gCLcBGAsYHQ/s640/image008.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ne1FzT2v3j8/XvGW-JF8ZFI/AAAAAAAEH-Y/PzL5A5KVzAU2Q7582chTZvcr5iyVgPEpQCLcBGAsYHQ/s640/image009.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TS-XtgtA_yo/XvC3xvUnWdI/AAAAAAAEH9s/SaHGur3U3LIKpeeA0tGzTqMdMbbLBHi8QCLcBGAsYHQ/s72-c/exim%2Bdig..jpg)
Benki Ya Exim Yazindua Kampeni Kuhamasisha Huduma Za Kidigitali
Benki ya Exim imezindua kampeni yake mpya inayolenga kuhamasisha wateja wa benki hiyo kutumia zaidi huduma za kiditali ili kurahisha upatikanaji wa huduma zinazotolewa na benki hiyo sambamba na kuokoa muda ambao wangeutumia kufuata huduma hizo kwenye matawi ya benki hiyo.
Kampeni hiyo imekuja kipindi ambacho jamii inapitia mabadiliko kuelekea huduma za kidigitali hususani katika huduma za kifedha na manunuzi, hali iliyochochewa zaidi na mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID 19).
Ikifahamika kwa jina ‘Maliza Kirahisi Kidigitali’, kampeni hiyo itadumu katika kipindi chote cha mwaka kilichobaki ambapo itahamasisha wateja wa benki kufanya mihamala ya kibenki muda wowote na mahali popote kwa kutumia simu zao pamoja na njia za kimtandao.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni Mkuu wa huduma ya rejareja wa benki ya Exim, Andrew Lyimo alisema: "Kampeni ya ‘Maliza Kirahisi Kidigitali’ inakusudia kubadilisha tabia ya watumiaji wa huduma zetu yaani wateja wetu na zaidi pia inalenga kuongeza kasi ya mabadiliko ya nchi kutoka kwenye kufanya mihamala ya pesa kwenda kwenye mihamala ya kidijitali hususani wakati wa janga hili la Corona, ''
"Hivyo basi kampeni hii imekuja wakati muafaka kwa maana ya kipindi ambacho taifa linaelekea kwenye mabadiliko ya kihuduma za kifedha ili kuepuka misongamano ya watu kwasababu za kiafya na wakati huohuo tukirahisisha utoaji wa huduma zetu wateja pamoja na kuongeza usalama wa fedha zao,’’ alisema.
Zaidi ya hayo, Bwana Lyimo alisisitiza: "Ili kufanya huduma za kibenki ziwe nzuri zaidi na rahisi kwa wateja, Exim benki tunazo chaguzi kadhaa ikiwemo kutumia huduma ya mobile bank inayohusisha matumizi ya simu za mkononi au kwa njia ya USSD, kutumia kadi zetu za benki, mtandao wetu wa POS na pia kutumia huduma za mtandaoni kupitia wavuti au programu (App) ambazo zinawawezesha wateja wetu kupata huduma muhimu za kifedha muda wote''.
"Kupitia huduma hizi wateja wanaweza kufikia akaunti zao, kuangalia salio au kufanya mihamala ya kibenki kwa njia ya mtandao wakiwa majumbani mwao, vyuoni, ofisini, sehemu za biashara au mahali popote na hivyo kuokoa muda wao ili wautumie kutimiza majukumu yao mengine,’’ alisema.
Kwa upande wake Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa benki hiyo Bw Stanley Kafu alisema kampeni hiyo ya ‘Maliza Kirahisi Kidigitali’ imekuja mwaka mmoja tangu benki hiyo izindue kampeni maalum iliyolenga kuhamasisha wateja wake kuhusiana na matumizi ya mtiririko wa huduma maalumu za kiusalama kwenye masuala ya fedha zinazotolewa na benki hiyo.
Kupitia mtoririko huo wateja wa benki hiyo wanapata huduma mbalimbali ikiwemo huduma ya usafirishaji wa fedha kwa usalama (Cash-In-Transit service), huduma ya kiusalama ya malipo (Host to host services), huduma za kisasa za hundi (Corporate Cheque Capture service) pamoja na huduma ya kuweka (deposit) pesa kwenye akaunti ya benki hiyo wakati wowote kwa kutumia mashine ya kuwekea fedha (Cash Deposit Machines services).
"Ujumbe tunaotaka kutuma kwa wateja wetu kupitia kampeni hii mpya ya 'Maliza Kirahisi Kidigitali' pamoja na jitihada nyingine zote ambazo Benki ya Exim tumekuwa tukizifanya kwa ajili yao ni kwamba tuko hapa kuwasaidia ... Exim kazini leo kwa ajili ya kesho’’ '' alihitimisha.
Mkuu wa huduma ya rejareja wa benki ya Exim, Andrew Lyimo ( Katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni mpya ya benki hiyo ijulikanayo kwa jina la "Maliza Kirahisi Kidigitali' inayolenga kuhamasisha wateja wa benki hiyo kutumia zaidi huduma za kiditali ili kurahisha upatikanaji wa huduma zinazotolewa na benki hiyo. Wengine ni pamoja na Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa benki hiyo Bw Stanley Kafu (Kushoto) na Mkuu wa Idara ya Kidigitali na huduma Mbadala wa benki hiyo Bw Silas Matoi.
Kampeni hiyo imekuja kipindi ambacho jamii inapitia mabadiliko kuelekea huduma za kidigitali hususani katika huduma za kifedha na manunuzi, hali iliyochochewa zaidi na mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID 19).
Ikifahamika kwa jina ‘Maliza Kirahisi Kidigitali’, kampeni hiyo itadumu katika kipindi chote cha mwaka kilichobaki ambapo itahamasisha wateja wa benki kufanya mihamala ya kibenki muda wowote na mahali popote kwa kutumia simu zao pamoja na njia za kimtandao.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni Mkuu wa huduma ya rejareja wa benki ya Exim, Andrew Lyimo alisema: "Kampeni ya ‘Maliza Kirahisi Kidigitali’ inakusudia kubadilisha tabia ya watumiaji wa huduma zetu yaani wateja wetu na zaidi pia inalenga kuongeza kasi ya mabadiliko ya nchi kutoka kwenye kufanya mihamala ya pesa kwenda kwenye mihamala ya kidijitali hususani wakati wa janga hili la Corona, ''
"Hivyo basi kampeni hii imekuja wakati muafaka kwa maana ya kipindi ambacho taifa linaelekea kwenye mabadiliko ya kihuduma za kifedha ili kuepuka misongamano ya watu kwasababu za kiafya na wakati huohuo tukirahisisha utoaji wa huduma zetu wateja pamoja na kuongeza usalama wa fedha zao,’’ alisema.
Zaidi ya hayo, Bwana Lyimo alisisitiza: "Ili kufanya huduma za kibenki ziwe nzuri zaidi na rahisi kwa wateja, Exim benki tunazo chaguzi kadhaa ikiwemo kutumia huduma ya mobile bank inayohusisha matumizi ya simu za mkononi au kwa njia ya USSD, kutumia kadi zetu za benki, mtandao wetu wa POS na pia kutumia huduma za mtandaoni kupitia wavuti au programu (App) ambazo zinawawezesha wateja wetu kupata huduma muhimu za kifedha muda wote''.
"Kupitia huduma hizi wateja wanaweza kufikia akaunti zao, kuangalia salio au kufanya mihamala ya kibenki kwa njia ya mtandao wakiwa majumbani mwao, vyuoni, ofisini, sehemu za biashara au mahali popote na hivyo kuokoa muda wao ili wautumie kutimiza majukumu yao mengine,’’ alisema.
Kwa upande wake Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa benki hiyo Bw Stanley Kafu alisema kampeni hiyo ya ‘Maliza Kirahisi Kidigitali’ imekuja mwaka mmoja tangu benki hiyo izindue kampeni maalum iliyolenga kuhamasisha wateja wake kuhusiana na matumizi ya mtiririko wa huduma maalumu za kiusalama kwenye masuala ya fedha zinazotolewa na benki hiyo.
Kupitia mtoririko huo wateja wa benki hiyo wanapata huduma mbalimbali ikiwemo huduma ya usafirishaji wa fedha kwa usalama (Cash-In-Transit service), huduma ya kiusalama ya malipo (Host to host services), huduma za kisasa za hundi (Corporate Cheque Capture service) pamoja na huduma ya kuweka (deposit) pesa kwenye akaunti ya benki hiyo wakati wowote kwa kutumia mashine ya kuwekea fedha (Cash Deposit Machines services).
"Ujumbe tunaotaka kutuma kwa wateja wetu kupitia kampeni hii mpya ya 'Maliza Kirahisi Kidigitali' pamoja na jitihada nyingine zote ambazo Benki ya Exim tumekuwa tukizifanya kwa ajili yao ni kwamba tuko hapa kuwasaidia ... Exim kazini leo kwa ajili ya kesho’’ '' alihitimisha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-TS-XtgtA_yo/XvC3xvUnWdI/AAAAAAAEH9s/SaHGur3U3LIKpeeA0tGzTqMdMbbLBHi8QCLcBGAsYHQ/s640/exim%2Bdig..jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yZ-qbTWMN4M/XvB6veGemlI/AAAAAAALu5M/qJxtOsimPD8PLmaw8W0ltBCMKCJOMC4CwCLcBGAsYHQ/s72-c/800x800_5304470ddd432.jpg)
TAARIFA YA KUUNGANA KWA BENKI YA NIC TANZANIA NA BENKI YA COMMECIAL BANK OF AFRICA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yZ-qbTWMN4M/XvB6veGemlI/AAAAAAALu5M/qJxtOsimPD8PLmaw8W0ltBCMKCJOMC4CwCLcBGAsYHQ/s200/800x800_5304470ddd432.jpg)
Kibali cha kuungana kutoka kwa mamlaka husika tayari vimeshapokelewa
Benki ya NIC Bank Tanzania Limited (NIC) na benki ya Commercial Bank of Africa (Tanzania) Limited (CBA) imeshapokea vibali vyote kuungana na kuanza kutoa huduma kuanzia tarehe 8 mwezi Julai mwaka 2020 kama benki ya NCBA Bank Tanzania Limited.
Uunganaji utafanyika kwa kuhamishwa kwa mali na dhima zote kutoka kwenye benki ya CBA kwenda benki ya NIC.
Utekelezezaji wa uunganaji utakuwa kwa kuhamishwa kwa mali na dhima, ambazo zimekwisha idhinishwa na Benki Kuu ya Tanzania na Tume ya Ushindani (Fair Competition Commission.) Baada ya kukamilika kwa mchakato wa kuungana taasisi mpya, benki ya NCBA Bank Tanzania Limited itachukua dhama zote, majukumu na haki zote za umiliki wa mali zilizohamishwa kutoka benki ya CBA Benki kwenda benki mpya ya NCBA Bank Tanzania Limited. Vile vile itapokea wateja na madeni yote yaliyopo katika benki ya CBA mpaka sasa.
Benki zote mbili za CBA na NIC ziko katika mchakato wa kuhitimisha masharti mengine kutoka kwa Mdhibiti. Benki Kuu ya Tanzania imezipatia kibali cha kuungana mapema mwaka huu. Kibali kilitolewa katika barua iliyosainiwa tarehe 14 mwezi Februari mwaka 2020 na Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dr Bernard Y. Kibesse.
Baada ya mchakato kukamilika benki ya NCBA Bank Tanzania Limited itakuwa benki ya daraja la 2 (Tier 2 Bank).
Benki ya NCBA Bank Tanzania Limited itakuwa sehemu ya kundi la makampuni la NCBA Group PLC ambalo liliundwa tarehe 1 mwezi wa Oktoba mwaka 2019 baada ya kupata kibali kutoka kwa Benki ya Kuu ya Kenya na Hazina ya Taifa ya Kenya kuidhinisha uunganaji wa makampuni ya NIC Group PLC (NIC) na Commercial Bank of Africa Limited (CBA).
"Jina la NCBA Bank linaashiria kuungana kwa benki mbili kubwa, benki ya NIC na CBA. Huu ni mwanzo wa safari mpya inayounganisha ubora wa benki zote mbili na kuunda taasisi kubwa na yenye nguvu zaidi ya kifedha na kuimarisha uchumi wa Tanzania". Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Commercial Bank of Africa (Tanzania) Limited, Gift Shoko alisema.
"Kama sehemu ya safari ya kuungana tutatumia mwezi ujao kukamilisha mchakato wa kuoanisha mifumo yetu ili wateja wetu waweze kufurahia huduma zisizo na usumbufu katika mtandao mtawi yetu nchini Tanzania. Mkakati wetu wa uzinduzi vile vile utajumuisha ubainishaji wa utambulisho wa kundi jipya la mabenki la NCBA Group , "Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NIC Bank (Tanzania) Limited, Margaret Karume, amesema.
Kama sehemu ya ushirikiano wa kikanda wa NCBA Group, uunganishaji wa biashara nchini Rwanda ulikamilika mwanzo mwa mwaka huu. Pia kufika mwishoni mwa robo hii ya mwaka inatarajiwa pia kukamilika nchini Uganda.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-j0NeGlPqYw8/Xu9pDkFCShI/AAAAAAALu1I/_H2i42iPymcskjisyzt2P500m9oPMe5mgCLcBGAsYHQ/s72-c/JPEG-Na.-1AAA-768x512.jpg)
DKT. CHAULA AKAGUA UJENZI WA JENGO LA UMOJA WA POSTA WA AFRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-j0NeGlPqYw8/Xu9pDkFCShI/AAAAAAALu1I/_H2i42iPymcskjisyzt2P500m9oPMe5mgCLcBGAsYHQ/s640/JPEG-Na.-1AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/JPEG-Na.-2AAAA-1024x682.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula (wa pili kulia) akisisitiza jambo kwa msimamizi wa ujenzi wa ofisi za PAPU, Arusha, Mhandisi Hanington Kagiraki (wa kwanza kulia) wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya jengo hilo. Wanne kulia ni Katibu Mkuu wa PAPU, Younouss Djubrine.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/JPEG-Na.-3AAAA-1024x682.jpg)
Muonekano wa hatua ya ujenzi wa ofisi ya makao makuu ya PAPU, Arusha ukiendelea ukiwa katika hatua ya msingi wakati Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano) Dkt. Zainabu Chaula (hayupo pichani) alipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/JPEG-Na.-4AAA-1024x682.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano) Dkt. Zainabu Chaula (wa kwanza kushoto) akipata maelezo kuhusu maendeleo ya ujenzi wa ofisi ya PAPU, Arusha kutoka kwa msimamizi wa ujenzi, Mhandisi Hanington Kagiraki (wa kwanza kulia) ni Naibu Katibu Mkuu wa Sekta hiyo, Dkt. Jim Yonazi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/JPEG-Na.-5AAA-1024x682.jpg)
Katibu Mkuu wa PAPU, Younouss Djubrine (wa kwanza kulia) akifafanua jambo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano) Dkt. Zainabu Chaula (wa kwanza kushoto) kabla ya ziara yake ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa makao makuu ya ofisi ya PAPU, Arusha.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/JPEG-Na.-6AAA-1024x682.jpg)
……………………………………………………………………………..
Na Prisca Ulomi, WWUM, Arusha
Dkt. Zainabu Chaula, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano) ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la ofisi za Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika (PAPU), Arusha. Ujenzi huo unafanywa kwa ubia baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) na PAPU kwa gharama ya shilingi bilioni 33.58 mpaka kukamilika kwake.
Akizungumza katika ziara hiyo, Dkt. Chaula ameridhika na maendeleo ya ujenzi huo na kutoa wito kwa wananchi kuzidi kuiamini Serikali ya Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuendelea kufanya vizuri, kwani kwa kupitia ujenzi huo nchi itanufaika kwa mikutano na vikao vya kimataifa hivyo kuingiza fedha za kigeni na kutoa ajira za moja kwa moja kwa wananchi ikiwa ni pamoja na matumizi ya vifaa na malighafi zinazotumika katika ujenzi huo zinapatikana nchini.
“Nichukue fursa hii kuwapongeza wataalamu wanaosimamia na kufuatilia ujenzi wa ofisi za PAPU, Arusha. Jengo hili litakapokamilika ndoto ya Serikali ya kujenga ofisi za makao makuu ya PAPU itakuwa imekamilika na jengo hili ni kitega uchumi ambapo sisi kama nchi tutanufaika kwa uwepo wa jengo hili nchini”, alisema Dkt. Chaula.
Ujenzi huo unatarajiwa kukamilika mwezi Juni mwaka 2022. Jengo hilo linamilikiwa na Serikali kupitia TCRA kwa asilimia 40 na PAPU asilimia 60 ambazo ni michango ya nchi 45 wanachama wa PAPU ambapo Tanzania ni nchi mwanachama na inachangia dola za marekani 33,000 ambazo ni sawa na shilingi milioni 75 kwa mwaka.
Naye Naibu Katibu Mkuu wa Sekta ya Mawasiliano, Dkt. Jim Yonazi, amesema kuwa ujenzi wa jengo hilo utaleta mandhari mpya ndani ya jiji la Arusha na kutupa fahari kama nchi kuweza kutunza na kuifadhi taasisi za kimataifa nchini.
“Sisi kama Sekta ya Mawasiliano tutahakikisha jengo hili linakamilika kwa muda uliopangwa kwa mujibu wa mkataba wa ujenzi na kwa kiwango cha kimataifa ili kuonesha uwezo wa nchi kujenga majengo yenye hadhi ya kimataifa”, alisema Dkt. Yonazi.
Akitoa taarifa kuhusu maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo, Msimamizi wa ujenzi huo, Mhandisi Hanington Kagiraki amesema kuwa mpaka sasa ujenzi upo katika hatua ya msingi ambapo ni sawa na asilimia nne ya ujenzi na matarajio ni ujenzi kufika kwenye hatua ya kukamilishwa kwa ghorofa ya chini ifikapo mwezi disemba mwaka huu.
Aidha, aliongeza kuwa ujenzi wa jengo hilo umezingatia vigezo vyote vya kujenga majengo marefu ikiwa ni pamoja na kuzingatia hali ya udongo na tetemeko la ardhi kwa kuwa Arusha ipo kwenye ukanda wa bonde la ufa.
Katibu Mkuu wa PAPU, Younouss Djubrine akiwa katika ziara hiyo, ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Mhe. Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuhakikisha kuwa ujenzi wa jengo hilo unaendelea vizuri chini ya uongozi imara wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano).
Katika ziara hiyo, Dkt. Chaula aliambatana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Prof. Sifuni Mchome, wawakilishi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Ofisi ya Rais- TAMISEMI, ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Jiji la Arusha pamoja na wawakilishi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0CK7qYvGew0/Xu3lGZtK9eI/AAAAAAALuus/MRuYMlf2KbU5gv6V3_qEKZYMnNWVsExhACLcBGAsYHQ/s72-c/N1.jpg)
NMB YAKABIDHI VIFAA NA VITENDEA KAZI KWA OFISI YA WAZIRI MKUU JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0CK7qYvGew0/Xu3lGZtK9eI/AAAAAAALuus/MRuYMlf2KbU5gv6V3_qEKZYMnNWVsExhACLcBGAsYHQ/s640/N1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/N2.jpg)
Mkurugenzi wa Kitengo cha Maadhimisho na Sherehe za Taifa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.Mohamed Kiganja akipokea moja ya saa zilizokabidhiwa na Meneja wa Kanda wa Banki ya NMB Bw. Nsolo Mlozi ambapo walikabidhi saa 200, peni 200 na Vikombe 200 Juni 19, 2002 Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/N3AAAAA-1024x681.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/N4AAA-1024x859.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/N5AAAA.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GCcmDCu8TEg/Xu0MlevPUyI/AAAAAAALur4/A3sKjVQL2lIxCRavJxO0Ovw6TBsyPC61gCLcBGAsYHQ/s72-c/Picture%2B2%2B%25281%2529.png)
MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA UMOJA POSTA AFRIKA JIJINI ARUSHA.
Na:Vero Ignatus-Arusha.
Zaidi ya shilingi bilioni 38 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la kisasa lenye jumla ya ghorofa 17 ambalo linajengwa kwa ubia Kati ya Umoja wa Post Afrika (PAPU) na serikali ya Tanzania kupitia Mamlaka ya mawasiliano Nchini (TCRA).
Ni miezi sita sasa tangu kuzinduliwa shughuki za ujenzi kwa kuwekewa jiwe la msingi na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na mawasiliano mnamo januari 18 mwaka 2020 zoezi lililo ongozwa Mhandisi Isack Kamwelwe alie ambatana na viongozi mbalimbali Nchini na Nchini wanachama wa umoja huo barani Afrika.
Katika zoezi la ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi huo Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi ikiongozwa na katibu mkuu wa Wizara hiyo Dkt Zainabu Chaula alie ambatana na baadhi ya viongozi akiwemo Katibu mkuu wa umoja wa posta afrika Younnus Djibrine wametembelea eneo Hilo ya ujenzi na kuoneshwa kuridhishwa na Hatua za awali za ujenzi.
"Malengo ya ziara yangu ni kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la ofisi za PAPU litakalo kuwa na ghorofa kumi na Saba,jengo hili litakapo kamiliaka litakuwa na Ofisi za makao makuu ya Umoja huu na litatumika kwa shughuli mbalimbali zikiwemo benki,maduka,migahawa,posta na maeneo ya kupangisha kwa matumizi mbalimbali kibiashara"Alisema Dkt Zainabu.
Amesema jengo Hilo la kisasa litajumuisha nafasi maalumu kwa ajili ya shughuli za kitalii,na wananchi ili kujionea vivutio mbalimbali ikiwemo mlima wa Kilimanjaro unaopatika Nchini Tanzania.
Serikali imebainisha kuwa kwa kipindi cha miezi sita tangu ujenzi kuanza,kazi ya ujenzi imeendelea vyema kwa kuzingatia tahadhari kwa Wafanyakazi,pamoja na viwango vya ubora.
"Tangu kuanza kwa ujenzi hapa wazawa wamekuwa wakipewa nafasi ya kwanza ambapo asilimia kubwa ya wananchi hususani vijana wameweza kupata fursa za ajira ili kuweza kujiongezea kipato kwa maslahi ya familia zao,kwa kuzingatia masimamizi Mkuu wa ujenzi ni Mhandisi mzawa wengi wao wamepata ajira za moja kwa moja"alisema Katibu mkuu Wizara ya Ujenzi.
Kwa upande wake katibu mkuu wa umoja wa posta afrika Younnus Djibrine amesema yeye Kama Mtendaji kwa namna moja ama nyingine amekuwa akifanya ukaguzi wa ujenzi kwa kutembelea eneo hilo ili kujionea shughuli zinavyo endelea kwa maslahi ya Umoja wa nchi wanachama wa posta barani Afrika.
"Ujenzi huu Ni sehemu ya matunda ya Umoja wa PAPU na ndio maana hata viongozi wetu wa nchi mfano Rais Magufuli amekuwa akihimiza kuchapa kazi naamini matunda haya ni kwa faida yetu site"
Michuzi blog imezungumza na baadhi ya vijana walio pata fursa ya ajira katika ujenzi huo akiwemo Stanel Kilango na Julius Lena wanasema kwa Sasa maisha yao yamebadilika kutoka na nafasi walizo pata katika utekelezaji wa mradi huo wa ujenzi Nchini Tanzania.
"Maisha yangu kwasasa yana unafuu mno maana awali nilikuwa nimejiajiri mwenyewe katika shughuli zangu binafsi ukiwemo biashara ndogondogo dah kwa Sasa nashukuru mungu Mambo yameanza kubadilika naomba serikali ya Tanzania iendelee kuleta miradi mikubwa namna hii kwa maslahi ya wazawa"alisema Stanel.
Baadhi ya wanafunzi kutoka vyuo vya ufundi Nchini wamekuwa wakitumia fursa ya ujenzi wa jengo Hilo la kisasa kujifunza kwa vitendo ili kuweza kujijengea uzoefu wa kazi baada ya kuhitimu mafunzo yao.
![](https://1.bp.blogspot.com/-GCcmDCu8TEg/Xu0MlevPUyI/AAAAAAALur4/A3sKjVQL2lIxCRavJxO0Ovw6TBsyPC61gCLcBGAsYHQ/s640/Picture%2B2%2B%25281%2529.png)
Katika ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa jengo la Ofisi Umoja wa posta barani Afrika PAPU wa kwanza kushoto ni Katibu mkuu wa umoja huo Younnus Djibrine akipata baadhi ya maelezo kuhusu maendeleo ya ujenzi wa mradi huo unaoendelea jijini Arusha .
![](https://1.bp.blogspot.com/-KtkRCYmdFwc/Xu0NQRLu5aI/AAAAAAALusA/IMGREU6m3foYLCKWn2v1gjkidptIikVRwCLcBGAsYHQ/s640/Picture%2B3.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0GJVJcGOWz0/Xux7GLGmq0I/AAAAAAALujo/2a6wlzvJ4BAvDNyxbkGc_ScwFcSFM8hLwCLcBGAsYHQ/s72-c/rea-300x200.jpg)
ALIYEKUWA MWENYEKITI BODI YA WAKURUGENZI REA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA SERENGETI
![](https://1.bp.blogspot.com/-0GJVJcGOWz0/Xux7GLGmq0I/AAAAAAALujo/2a6wlzvJ4BAvDNyxbkGc_ScwFcSFM8hLwCLcBGAsYHQ/s640/rea-300x200.jpg)
Nyagoga ambaye amewahi kuwa mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa taasisi mbalimbali hapa Nchini, ametangaza nia ya kugombea nafasi hiyo jana kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi jana mjini Mpanda.
Nyagoga, kwa sasa ni katibu Tawala msaidizi sekretalieti ya mkoa wa Katavi alisema, anataka kuwa mbunge wa jimbo la Serengeti ili kubadilisha maisha ya wananchi wa jimbo hilo ambao kwa muda mrefu wamekosa kupata mtu sahihi .
Alisema, kwa miongo kadhaa wakazi wa Serengeti wamewapa nafasi baadhi ya watu kuwakilisha, hata hivyo wameshindwa kuisaidia Serengeti kutatua changamoto zinazo wakabili kama miundombinu ya barabara,maji, umeme wa uhakika pamoja changamoto nyingine.
Alisema,sasa ni wakati muafaka kwa wana Serengeti kuchagua mtu mpya ambaye anaweza kusaidiana nao kutatua changamoto hizo ambazo zimechangia jimbo hilo kubaki nyuma kimaendeleo.
“mtu atakayepewa dhamana hiyo anapaswa kuwa mchapakazi,mwadilifu,mweledi, na mbunifu anayeheshimu wenzake,mwenye mahusiano mazuri na wadau wa maendeleo na kikubwa zaidi awe mtu anayepinga vitendo vya rushwa”alisema Nyagoga.
Nyagoga alitolea mfano kuwa, Serengeti ina watu wengi wenye sifa hizo akiwemo yeye binafsi ambaye ametaja sababu kubwa zilizomshawishi kufikia uamuzi huo wa kugombea Ubunge ni kwenda kuungana na wananchi kutatua kero zilizokuwepo kwa muda mrefu ili wilaya hiyo ipige hatua kimaendeleo kama ilivyo kwa maeneo mengine hapa nchini.
Anataja, changamoto ya kukosekana kwa barabara inayounganisha wilaya na makao makuu ya mkoa tangu Uhuru mwaka 1961,kutokuwepo kwa umeme wa uhakika na maji safi na salama ni kati ya kero kubwa ambazo zimechangia sana kudumuza maendeleo.
Aidha alisema, wabunge wote waliopewa dhamana kwa nyakati mbalimbali wameshindwa kuisaidia Wilaya ya Serengeti kutatua changamoto hizo akiwemo Mbunge anayemaliza muda wake Marwa Ryoba, ambaye awali alikuwa Chadema na baadaye kwa kulinda na kutetea maslahi yake akarejea Chama cha Mapinduzi.
Amewataka wana Serengeti kuchagua mtu mpya,mwenye mawazo mapya,maono mapya,mikakati,mipango mipya inayoendana na kasi ya sasa katika kutatua changamoto zinazokabili wilaya na jimbo la Serengeti.
Nyagoga anataja mafanikio ya miaka 28 katika utumishi wa umma akiwa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi miaka 13,wizara ya fedha na mipango miaka 13 na Ofisi ya Rais Tamisemi miaka 5 ambayo ni ishara tosha kuonyesha jinsi alivyofanikisha alama za mafanikio katika kila kituo cha kazi.
Kwa mujibu wa Nyagoga, kazi hizo ni miongoni mwa kazi nyingi ambazo ameshiriki kuzisimamia na kuziratibu kwa mafanikio makubwa kuanzia maboresho ya Sera,maandalizi ya sheria na hatimaye maandalizi ya kanuni.
Ameeleza kuwa, dhamana aliyopewa ya kutumikia ameonyesha kwa vitendo namna ya mtumishi na kiongozi anavyoweza kuishi kwa mafanikio akiheshimu wenzake,akitenda haki na kupinga rushwa kwa vitendo, hivyo kwa nyenzo hizo anaweza kutoa mchango mkubwa kwa maendeleo ya Serengeti mpya.
Nyagoga anamshukuru Mungu kwa kumuwezesha kuwa sehemu ya mafanikio hayo kwa kutumia elimu na uzoefu wake kwa manufaa ya na maslahi ya Watanzania wote.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MBRTnX6AXik/XuxjvtaWiiI/AAAAAAABMfs/VacXTFivqS8SF3Ta5xBAe4w0BF2h9UoVgCLcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
NMB YATOA MKOPO WA SHILINGI BIL. 3 KWA WAKULIMA WA MUHOGO HANDENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-MBRTnX6AXik/XuxjvtaWiiI/AAAAAAABMfs/VacXTFivqS8SF3Ta5xBAe4w0BF2h9UoVgCLcBGAsYHQ/s400/11.jpg)
Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi (wa pili kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi Bilioni 3, Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe maalumu kwa ajili ya vikundi vya wakulima na wasindikaji wa zao la muhogo wilayani Handeni, mkoani Tanga. Wengine kwenye picha ni Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), Japhet Justin (wa pili kushoto), Mwenyekiti wa Wakulima wa zao hilo nchini, Mwantum Mahiza, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, William Makufwe na Meneja wa NMB Kanda ya Kaskazini, Aikansia Muro.
Katika juhudi za kuinua Sekta ya Kilimo nchini, Benki ya NMB kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) wametoa shilingi Bilioni 3 kwa wakulima wadogo wa zao la muhogo Wilayani Handeni, ili kuwawezesha wakulima kukopesheka kirahisi.
Akizungumza katika mkutano na wakulima hao eneo la Mkata Wilaya ya Handeni, Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi alisema mkopo huo wenye riba nafuu utawanufaisha wakulima 421 ambao watakuwa katika makundi 43.
“Shilingi bilioni 3 ni fedha nyingi, hivyo mzitumie vizuri ili na wengine waweze kufaidika. Huu ni uhamasishaji wa uwekezaji katika zao la muhogo ili kuwawezesha wakulima kujiongezea kipato na wakati huo kuendana na soko la China,” alisema Mponzi.
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe aliishukuru Benki ya NMB kwa mkopo huo huku akisemakatika kutatua changamoto ya masoko ya zao hilo, kiwanda cha kusindika kinatarajiwa kuanza kazi miezi michache ijayo na taratibu zinaendelea ili kuweza kulipata soko la china.
Akielezea harakati za Wilaya katika kuhamasisha zao la muhogo, Mwenyekiti wa Umoja wa Wazalishaji na Wasindikaji wa Muhogo Tanzania (TACAPPA), Bi Mwantumu Mahiza alisema zao la muhogo katika wilaya ya Handeni limekuwa la kibiashara kutokana na usafirishwaji wa muhogo mbichi kwa wingi kwenda Dar es Salaam.
Kwa miaka kadhaa, kilimo kimekuwa na mchango mkubwa katika uchumi wa Tanzania hasa katika upatikanaji wa chakula, biashara ya mazao nje ya nchi, kusaidia upatiakaji wa malighafi za viwanda vya ndani na kutoa ajira kwa Watanzania.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-foX5mXWBZYE/XuxCE-fP53I/AAAAAAAEH5s/7AIG5M1ZJlQEjxEHa79jnQV4FGrvv9r0gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Benki ya NMB yatoa mkopo wa Shilingi bilioni 3 kwa wakulima wa muhogo Handeni
![](https://1.bp.blogspot.com/-foX5mXWBZYE/XuxCE-fP53I/AAAAAAAEH5s/7AIG5M1ZJlQEjxEHa79jnQV4FGrvv9r0gCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
======= ======== =========== ========
Katika juhudi za kuinua Sekta ya Kilimo nchini, Benki ya NMB kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) wametoa shilingi Bilioni 3 kwa wakulima wadogo wa zao la muhogo Wilayani Handeni, ili kuwawezesha wakulima kukopesheka kirahisi.
Akizungumza katika mkutano na wakulima hao eneo la Mkata Wilaya ya Handeni, Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi alisema mkopo huo wenye riba nafuu utawanufaisha wakulima 421 ambao watakuwa katika makundi 43.
“Shilingi bilioni 3 ni fedha nyingi, hivyo mzitumie vizuri ili na wengine waweze kufaidika. Huu ni uhamasishaji wa uwekezaji katika zao la muhogo ili kuwawezesha wakulima kujiongezea kipato na wakati huo kuendana na soko la China,” alisema Mponzi.
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe aliishukuru Benki ya NMB kwa mkopo huo huku akisema katika kutatua changamoto ya masoko ya zao hilo, kiwanda cha kusindika kinatarajiwa kuanza kazi miezi michache ijayo na taratibu zinaendelea ili kuweza kulipata soko la china.
Akielezea harakati za Wilaya katika kuhamasisha zao la muhogo, Mwenyekiti wa Umoja wa Wazalishaji na Wasindikaji wa Muhogo Tanzania (TACAPPA), Bi Mwantumu Mahiza alisema zao la muhogo katika wilaya ya Handeni limekuwa la kibiashara kutokana na usafirishwaji wa muhogo mbichi kwa wingi kwenda Dar es Salaam.
Kwa miaka kadhaa, kilimo kimekuwa na mchango mkubwa katika uchumi wa Tanzania hasa katika upatikanaji wa chakula, biashara ya mazao nje ya nchi, kusaidia upatiakaji wa malighafi za viwanda vya ndani na kutoa ajira kwa Watanzania.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-or0u4wm7NKQ/XurQp1GCCbI/AAAAAAAAlJs/D0cs6Ges5Gs75u7x3mxTesRSpVLBNJfewCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-06-18-04h23m09s639.png)
WAZIRI HASUNGA AFUNGUA MAONESHO YA KILIMO BIASHARA 2020 TARI ILONGA, AGUSWA NA KASI YA TEKNOLOJIA KWENYE KITUO
![](https://1.bp.blogspot.com/-or0u4wm7NKQ/XurQp1GCCbI/AAAAAAAAlJs/D0cs6Ges5Gs75u7x3mxTesRSpVLBNJfewCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h23m09s639.png)
Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga, akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) Taifa, Dk. Yohana Budeba, alipowasili kufungua Maonesho ya Kilimo Biashara 2020 yaliyofanyika kwenye Kijiji cha Majambaa Kata ya Msowero, Kilosa mkoani Morogoro jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) Dk. Geofrey Mkamilo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ylq0sqxzIGI/XurQufs8s0I/AAAAAAAAlJw/vKWfdpGP7-gnbGvx6p3ZlkHWY4gjvFieACLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h24m36s448.png)
Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga, akisalimiana na Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Kilimo TARI Ilonga, Dk.Joel Meliyo alipowasilli kufungua Maonesho hayo. Kushoto ni Mkuu wa Chuo cha Kilimo MATI, Ilonga, Abdallah Gulana.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LGmELxnYc7Y/XurQyenF7gI/AAAAAAAAlJ8/U4HvS1cKa_cCHoffx0xOiBDjMx9ouG6MACLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h27m52s358.png)
Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga, akitambulishwa watumishi, wadau na viongozi mbalimbali wanaofanya kazi kwa karibu na TARI Ilonga kabla ya kufungua maonesho hayo.
Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Kilimo TARI Ilonga, Dk.Joel Meliyo, akiwasilisha taarifa ya tangu kuanzishwa kwa Taasisi hiyo, mbele ya Waziri Hasunga kabla ya kufungua maonesho hayo.
Taarifa ikitolewa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Eu-z8Tj7hTM/XurQ62-LfSI/AAAAAAAAlKw/IcscYVJhXu0MMez4jLN3TmXUyOBtypzzgCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h56m18s552.png)
Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Kilimo TARI Ilonga, Dk.Joel Meliyo, akitoa maelezo kwa Waziri Hasunga, alipokuwa akitembelea shamba la ufuta katika maonesho hayo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-BadYIk3FfJc/XurQ1q0BLEI/AAAAAAAAlKY/qJXhAAL78UoOgURkpA5nZru6mEkQHJbMwCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h42m05s736.png)
Waziri Hasunga, alikagua shamba la Mtama katika maonesho hayo.
Mashamba hayo pamoja na mengine hutumiwa na TARI kama mashamba darasa kwa wakulima na wanafunzi wa vyuo mbalimbali katika kupata ujuzi stahiki na teknolojia za kisasa kwa tija na mapinduzi ya kilimo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-FaALbzYH82E/XurQ6rPn9XI/AAAAAAAAlKs/WLUx9K9mgv4qEvDagEp-CUXz2JwfEVrlgCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h54m58s057.png)
Waziri Hasunga, alikagua mashamba darasa ya aina mbalimbali yanayosimamiwa na TARI Ilonga katika maonesho hayo.
Wakulima wa Kijiji cha Msowero wakiangalia shamba darasa la kilimo cha mbaazi.
Msimamizi wa Shamba la Mbegu Msimba, kutoka Kampuni ya Mbegu ya ASA, Mhandisi Johnson Ombeni, akimweleza Waziri Hasunga namna kampuni hiyo ilivyoboresha aina zake mbalimbali za mbegu.
Wanafunzi wa Chuo cha Kilimo (MATI) Ilonga wakishiriki maonesho hayo kama sehemu ya mafunzo kwa vitendo. Chuo hicho maarufu kwa sasa kimezidi kujiimarisha katika teknolojia mbalimbali za kilimo na usindikaji kuendana na mahitaji ya soko.
Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Kilimo TARI Ilonga, Dk.Joel Meliyo, akizungumza na wakulima.
Wakulima wa Kijiji cha Msowero na maeneo mengine ya Wilaya ya Kilosa wakiendelea kupata elimu juu ya mapinduzi yenye tija kwa kilimo endelevu kupitia uwekezaji, ubunifu na biashara chini ya TARI Ilonga kwenye maonesho hayo.
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) Dk. Geofrey Mkamilo, akizungumza mbele ya mamia ya wakulima (hawapo pichani) waliohudhuria maonesho hayo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LlU34EA6Y_Q/XurQzLmDh2I/AAAAAAAAlKE/OvHjrSlXjrAzJdZEwQAlUDtzH4yz5KENACLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h38m34s847.png)
Mwonekano wa Shamba darasa la Mtama.
![](https://1.bp.blogspot.com/-cnAjyicrqsE/XurQ1EVl2JI/AAAAAAAAlKQ/NkT8l5tuImQ3ns6DxDXGd5KAgQxjplPAwCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h39m32s059.png)
Mwonekano wa Shamba darasa la alizeti.
![](https://1.bp.blogspot.com/-xo3cv2wzRKQ/XurQ1IEg0FI/AAAAAAAAlKM/Y3j1uVKNqS4n9EjBaCBOfyscU4w8iOd7gCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h41m23s012.png)
Mwonekano wa Shamba darasa la mahindi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Nq9V3so-ycQ/XurQ3HVbdAI/AAAAAAAAlKc/KjDrJ-XBitgpkEvpZi2jdSd0RLI2nJ1lQCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h45m11s461.png)
Afisa Mauzo wa Kampuni ya Mbegu ya SEED-CO, Athuman Mbonde, akimweleza Waziri Hasunga namna kampuni hiyo ilivyoboresha aina zake mbalimbali za mbegu.
![](https://1.bp.blogspot.com/-oYmCKl9W3SY/XurQ3nev1EI/AAAAAAAAlKg/cBvARL4ndWcyzVw-kH0MSh6ERRGGg9qIQCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h45m46s266.png)
Mtafiti wa zao la Miwa TARI Kibaha Mkoa wa Pwani, Diana Nyanda, akitoa maelezo ya namna walivyoboresha mbegu mbalimbali za zao hilo mbele ya Waziri Hasunga.
![](https://1.bp.blogspot.com/-vxqzl_eiRYM/XurQ4NIY4xI/AAAAAAAAlKk/4VjiMAVp-48B91F_UFwIATl6A9HfBsPFQCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h48m44s296.png)
Mkuu wa Chuo cha Kilimo MATI, Ilonga, Abdallah Gulana, akimweleza Waziri Hasunga teknolojia mbalimbali za mafunzo kwa vitendo zinazofanyika chuoni hapo kupitia malighafi za kilimo kabla na baada ya usindikaji kufikia mahitaji ya soko.
![](https://1.bp.blogspot.com/-jgaV4lHHm8c/XurQ44Ebm6I/AAAAAAAAlKo/2285KXRkHdMCXJnFr_ypW_F2bwizjQdOQCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h52m43s341.png)
Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Yohana Kastila akizungumza.
Mkufunzi wa Chuo cha Kilimo MATI, Ilonga, Mariam Joseph (katikati), akimweleza Waziri Hasunga namna chuo hicho kilivyofanikiwa kuongeza thamani ya bidhaa zake mbalimbali zinazosindikwa kutokana na malighafi ya kilimo .
Mwonekano wa Jengo la Utawala la Kituo cha Utafiti wa Kilimo (TARI), Ilonga.
'Na Godwin Myovela, Morogoro
KITUO cha Utafiti wa Kilimo TARI Ilonga kilichopo Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro kimetakiwa kuweka mikakati ya kuhakikisha kinasambaza teknolojia zilizogunduliwa na watafiti wake , sambamba na aina zote za mbegu bora kwa wakulima ili kuongeza tija kwenye sekta ya kilimo nchini.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga wakati akifungua Maonesho ya Kilimo Biashara kwa mwaka huu yaliyofanyika kwenye Kijiji cha Majambaa, Kata ya Msowero wilayani Kilosa mkoani hapa jana.
"Kupitia maonesho haya wakulima wananufaika na teknolojia mbalimbali zinazozingatia kanuni za kilimo bora. Hivyo niitake Taasisi ya TARI kupitia vituo vyake vyote kuhakikisha teknolojia hizi mnazoendelea kuzigundua kila kukicha zinawafikia walengwa," alisema Hasunga.
Aidha, Waziri wa Kilimo alikazia agizo lililotolewa na Naibu Waziri wake Omary Mgumba kupitia maonesho kama hayo yaliyofanyika mwaka jana, kwa kukitaka kituo hicho cha utafiti kufanya maonesho kwenye maeneo ya wakulima ili kuwawezesha kujionea uhalisia na teknolojia za kilimo na usindikaji wa mazao yake.
Kauli mbiu ya maonesho ya kilimo biashara kwa mwaka huu ni 'Mapinduzi yenye tija kwa kilimo endelevu kupitia uwekezaji, ubunifu na biashara.
Hasunga akihutubia mamia ya wakulima kuzunguka wilaya ya Kilosa na maeneo jirani alisema takwimu za 2018 zinaonesha kilimo kinaajiri takribani asilimia 58 ya watanzania wote, huku kikichangia asilimia 28.2 ya pato lote la Taifa.
huku akisisitiza kati ya asilimia hizo, sekta ndogo ya mazao inachangia kwa asilimia 16.2 ya uchumi wa Taifa.
Sambamba na hilo alisema 2015 mpaka 2019 sekta ya kilimo imeendelea kukua kwa wastani wa asilimia 5.2, huku sekta ndogo ya mazao ikikua kwa wastani wa asilinia 5.8.
" Kilimo chenye tija kitatuhakikishia uhakika wa chakula lakini pia lishe bora. Mpaka sasa Tanzania imeendelea kujitosheleza kwa chakula kwa zaidi ya asilimia 120." alisema Hasunga na kuongeza:
"Lakini ikumbukwe kwa sasa tuna ziada ya tani zaidi ya milioni 2.8 ambazo tunauza ndani na nje. Pia kilimo kinawezesha upatikanaji wa malighafi kwa zaidi ya asilimia 65 ya viwanda vyote vilivyopo nchini."
Akizungumzia namna ya kukabiliana na changamoto ya mitaji, Waziri aliwataka wakulima kuitumia Benki ya Kilimo (TADB), Mfuko wa Pembejeo na asilimia 10 ya fedha zinazotengwa na halmashauri kwa kukopa ili kuboresha kilimo
Alisema watanzania walio wengi bado wamejikita kwenye kilimo duni huku akiwasihi wakulima kuzingatia maelekezo ya watafiti hususan TARI Ilonga ili kuongeza tija, wingi wa mazao na fedha za kutosha
"Kituo hiki cha Tari Ilonga moja ya jukumu lake kubwa kwa sasa ni kuhaulisha teknolojia rafiki lengo hasa ni kumfanya mkulima aondokane na zana duni za kilimo ikiwemo matumizi ya majembe ya mkono na kilimo cha mazoea. Niwasihi wakulima huu ni wakati wa kutumia akili na teknolojia zaidi, na tukumbuke bila ya kukubali kubadilika na kuwa na mwamko hatuwezi kufikia hapo," alisema Hasunga
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Bodi TARI Taifa, Dk.Yohana Budeba, alipongeza serikali kwa kuanzisha kituo hicho muhimu kwa ustawi wa kilimo nchini, huku akiwataka wakulima kuwatumia watafiti wa taasisi hiyo makini yenye vituo vyake takribani 17 kwa tija na ustawi.
Naye Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo nchini, Dk.Geofrey Mkamilo alisema kwa takribani miaka 77 mpaka sasa ya uwepo wa Kituo hicho kilichosheheni wasomi wabobevu kwenye masuala ya kilimo kimeendelea kuwa kinara katika kuwezesha maboresho kadhaa kwenye sekta ya kilimo
Alisema pamoja na changamoto zilizopo, hususan fedha, uchakavu wa miundombinu, kukosa maabara na uhaba wa watumishi, lakini taasisi hiyo imeendelea kubuni na kuandika maandiko mbalimbali ya miradi kwa wadau wa maendeleo, ili kukidhi mahitaji muhimu ya lazima sambamba na kwenda na kasi za mabadiliko ya mara kwa mara ya kisayansi, kiutafiti na kiugunduzi katika kufikia malengo
"Natambua kilimo kina mambo makubwa matano ambayo ni chakula, biashara, ajira, viwanda na uchumi. Ili kuboresha kilimo chetu ni lazima tuweke mkazo na tuwekeze kwenye utafiti kwa maana ya kuwa na mbegu bora sanjari na zana bora za kilimo." alisema.
Naye mkuu wa kituo hicho Dk. Joel Meliyo alisema kituo cha TARI Ilonga kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kimejikita katika kufanya tafiti na kuonesha teknolojia ya mazao yote kwenye eneo kilimo biashara
Meliyo aliwataja na kuwashukuru baadhi ya wadau wa kilimo wakiwemo Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Kampuni ya Mbegu ya SEED-CO, ASA, Magereza, vyuo vikuu na sekta nyingine binafsi kwa ushirikiano mkubwa na kituk hicho.
Alisema kituo hicho kina majukumu 5 ya kitaifa, ambayo ni utafiti wa mahindi, alizeti, mazao ha nafaka- yakiwemo mtama, ulezi na uwele, utafiti wa mazao jamii ya mikunde pamoja na utafiti wa teknolojia ya mazao baada ya mavuno.
Katika kutimiza majukumu hayo, baada ya utafiti kituo hicho kinatafuta namna ya kuweka teknolojia hiyo kwa lugha nyepesi ili kumiwezesha kila mkulima kuelewa.
Meliyo alisema pamoja na mambo mengine katika kufanikisha hilo, wameanzisha eneo la kilimo biashara ili kiwawezesha wakulima kutambua kilimo ni pamoja na chakula, fedha na kuimarisha uchumi kutokana na dhana yake kama chanzo cha malighafi.
"Teknolojia ya mbegu bora, agronomia (kwa maana ya nafasi kati ya mstari kwa mstari na mmea kwa mmea) teknolojia tunayotoa kwa sasa ni ya kumwezesha mkulima kuvuna kati ya gunia 15 na 25 kwa ekari.. hii ina tija," alisema
Kupitia teknolojia zinazotolewa TARI Ilonga wakulima watapata chakula cha kutosha na viwanda vitapata malighafi sanjari na kusaidia kupunguza umaskini wa kipato.
"Nawasihi wananchi wote watumie muda wao mchache kuja kutazama na kujifunza. Kuna mbegu bora tofauti-tofauti zitakazo wawezesha kufanya uchaguzi pale msimu wa kilimo unapofika kwa tija na manufaa." alisema Meliyo.
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Bonde la Galwan: Picha zimeonyesha kwamba vyuma vilivyowekwa misumari ndio vilivyotumika katika vita kati ya India na China
Picha iliosambaa sana katika mitandao ya kijamii nchini India inaonesha vyuma vya misumari vilivyotumiwa na China
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dw_PauBelXI/XvdEAZMR7kI/AAAAAAAC8jA/JYe4WGrVv3IlZ9ZKG4plEIK7H5avORfpACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. MOLLEL ATEMBELEA BOHARI KUU YA DAWA (MSD) JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-dw_PauBelXI/XvdEAZMR7kI/AAAAAAAC8jA/JYe4WGrVv3IlZ9ZKG4plEIK7H5avORfpACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akizungumza na viongozi wa Bohari ya Dawa Jijini Dar es Salaam Dkt Mollel amesema lengo la kutembelea taasisi hiyo ni kuangalia maboresho katika uagizaji, utunzaji na usambazaji wa dawa vifaa tiba na vitendanishi vya maabara ili kuboresha huduma ya afya nchini.
Amesema maboresho hayo ni njia ya kuelekea mafanikio ya pamoja katika kutatua changamoto za wananchi hususani katika upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara.
Kwa upande wake mtendaji mkuu wa MSD Maja Jenerali Gabriel Saul Mhidze (Dkt) amesema ujio wa naibu waziri umeongeza chachu katika utekelezaji wa majukumu ya taasisi kiujumla pamoja na utekelezaji wa maelekezo yanayo tolewa na wizaya ya afya ili kuendana na kasi inayohitajika katika sekta ya afya.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0VL9qN8ye4c/XveK1H4-3YI/AAAAAAALvro/2EA0VKB_CKQpmZk-pDIUAsjGKS50Z_0ogCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0124%2B%25282%2529.jpg)
MSONGO WA MAWAZO, CHANGAMOTO KWA MADEREVA JUU YA COVID-19, UNAVYOCHANGIA AJALI ZA BARABARANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-0VL9qN8ye4c/XveK1H4-3YI/AAAAAAALvro/2EA0VKB_CKQpmZk-pDIUAsjGKS50Z_0ogCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200612-WA0124%2B%25282%2529.jpg)
Msongo wa mawazo kwa madereva wa safari ndefu ikiwemo malori na mabasi,kutokana najanga la covid-19 umetajwa kuwa chanzo cha ajali za barabarani.
Janga la Corona lililongia hapa nchini mapema mwezi wa tatu mwaka 2020,limevuruga halihaisi ya utendaji kazi,limepunguza uzalishaji hivyo madereva wengi kukosa muda wa kupumzika,hujawa na uchovu,kutokula mlo kamili,pamoja na uchovu wa kuendesha gari kwa muda mrefu,yote haya yana,unaosababisha kinga zao za mwili kushuka na kuwa mashakani kupata maabukizi ya ugonjwa wa Corona.
Abdulmajid Abdulazizi Mwasha ni dereva wa safari marefu kutoka Tanzania kwenda Rwanda, anasema kutokana na janga hilo lililoikumba dunia la Covid-19 , asilimia kubwa madereva wa malori wameathirika, hususani katika nchi wanazokwenda wamekuwa wakitengwa na kuonekana wao ndiyo chanzo cha maambukizi ya ugonjwa huo.
''Tunapoingia katika mipaka ya nchi za wenzetu, tunaonekana sisi ndiyo tunaopeleka ugonjwa wa Corona, kiasi kwamba ukivuka tu mpaka , huruhusiwi kusimama popote na hata ukipata breakdown hakuna wa kukusaidia,jambo la kushangaza zaidi ni kwamba askari wa nchi hizo, wanawatembelea nyumba zilizopo jirani na tunakofikia sisi na kuwaambia wasitusogelee kwasababu tuna corona, jambo hili limekuwa likituumiza sana kisaikolojia na kutusababishia msongo wa mawazo''.Anasema Abdulmajid Mwasha..
Alisema hali halisi ya unyanyapaa inawaumiza madereva,kila wanapofika nchi jirani na kuongeza kuwa japo,upo utaratibu kwa utaratibu uliowekwa wa kusindikizwa bado madereva wa masafa marefu na wanapitia mazingira magumu ya kukosa huduma za kijamii,ameongeza kuwa katika mipaka mingi ya nchi jirani madereva wa Kitanzania wamepewa jina la corona,wanadhaniwa kuwa ndio wenye corona na wanaisambaza katika nchi jirani.
Kuhusu masuala ya vipato vya madereva Bwana Mwasha amanaesema,kwenye kampuni yao walikuwa na uwezo wa kwenda hata safari tatu kwa mwezi, lakini kutokana na janga hilo kwa sasa hawawezi kufanya hivyo kwani wamejikuta wanaenda safari moja, jambo ambalo limewafanya athari ya kisaikolojia kuwa kubwa zaidi ikichangiwa na athari ya kusuka kwa kipato,kuathirika kisaikolojia,kiuchumi, pamoja na changamoto wanazokutana nazo kutokana na ugumu wa kazi yao, zinawapa msongo wa mawazo, kwa asilimia kubwa jambo ambalo linaweza kusababisha ajali wawapo safarini.
''Vipato vimeshuka,tunafamilia,hatuna muda wa kutosha kupumzika,hatupati mlo kamili,utendaji wakazi umekuwa tofauti,hata katika depot za mafuta kazi zimepungua, mzigo unakuwa mwingi na kutokana na changamoto za nchi tunazokwenda mipaka yao haifanyi kazi(mafuta hayatumiki mengi)hivyo kwa njia moja hadi nyingine madereva wa malori ni wahanga wakubwa wa janga hili la''.Anasema Abdulmajid Mwasha.
Mmoja wa madereva kutoka chama cha madereva wa coaster(VTA) za kukodisha Jijini Dodoma(Kibasi Kiselekela siyo jina lake halisi) anasema kuwa karibu asilimia 90% ya madeva hawakuweza kufanya kazi kutokana na janga hilo la covid-19,matokeo yake wamekuwa wakienda kijiweni na wanarudi nyumbani bila kupata chochote na malipo ya kazi yao yanapatikana mara dereva anapokwenda safari.
''Unamkuta dereva amebahatika kupata kazi moja kwa mwezi mzima,ana familia watoto nyumbani wanahitaji kula,anadaiwa kodi ya nyumba,bado ana mahitaji binafsi hivi kweli ataacha kusababisha ajali kweli ukizingatia hii kazi haina mashahara unajilipa kutokana na kazi unayoipata''.Alihoji Kibasi Kiselekela
Nassor Mansour Nassor ni mmiliki wa vyombo vya usafiri Mtwara -Lindi pamoja na wilaya zake,anasema athari katika sekta za usafirishaji baada ya kutokea janga la covid 19,limewaathiri kwa kiasi kikubwa,hususani wamiliki walioingia kwenye mikopo benki pamoja na wale walioingia mikopo na watengenezaji wa magari hayo (mabasi ya abiria) haswa mabasi makubwa yanayofanya safari ndefu
Mansour anasema kuwa maelekezo ya serikali, kuwataka watu kukaa mbalimbali na kupunguza mikusanyiko wa abiria kwenye magari ya umma ili kuzuia kusambaa virusi vya corona, kumethri kipato katika sekta ya usafirishaji,na hivyo kulazimika wamiliki wengi wamelazimika kupunguza na wafanyakazi wa sekta ya usafirishaji au kusitisha shuguli zao kwa kuhofia kupata hasara.
''Abiria nao walipungua kwakuwa watu wengi walisitisha safari, sababu walifuata maelekezo ya wataalam wa afya pamoja na serikali kujikinga na maambukizi, hivyo magari mengi pia hayakuweza kufanya kazi ,pamoja na wamiliki, madereva pia wameathrika sana''.Anasema Nassor Mansour
Ameeleza kuwa athari kubwa iliyopatikana ni kutokupatikana kwa kile kipato cha kila siku kilichokuwa kinategemewa,mfano ulikuwa na gari ndogo ambayo labda ulikuwa unategemea upate labda elfu 80,000-100,000 ilifikia hatua gari linakwenda kazini hata siku tatu hawapati chochote zaidi ya hasara.
Siyo hivyo tu kuna wale waliochukua mikopo benki wameshindwa kufanya marejesho ya benki, lakini pia kuna wale walioingia mikopo au mikataba ya kukopeshana magari na wenye makampuni ya China yanayotengeneza hayo magari nayo pia athari yake imekuwa kubwa sana kwasababu wameshindwa kutimiza lile lengo lililokuwa linahitajika kwa kulipa mikopo kwa wakati.
Kwa kanda yetu hii ya Mtwara wapo wamiliki wana mabasi 15-16 ,siku ilikuwa tunatoa basi siyo chini ya 20 lakini ilifikia hatua kwa siku tulikuwa tunatoa basi mbili,mmiliki huyu anapataje kipato cha kurudisha rejesho?! wengi wamefikia hatua ya kuuza vitu vyao ambavyo hawajawaweka rehani benki,ikiwemo nyumba,na baadhi ya magari,wengi wanauza magari kwa bei chee kwasababu ya athari ya gonjwa hili la covid-19.Alisema Nassor
Kwa upande wa daladala anasema hata lile agizo lililotolewa na serikali la abiria kutojazana kwenye mabasi (level sit) kwa mikoani suala hilo lilijitengeneza lenyewe siyo kwamba askari walitumia nguvu nyingi la hasha! kwani abiria walikuwa wachache,hivyo kusababisha gari kusafiri kwa hasara bila faida
Athari nyingine abiria kuwa wachache hadi kukosa safari za mara kwa mara hivyo maisha ya madereva yalikuwa magumu kwani watu waliokuwa na changamoto kubwa ni madereva wa mabasi ya abiria,kwani nikama vile tulijitoa muhanga kipindi ambacho ugonjwa ukiwa umepamba moto,ila tunamshukuru Mungu ugonjwa umepungua na tuendelee kuomba uishe kabisa.Anasema Jabu Daruweshi Chegenya
Kwakweli malipo ya posho yamepungua sana wakati mwingine kukosa kupewa kabisa na ukianagalia kweli habiria hakuna na waliopo ndani ya gari hata malipo ya mafuta kutoka mwanza kuja Dar es salaam ni changamoto kubwa na tajiri mwenyewe haimlipi ,hivyo changamoto za kiuchumi mapato zinasababisha msongo mkubwa wa mawazo kwa madereva wengi. Anasema dereva wa bus la abiria Jabu Daruweshi Chegenya
Ugonjwa huu wa covid-19 ulituathiri sisi madereva kwanza kiasi kikubwa,kilichokuwa kinatupa hofu kubwa ya kuambukizwa ni pale serikali haikuweza kusitisha shughuli za usafirishaji wa abiria nchini,hivyo hofu ya kuambikizwa ilikuwa kubwa sana kwetu madereva
Hivi karibuni chama wamiliki wa malori nchini (TATOA) kupitia mwenyekiti wake Elias Lukumay waliiomba serikali kuketi na pamoja katika mazungumzo na viongozi wa nchi jirani ili kutatua changamoto ya madereva wa malori kutokana na hali ya kunyanyasika mipakani kwenye katika kipindi cha ugonjwa wa mapafu wa covid-19 na kuangalia hali wanazopitia madereva hao.
Lukumay aliweza kuainisha changamoto ambazo wanakabiliana nazo madereva hao ni pamoja na unyanyasaji unaofanyika,unyanyapaa unaofanyika mpaka Rusumo unaounganisha Tanzania na Rwanda ,pamoja na ule wa Namanga wanapotaka kuvuka kuingia nchini Kenya, licha ya kuwepo makubaliano yaliyofikiwa lakini kuna mambo yanaendelea kujitokeza,pamoja na madereva kukaa kwa muda mrefu katika eneo la Gaina ambalo halina huduma toshelezi kwa jamii .
Pia suala la kukaa kwa muda mrefu kumesababisha hasara kwa wafanyabiashara ,pamoja na wasafirisaji wa Tanzania kuendelea kutozwa faini kiasi cha 120,000 kwa siku,huku madereva wakiishiwa pesa za kujikimu baada ya kukaa kwa muda mrefu
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/wwf09xtoQHU/default.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ ANAVYOLINGANISHWA NA WASANII WENGINE AFRIKA KATIKA MTANDAO WA YOUTUBE
![Diamond Platnumz akishangazwa na wazalishaji wake wa muziki nyumbani kwake](https://ichef.bbci.co.uk/news/640/cpsprodpb/1571F/production/_112893878_capture976.png)
CHANZO CHA PICHA,WCB_WASAFIDiamond Platinumz alishangazwa na wazalishaji wake wa muziki wiki iliopita walipoingia katika nyumba yake na keki iliokuwa na nembo ya kuadhimisha hatua muhimu ya nyota huyo wa Tanzania.Huku akipigwa picha akivalia nguo , mwanamuziki huyo mwenye umri wa miaka 30 aliambiwa na kundi lake kwamba ndiye msanii wa kwanza katika jangwa la sahara kupata views bilioni moja katika chaneli ya Youtube.Ruka Instagram ujumbe, 1
Mwisho wa Instagram ujumbe, 1
![Presentational white space](https://ichef.bbci.co.uk/news/640/cpsprodpb/94C2/production/_109028083_1px_white_line-nc.png)
Maelezo ya video,Onyo: Imetoka kwingine na inaweza kuwa na matangazo
Mwisho wa YouTube ujumbe, 1
![Presentational white space](https://ichef.bbci.co.uk/news/640/cpsprodpb/94C2/production/_109028083_1px_white_line-nc.png)
![Aya Nakamura katika onesho lake la muziko Ufaransa 2019](https://ichef.bbci.co.uk/news/640/cpsprodpb/16DA0/production/_112900639_mali_getty976.png)
CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,Aya Nakamura alijipatia umaarufu wake kupitia wimbo wake DjadjaMsichana huyo alielekea Ufaransa wakati alipokuwa msichana mdogo na kujipatia umaruufu mkubwa kupitia wimbo wake wa 2018 Djadja.Na Akon mwanamuziki wa Senegal aliyebadilika na kuwa Rappa wa Marekani anawashinda wote kwa Views bilioni 3.5.Katika Afrika ya jangwa la sahara, washindani wa Diamond Platinumz katika mtandao wa You Tube ni wasanii wa Nigeria.P Square - 810 millionDavido - 618 millionFlavour - 617 millionTekno - 574 millionBurna Boy - 507 millionStarBoy TV (AKA Wizkid) - 480 millionTakwimu za wasanii Davido na Burna Boy ndio zinazovutia zaidi ikizingatiwa kwamba walifungua chaneli zao za YouTube mwaka 2018.Diamond amekuwa katika ukumbi huo tangu 2011.
Na kampuni ya kurekodi muziki ya Wizkid , StarboyTV - unapoongezea takwimu kwa chaneli zake nyengine ana takriban Views Milioni 802.Nyota wengine hupendelea kuwa na chaneli zao wenyewe ili kukuza nyimbo zao na kuondoa urasimu kwa kuwa kampuni nyingi za muziki huchukua muda mrefu kutoa nyimbo mpya.Majina mengine maarufu ni Magic System ya Wizkid .Nyota wengi hupendelea kumiliki chaneli zao wao wenyewe ili kukuza nyimbo zao na kupunguza urasimu kwa kuwa kampuni hizo za kurekodi muziki huchukua muda mrefu kutoa nyimbo mpya. Kampuni nyengine maarufu ni Magic System ya Ivory Coast ilio na zaidi ya views milioni 477.Kundi hilo ni maarufu hususan katika maeneo ya magharibi mwa Afrika ambapo wenyeji huzungumza Kifaransa.Ufuasi huu unatokana na wimbo wao Gaou- ni wimbo mmoja ambao umefanikiwa kuliunganisha bara zima , kulingana na DJ Edu.Huku takwimu za chini za You Tube miongoni mwa wasanii wa Afrika Kusini zikiponza umaarufu wao, wana uwezo wa kujipatia fedha kupitia kampuni zao wenyewe za muziki , anasema Dj Edu. Na kama unavyojua YouTube sio chaneli ya pekee ilio na huduma ya streaming.Wizkid alifanya kazi na rapa wa Canada Drake mwaka 2016 - ambapo wimbo wao wa One dance - ulioonyeshwa zaidi ya bilioni 1,8, lakini hakutolewa rasmi katika mtandao wa YouTube.Maelezo zaidi kuhusu taarifa hii
![Manu Dibango in 2014](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/1439D/production/_111454828_manugetty976.png)
![John Nzenze and Daudi Kabaka](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/662C/production/_112865162_musicianjohnnzenzeanddaudikabakainaction30thjune1991-2.jpg)
![Members of the Albatross Muf Rockers playing in Zambia](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/5F9B/production/_110257442_guitar976.png)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dI8gMycZHwg/XvbdO0PlWOI/AAAAAAAAW-M/SUyWNXMoyYIGsPMeo32y-5cf6FCH4RrbwCLcBGAsYHQ/s72-c/43d74742625e4e1b76d8c2719613fd88.jpg)
SIKU YA KUPINGA VITA DAWA ZA KULEVYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dI8gMycZHwg/XvbdO0PlWOI/AAAAAAAAW-M/SUyWNXMoyYIGsPMeo32y-5cf6FCH4RrbwCLcBGAsYHQ/s400/43d74742625e4e1b76d8c2719613fd88.jpg)
Akizungumizia maadhimisho hayo na mafanikio yaliyopatikana Waziri wa nchi ofisi ya waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na wenye ulemavu Jenista Mhagama anasema mafanikio hayo yamepatikana baada ya kubaini na kuvunja mitandao hiyo hapa nchini kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za kimataifa.
Pamoja na kazi hiyo iliyofanywa na serikali kwa kushirikiana nan chi mbalimbali na taasisi za kimataifa ili kudhibiti uingizwaji wa dawa hizo hapa nchini bado Dawa zinazozalishwa hapa nchini zinaonekana kuwa changamoto.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JCM-2Ls66n8/XvZBKJ9OxII/AAAAAAALvnQ/KR0ZgmP2VvcRT54WUvrL47ZIltQq-ildQCLcBGAsYHQ/s72-c/img_0532.jpg)
Tanzania Yafanikiwa Kupunguza Uingizaji wa Dawa za Kulevya Nchini kwa 90%.
![](https://1.bp.blogspot.com/-JCM-2Ls66n8/XvZBKJ9OxII/AAAAAAALvnQ/KR0ZgmP2VvcRT54WUvrL47ZIltQq-ildQCLcBGAsYHQ/s400/img_0532.jpg)
Tanzania imefanikiwa kupunguza uingizaji wa dawa za kulevya kwa asilimia 90 kufuatia jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali za kupunguza tatizo la dawa za kulevya nchini.
Akizungumza leo jijini Dodoma, katika Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Jenista Mhagama alisema kuwa tatizo la dawa za kulevya katika jamii ni suala mtambuka linalohitaji ushirikiano wa sekta mbalimbali katika kupambana nalo wakiwemo waathirika wa dawa za kulevya na jamii kwa ujumla, ambapo Serikali imeendelea kufanya jitihada mbalimbali za kukabiliana nalo.
“Kwa mujibu wa taarifa ya mwaka 2019 ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya dawa za kulevya na uhalifu (UNODC), nchi yetu ilifanikiwa kupunguza uingizaji wa dawa za kulevya kwa asilimia 90. Pia, Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imeshinda kesi za wafanyabiashara wakubwa wa dawa za kulevya pamoja na kuwakamata wafanyabiashara wa dawa za kulevya. Aidha, kwa kipindi cha miaka mitano kutoka mwaka 2015 hadi Juni, 2020, jumla ya kg 188,489.93 za bangi, kg 124,080.33 za mirungi, kg 58.46 za cocaine, na kg 635.57 za heroin, zimekamatwa pamoja na jumla ya watuhumiwa 73,920 walikamatwa” alisema Waziri Mhagama
Aliongeza kuwa Mamlaka hiyo imefanikiwa kufanya ukaguzi katika kampuni 167 zinazojihusisha na uingizaji wa kemikali bashirifu, sambamba na kukamata kiasi cha lita za ujazo 480,000 na kg 22,145 za kemikali bashirifu zilizoingia nchini bila ya kufuata utaratibu.
Waziri Mhagama alitaja mafanikio mengine ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kuwa ni kupanua huduma za tiba kwa waathirika wa dawa za kulevya nchini, ambapo kumekuwa na ongezeko la vituo sita na hivyo kufanya jumla yake kuwa vituo nane hadi kufikia machi 2020 vikihudumia waathirika 8,500 kwa siku kutoka vituo vitatu vilivyokuwa vikihudumia waathirika 3,500 mwaka 2016.
Vilevile, Mamlaka imekuwa ikisimamia upatikanaji wa uhakika wa dawa ya methadone kwa ajili ya tiba ya waraibu wa heroin kwa kusimamia uagizaji, usambazaji na udhibiti wake, kuimarisha ushirikiano wa Kimataifa na Kikanda katika mapambano dhidi ya tatizo la dawa za kulevya na uhalifu wa kupangwa kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Taifa linaloshughulikia masuala ya Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC) pamoja na Taasisi nyingine za Kimataifa.
“Tatizo la dawa za kulevya linavuka mipaka ya nchi yetu, hivyo ushirikiano umeelekezwa zaidi katika kubadilishana taarifa za kiintelijensia na operesheni za pamoja. Ambapo mwaka 2019 nchi yetu iilisaini mkataba na nchi za Msumbiji na Afrika ya Kusini juu ya udhibiti wa usafirishaji wa dawa za kulevya katika njia ya kusini kwa kuwa wafanyabiashara wengi wakubwa wamehamia katika nchi hizo baada ya udhibiti kuwa mkali nchini” alisisitiza Waziri Mhagama
Aidha, Waziri Mhagama aliitaka jamii kuendeleza ushirikiano wa kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya kwa kuwa tatizo hilo ni suala mtambuka na linahitaji ushirikiano kutoka katika taasisi za Serikali, Kiraia, Kimataifa na jamii yote kwa ujumla, na hivyo jamii ijenge uelewa sahihi wa tatizo la dawa za kulevya ili kuimarisha mapambano dhidi yake.Wiki hii Tanzania inaungana na mataifa mbalimbali duniani katika kuadhimisha Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani huku kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa Tujenge Uelewa sahihi wa Tatizo la Dawa za Kulevya ili kuimarisha mapambano dhidi ya Tatizo hilo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5FmTVwt37AI/XvX2fDMVBAI/AAAAAAALvko/btmRVnzIerYSUZyWdeh95oeqhBYmp0XMQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B2.17.25%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MKAZI WA JIJINI DAR KORTINI KWA TUHUMA ZA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA GRAMU 1523.25
MKAZI wa Jiji la Dar es Salaam Pedro Chongo a.k.a Salim Mgana amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kosa moja la kusafirisha dawa za kulevya aina ya Cocaine zenye uzito wa gramu 1523.25.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa na Wakili wa Serikali Janet Magoho leo Juni 26, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Richard Kabate imedai kuwa, Aprili 9, 2011 huko katika uwanja wa Ndege wa Mwalimu JK Nyerere ndani ya Wilaya ya Ilala Dar es Salaam, mshtakiwa alikutwa akisafirisha kilo hizo 1523.25 za Cocaine.
Hata hivyo mshtakiwa hakuruhusiwa kujibu kitu chochote mahakamani hapo kwa kuwa mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu haina mamlaka ya kusikiliza kesi za dawa za kulevya.
Kwa mujibu wa upande wa mashtaka upelelezi katika kesi hiyo bado haujakamilika na kesi hiyo imeahirishwa hadi Julai 10,mwaka huu. Mshtakiwa amerudishwa rumande.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa na Wakili wa Serikali Janet Magoho leo Juni 26, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Richard Kabate imedai kuwa, Aprili 9, 2011 huko katika uwanja wa Ndege wa Mwalimu JK Nyerere ndani ya Wilaya ya Ilala Dar es Salaam, mshtakiwa alikutwa akisafirisha kilo hizo 1523.25 za Cocaine.
Hata hivyo mshtakiwa hakuruhusiwa kujibu kitu chochote mahakamani hapo kwa kuwa mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu haina mamlaka ya kusikiliza kesi za dawa za kulevya.
Kwa mujibu wa upande wa mashtaka upelelezi katika kesi hiyo bado haujakamilika na kesi hiyo imeahirishwa hadi Julai 10,mwaka huu. Mshtakiwa amerudishwa rumande.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5FmTVwt37AI/XvX2fDMVBAI/AAAAAAALvko/btmRVnzIerYSUZyWdeh95oeqhBYmp0XMQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B2.17.25%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-FqKVSkVN-XM/XvX2fEbqdoI/AAAAAAALvks/SZJw3uOepfcS8nykStc52wMmGvy4HxpAgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B2.17.25%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PguvS0TgIPY/XvXrLfqS5CI/AAAAAAALvio/jcfCWgcxwA0USMWqPO2yxWYPrsOJgXUuwCLcBGAsYHQ/s72-c/SABUNI%2B1.jpeg)
WANAWAKE WAJASIRIAMALI VISIWANI PEMBA WASHAURIWA KUTUMIA VIZURI NEEMA YA ZAO LA KARAFUU ILI KUZALISHA BIDHAA
Na Muhammed Khamis-TAMWA-Zanzibar
MKURUGENZI wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake( TAMWA- Zanzibar) Dkt.Mzuri Issa amewashauri wanawake wajasiriamali kisiwani Pemba kutumia vizuri neema ya zao la Karafuu kisiwani humo kwa kuzalisha bidhaa mbali mbali.
Dkt Mzuri aliyasema hayo leo Juni 27,2020 wakati alipokua akitizama baadhi ya bidhaa
zinazozalishwa na wajasirimaali hao kutoka Pemba huko ofisini kwake
Tunguu Wilaya ya kati Unguja.
Amesema zao la karafuu linaweza kuzalisha bidhaa mbali mbali ambazo
zinasoko kubwa ndani na je ya Nchi iwapo wajasiriamali hao wataweza
kuzisanifu vyema karafuu hizo.
Akitolea mfano wa bidhaa zinazotokana na karafuu alisema ni sabuni
pamoja na liwa ambalo ni maalumu na hutumika kwa ajili ya kusafishia
mwili kwa wanawake na wanaume(singo)
Pia Dkt, Mzuri aliwataka wajasiriamali hao kuanza kuangaza zaidi soko la
kimataifa ambapo pia kuna uhitaji mkubwa wa bidhaa za asili kutoka
Zanzibar hususani zinazoalishwa kwa kutumia karafuu na mengineyo.
Kwa upande wake afisa uwezeshaji wanawake TAMWA ofisi ya Pemba Asha
Mussa alisema wanawake wengi kisiwa cha Pemba wamehamasika na kujiunga kwenye vikundi mbali mbali vya uzalishaji wa bidhaa.
Akitolea mfano alisema pia wajasiriamali hao hawakuridhika tu na
uzalishaji wa bidhaa hizo pia wameanza kujiungiza katika ufuagaji ambapo
tayari baadhi ya vikundi vinamiliki mabanda ya na wanaendelea na ufugaji
kuku.
Akizungumzia kuhusu changamoto alisema bado zipo changamoto mbali mbali ikiwemo ukosefu wa soko la uhakika kwa wajasiriamali ambapo wakati mwengine wajasirimali hao hulazimika kukaa na bidhaa zao ndani kwa muda mrefu.
Afisa huyo uwezeshaji wanawake kiunchumi aliomba Serikali na taasisi
nyengine mbali ndani ya Zanzibar na nje ya Tanzania kujitokeza kwa wingi
kuunga mkono jitihada za vikundi hivyo kwa kuwa kufanya hivyo
kutawawezesha wanawake wengi kujikwamua kiuchumi na kuondokana na
umasikini.
Akizungumzia kuhusu hali halisi ya uzalishaji wa bidhaa mmoja miongoni
mwa wajasiriamali kutoka kisiwani Pemba Sakina Ame Bakar alisema
wanajitahidi katika uzalishaji wa bidhaa bora na zenye viwango vya hali
ya juu.
Alisema licha ya jitihada hizo lakini wanaendelea kukabiliwa na changamoto ya ukosefu wa soko bora na lenye uhakika kwao ambalo lingewafanya kwa wajasiriamali bora na wakimataifa.
Aidha ameiomba Serikali kuendelea kuwatengezea mazingira ikiwemo
kuwakutanisha na makampuni makubwa pamoja na wajasiamali wengine wa kimataifa ili waweze kutengeza masoko mapya.
![](https://1.bp.blogspot.com/-PguvS0TgIPY/XvXrLfqS5CI/AAAAAAALvio/jcfCWgcxwA0USMWqPO2yxWYPrsOJgXUuwCLcBGAsYHQ/s640/SABUNI%2B1.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-hrA3lQAns_o/XvXrLrpBV6I/AAAAAAALvis/DGxCJZbY5Ss6x75U9yw2XfkNJqxULRx7ACLcBGAsYHQ/s640/SABUNI%2B2.jpg)
Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake TAMWA-Zanzibar Dkt,Mzuri Issa (katika)akitazama baadhi ya bidhaa zinazozalishwa na wajasriamali kisiwani Pemba,kulia ni Asha Mussa Afisa uwezeshaji uchumi TAMWA ofisi ya Pemba kushoto ni Sakina Bakari Ame.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FfJnxUXLJj0/XvXscg-zclI/AAAAAAALvjA/zonwijo43usXSk-CO5Sg4BJ0xvJJfxHhgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200625-WA0526.jpg)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA IDD KIMANTA AMTAKA DC BALELE KUSIMAMA VEMA KUHAKIKISHA HAKUNA HATI CHAFU MONDULI
Na Woinde Shizza , Michuzi Tv-Monduli
MKUU wa Mkoa wa Arusha Idd Kimanta amemueleza Mkuu wa Wilaya ya Monduli ACP Edward Balele kuwa Wilaya ya Monduli haijawai kupata hati chafu tokea Serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, hivyo amemtaka aendelee kusimamia vyema ili hati chafu isiwepo..
Kimanta ameyasema hayo alipokuwa akimkabidhi ofisi Mkuu huyo wa Wilaya katika ofisi za Wilaya ya Monduli na kisha kuzungumza na watumishi wa ofisi ya mkuu wa Wilaya na halmashauri.Amemtaka Mkuu uyo wa Wilaya kuhakikisha hadhi ya Wilaya ya Monduli inabaki kama ilivyo.
“Nakukabidhi Wilaya hii ya Monduli na watumishi wote wakiwa katika hali nzuri na wewe hakikisha unaendelea kufanya nao kazi vizuri na kwa ushirikiano mkubwa,"amesema.Amesema watumishi wa Wilaya ya Monduli kwa ujumla ndio waliofanikisha mafanikio yake hadi kufikia nafasi hiyo ya mkuu wa Mkoa, hivyo amewashukuru kwa ushirikiano wao waliouwonesha na kuwataka waendelee hivyo hivyo hata kwa mkuu huyu mpya wa wilaya.
Amesema Kimanta ameacha alama kubwa na nzuri sana katika wilaya hiyo na kuaidi kuyaendeleza yale waliyoweza kujifunza kutoka kwake huku wakishirikiana na Mkuu mpya wa wilaya.Mkuu huyo wa Mkoa wa Arusha amekabidhi ofisi yake ya zamani ya wilaya kwa mkuu mpya wa wilaya hiyo baada ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha mapema wiki hii.
Akizungumza Mara baada ya kukabithiwa ofisi ACP Balele aliahidi kumpa ushirikiano Mkuu wa mkoa Arusha na pia Kuwapa ushirikiano watumishi wa idara zote.Tayari mkuu huyo wa Wilaya amenza kazi ikiwa pamoja na kwa Kuendelea kusikiliza Wananchi na kutatua changamoto zao wanaofika ofisini kwake.Pia amefanya ziara ndogo kwa kutembea Kituo cha Polisi Monduli na kuzungumza na maafisa wa polisi.![](https://1.bp.blogspot.com/-FfJnxUXLJj0/XvXscg-zclI/AAAAAAALvjA/zonwijo43usXSk-CO5Sg4BJ0xvJJfxHhgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200625-WA0526.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZzF58Hhfx50/XvXsc-cMW5I/AAAAAAALvjE/6TZ1NalWwDM6feAOncrg8PBX96fKqP3XACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200625-WA0531.jpg)
Mkuu wa wilaya Mpya wa Monduli ACP Edward Jotham Balele akiongea na Wakuu wa Idara, Watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Monduli, Wachungaji na watu mbalimbali mara baada ya kukabidhiwa ofisi kutekeleza Majukumu yake ya Ukuu wa Wilaya ya Monduli kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Iddi Kimanta ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha
Mkuu wa mkoa wa Arusha Idd Kimanta akionesha moja ya zawadi alizopewa na Wana Monduli wakati alipoenda kumkabidhi ofisi.
MKUU wa Mkoa wa Arusha Idd Kimanta amemueleza Mkuu wa Wilaya ya Monduli ACP Edward Balele kuwa Wilaya ya Monduli haijawai kupata hati chafu tokea Serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, hivyo amemtaka aendelee kusimamia vyema ili hati chafu isiwepo..
Kimanta ameyasema hayo alipokuwa akimkabidhi ofisi Mkuu huyo wa Wilaya katika ofisi za Wilaya ya Monduli na kisha kuzungumza na watumishi wa ofisi ya mkuu wa Wilaya na halmashauri.Amemtaka Mkuu uyo wa Wilaya kuhakikisha hadhi ya Wilaya ya Monduli inabaki kama ilivyo.
“Nakukabidhi Wilaya hii ya Monduli na watumishi wote wakiwa katika hali nzuri na wewe hakikisha unaendelea kufanya nao kazi vizuri na kwa ushirikiano mkubwa,"amesema.Amesema watumishi wa Wilaya ya Monduli kwa ujumla ndio waliofanikisha mafanikio yake hadi kufikia nafasi hiyo ya mkuu wa Mkoa, hivyo amewashukuru kwa ushirikiano wao waliouwonesha na kuwataka waendelee hivyo hivyo hata kwa mkuu huyu mpya wa wilaya.
Amesema Kimanta ameacha alama kubwa na nzuri sana katika wilaya hiyo na kuaidi kuyaendeleza yale waliyoweza kujifunza kutoka kwake huku wakishirikiana na Mkuu mpya wa wilaya.Mkuu huyo wa Mkoa wa Arusha amekabidhi ofisi yake ya zamani ya wilaya kwa mkuu mpya wa wilaya hiyo baada ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha mapema wiki hii.
Akizungumza Mara baada ya kukabithiwa ofisi ACP Balele aliahidi kumpa ushirikiano Mkuu wa mkoa Arusha na pia Kuwapa ushirikiano watumishi wa idara zote.Tayari mkuu huyo wa Wilaya amenza kazi ikiwa pamoja na kwa Kuendelea kusikiliza Wananchi na kutatua changamoto zao wanaofika ofisini kwake.Pia amefanya ziara ndogo kwa kutembea Kituo cha Polisi Monduli na kuzungumza na maafisa wa polisi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-FfJnxUXLJj0/XvXscg-zclI/AAAAAAALvjA/zonwijo43usXSk-CO5Sg4BJ0xvJJfxHhgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200625-WA0526.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZzF58Hhfx50/XvXsc-cMW5I/AAAAAAALvjE/6TZ1NalWwDM6feAOncrg8PBX96fKqP3XACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200625-WA0531.jpg)
Mkuu wa wilaya Mpya wa Monduli ACP Edward Jotham Balele akiongea na Wakuu wa Idara, Watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Monduli, Wachungaji na watu mbalimbali mara baada ya kukabidhiwa ofisi kutekeleza Majukumu yake ya Ukuu wa Wilaya ya Monduli kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Iddi Kimanta ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-2AIFBBCtbic/XvXsc0zKHbI/AAAAAAALvjI/bTt41g3wTBow0q3kjt33H2xJZ0F99zvMACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200626-WA0014.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-p_GlH3MVqhc/XvTK5QCUPHI/AAAAAAAEYhk/dVQ13vcz0YYALhbhuQ7d25XU1OjfUYxZQCLcBGAsYHQ/s72-c/641846d6-53f2-40f6-923a-532341377a41.jpg)
IDD HAMAD IDD AJITOSA KUCHUKUA FOMU ZA KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-p_GlH3MVqhc/XvTK5QCUPHI/AAAAAAAEYhk/dVQ13vcz0YYALhbhuQ7d25XU1OjfUYxZQCLcBGAsYHQ/s640/641846d6-53f2-40f6-923a-532341377a41.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mAkEKFjQKks/XvTLb2Xl5BI/AAAAAAAEYhs/YIdAKE6eG8Ewq3FsriYU0RQ6XWeCkAKigCLcBGAsYHQ/s640/ndg.%2Bidd%2Bhamad%2Bidd%2B%25281%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi25 Jun
AJALI YA BOTI KIGOMA TISA WAFARIKI DUNIA
Na Editha Karlo, KigomaWATU tisa wamefariki baada ya boti la abiria kuzama katika ziwa Tanganyika.
Kamanda wa polisi mkoa wa Kigoma Kamishna msaidizi MARTIN OTTIENO amethibitsha kutokea kwa ajali hiyo katika eneo la rasini na kusema kuwa Boti ilo liitwalo mv Nzeimana linalofanya safari zake kati ya Kijiji cha Sibwesa na ikola limezama likiwa abiria sitini ambapo abiria hamsini na moja wameokolewa.
Aidha Kamanda OTTIENO amesema chanzo cha ajali hiyo ni upepo mkali uliosababisha boti hilo kukosa muelekeo na hatimaye kupinduka.
Kamanda wa polisi mkoa wa Kigoma Kamishna msaidizi MARTIN OTTIENO amethibitsha kutokea kwa ajali hiyo katika eneo la rasini na kusema kuwa Boti ilo liitwalo mv Nzeimana linalofanya safari zake kati ya Kijiji cha Sibwesa na ikola limezama likiwa abiria sitini ambapo abiria hamsini na moja wameokolewa.
Aidha Kamanda OTTIENO amesema chanzo cha ajali hiyo ni upepo mkali uliosababisha boti hilo kukosa muelekeo na hatimaye kupinduka.
5 years ago
MichuziMBUNGE YOSEPHER AWAPA MBINU WANAWAKE WANAOTAKA KUWANIA NAFASI ZA UONGOZI UCHAGUZI MKUU
Makamu Mwenyekiti wa Chama Demokrasia na Maendeleo Chadema Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia Chama hicho Yosepher Komba akiwa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwanamke na Uongozi Shamira Mshangama
Makamu Mwenyekiti wa Chama Demokrasia na Maendeleo Chadema Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia Chama hicho Yosepher Komba na Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwanamke na Uongozi Shamira Mshangama wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya washiriki
Makamu Mwenyekiti wa Chama Demokrasia na Maendeleo Chadema Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia Chama hicho Yosepher Komba na Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwanamke na Uongozi Shamira Mshangama wakiwa kwenye picha ya pamoja.
MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (Chadema) Yosepher Komba amewapa mbinu wanawake wanaotaka kuwania nafasi za uongozi kwenye uchaguzi mkuu ujao utakaofanyika mwezi Octoba mwaka huu hapa nchini ili kuweza kushinda kwenye maeneo yao.
Ametoa mbinu hizo wakati akizungumza katika semina maalumu iliyoandaliwa na Shirika lisilokuwa la kiserikali la Wanawake na Uongozi yenye makao makuu yake Jijini Dar es Saalam ambapo alisema upo umuhimu wao kuzingatia hayo iwapo wana dhamira ya dhati kutaka kugombea nafasi za uongozi.
Semina hiyo ilishirikisha wajumbe wanawake kutoka vyama vitano vyenye uwakilishi ambavyo ni Chadema, CCM, NCCR Mageuzi, ACT na Chama cha Wananchi CUF ambapo aliwausia wajumbe hao kutambua kuwa kampeni za uchaguzi sio rahisi na wanavyofikiria.
Yosepher ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Kanda ya Kaskazini alizitaja mbinu hizo ni rasilimali watu, muda, fedha na taarifa ya eneo husika vitu ambavyo vikizingatiwa na mgombea yoyote anaweza kupata mafanikio katika harakati zake za kisiasa.
“Ndugu zangu hizo ni mbinu muhimu sana hasa unapotaka kusaka uongozi wa kisiasa hivyo tambueni rasilimali watu mnapaswa kulipa kipaumbele sana kwani ndio silaha ya ushindi na kuweza kuwafikisha kwenye mahali mnapotaka”Alisema Makamu Mwenyekiti huyo.
Aidha aliwataka wanasiasa wanawake mkoani Tanga kujiamini na kuchukua hatua pindi wanapojitokeza kuomba kuwania nafasi mbalimbali za uongozi ili kufanikisha ndoto zao wa kuwatumikia wananchi katika maeneo mbalimbali
Awali akizungumza wakati wa mafunzo hayo, Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwanamke na Uongozi Shamira Mshangama alisema katika mafunzo ya siku mbili yalikuwa yamejikita kuhamasisha wasichana walio ndani ya vyama vya siasa kuweza kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za kuchaguliwa kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Alisema mafunzo hayo yameshirikisha vyama vitano ambapo kila kimoja kimetoa wajumbe sita walikuwa na utayari wa kutia nia ya kuwania nafasi za uongozi kwenye uchaguzi mkuu ujao ikiwemo ubunge na udiwani ili waweze kuwa chachu ya mabadiliko kwenye jamii.
Mkurugenzi huo alisema kwamba mradi huo wa “Nakataa Vikwazo Nagombea” unaendeshwa na Shirika la Mwanamke na Uongozi ukiwa umefadhiliwa na Shirika la Voice.
5 years ago
MichuziSERIKALI IMEFANIKIWA KATIKA VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KWA ASILIMIA 90
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa kliniki ya Methadone katika Hospitali ya Bombo jijini Tanga.Kliniki hiyo imejengwa kwa thamani ya Sh milioni 17.Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigela na kushoto kwake ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) James Kaji.
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa kliniki ya Methadone katika Hospitali ya Bombo jijini Tanga.Kliniki hiyo imejengwa kwa thamani ya Sh milioni 17.Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigela na kushoto kwake ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za
Kulevya(DCEA) James Kaji.
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akizungumza mara baada ya uzinduzi huo kulia ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) James Kaji.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) James Kaji akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi huo kushoto ni Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu.
Mkurugenzi Msaidizi wa Magonjwa yasiyoambukiwa Wizara ya Afya Dkt James Kiologwe akizungumza wakati wa uzinduzi huo kushoto ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) James Kaji
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari akizungumza wakati wa halfa hiyo
MKURUGENZI Mkazi wa Amref Health Africa Dkt Florence Temu akizungumza wakati wa uzinduzi huo.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) James aji kushoto akiteta jambo na Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy kabla ya uzinduzi huo katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akizindua mpango wa Matibabu ya Methadone kwa waathirika wa Dawa za Kulevya jijini Tanga jana,Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigella akionesha mpango huo na kushoto kwake anayepiga makofi ni
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) James Kaji
Sehemu ya wadau mbalimbali wakifuatilia uzinduzi huo
Meneja wa NHIF Mkoa wa Tanga Ally Mwakababu akiwa na wadau wengine wakifuatilia matukio mbalimbali kwenye uzinduzi huo
SERIKALI imefanikiwa katika vita dhidi ya mapambano ya uingizaji,matumizi ya dawa za kulevya kwa asilimia 90 tangu Serikali ya Awamu ya Tano ilipoingia madarakani.
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu pamoja na Kamisha Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) James Kaji katika hafla fupi ua uzinduzi wa kituo cha huduma za Methadone katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Tanga ya Bombo leo.
Waziri Ummy ambaye alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi huo wa kituo hicho ambacho ujenzi wake umegharimu fedha kiasi cha Sh milioni 17 ambazo kati ya fedha hizo Sh milioni 14 zimetolewa na serikali ya Marekani kupitia mradi wa PEPFAR kupitia Shirika lilsilokuwa la kiserikali la Amref Health Africa.
Alisema na Sh milioni 3 zimetokana na fedha za ndani za hospitali asema kuwa katika kipindi hicho serikali katika juhudi zake imefanikiwa kuwakamata wauzaji wakubwa wa dawa za kulevya ambapo pia wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupunguza matumizi ya dawa hizo. Kituo hicho tangu kianze kazi Juni 15 tayari kina wateja 37 wanaotumia dawa za methadone.
Amesema kuwa kwa mujibu wa takwimu za Wizara kuhusu hali ya dawa za kulevya na maambukizi ya VVU nchini ya mwaka 2014 zinaonesha kuwa Tanzania inakadiriwa kuwa na jumla ya waathirika wa dawa za kulevya kati ya 200,000-350,000.
Ambapo kati yao waathirika takribani 30,000 wanatumia dawa zakulevya kwa njia ya kujidunga huku kukiwa na makadirio ya asilimia 35 ya kiwango cha maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) kwa wanaojidunga wakati katika hali ya kawaida kila watu 100 wasiotumi a dawa watu 5 wana maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.
Amefafanua kuwa baada ya mapambano hayo,hali ya maambukizi kwa kundi la watu wanaotumia dawa zakulevya kwa njia ya kujidunga imepungua kutoka asilimia 35 hadi asilimia 10 na kwa
upande wa mkoa wa Tanga una zaidi ya waathirika wa dawa za kulevya 5,190 wa dawa za kulevya aina ya Heroin.
Alisema kiwango ambacho kinakadiriwa kuwa ni sawa na watu 47 watu wazima kwa kila watu 100,000 na hivyo kuufanya mkoa wa Tanga kuwa pili Tanzania kwa waathirika wa dawa za kulevya.
Amesema kuwa katika kuhakikisha mapambano hayo yanaendelea baada ya kuzidua kituo hicho cha Kliniki ya muda ya Methadone na kufanya Tanzania kuwa na vituo vya aina hiyo nane ambapo hadi sasa takribani waathirika 8,071 wanapatiwa huduma za Methadone ambapo kati yao wanawake ni 480 na wanaume ni 7,591.
Waziri huyo alisema Serikali inajenga jengo jingine la kudumu katika hospitali hiyo ya bombo lenye ghorofa tatu ujenzi ambao unakadiriwa kuwa kugharimu Sh milioni 736,705,586 fedha ambazo zinatolewa naMfuko wa Dunia(Global Fund) kupitia Wizara ya Afya pamoja na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) ambapo unatarajiwa kukamilika
kabla ya Disemba 30 mwaka huu.
Aidha,ametaka pia vituo hivyo vijengwe kwenye hospitali zote katika ngazi za halmashauri ili viweze kuwahudumia watu wengi zaidi bila gharama ambapo vituo vingine vipo katika Jiji la Dar es Salaam katika hospitali za rufaa za Mwananyamala,Muhimbili na Temeke,mkoani Mbeya katika Hospitali ya Rufaa ya Nyanda zaJuu Kusini,Sekou Toure mkoani Mwanza,Bagamoyo mkoani Pwani na Itega mkoani Dodoma.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya,James Kaji amesema kuwa Tanzania ilisifiwa kwa kuonesha mafanikio katika vita dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya kwa asilimia 90 katika mkutano wa Kimatatifa uliofanyika Geneva nchini Uswisi mwezi Machi mwaka huu.
Amebainisha mafanikio ni kutokana na Mamlaka hiyo kukamata wafanyabiashara wa dawa za kulevya,kutoa elimu kwa jamii na kupunguza madhara kwa waathirika wa dawa za kulevya(harm reduction).
Amesema kuwa katika taarifa za dawa za kulevya za mamlaka hiyo mwaka 2019,walifanikiwa kukamata bangi tani 21,kuteketeza mashamba ya bangi ekari 22,kukakamata mirungi tani 9 na kilo 20 za dawa za kulevya aina uya Heroin,Cocaine kilo 10 na kuwakata watuhumiwa wa dwa za kulevya wapatao 10,384.
Ametoa wito kwa Watanzania kutowanyanyapaa waathirika wa dawa za kulevya badala yake wapelekwe kweny vituo vya kliniki za methadone.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigela amesema mkoa wa Tanga upo katika mapambano makuu matatu ya uingizwaji wa dawa za kulevya,upitishwaji wa magendo na waamiaji haramu,hivyo serikali ya mkoa inaweka juhudi zaidi katika kudhibiti hayo.
Mashuhuda watatu wa dawa za kulevya ambao wapo katika kliniki hiyo ya muda a Methadone mkoani hapa wamebainisha baadhi ya mambo yanayowafanya vijana wengi kujiingiza katika matumizi ya dwa za kulevya kuwa ni tama ya pesa,kujiingiza katika starehe na ushawishi.
Yusufu Salim mkazi wa Ngamiani Kati amesema yeye alijiingiza katika matumizi ya dawa za kulevya tangu akiwa anasoma kidato cha tatu baada ya kutumika kuwa mbebaji wa dawa hizo kwa miaka 11 kwa tamaa ya kupata fedha nyingi.
Mwajuma Juma mkazi wa Dar es salaam amesema kuwa yeye aliingizwa katika matumizi ya dawa za kulevya kwa kushawishiwa na mume wake wakati Ally Juma mkazi wa Tanga anasema kuwa yeye alijiingiza katika matumizi hayo baada ya kuwa na pesa nyingi nakuona starehe kubwa
nai hiyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9S7NxHQ0zQE/XvMkiNITjoI/AAAAAAALvOM/MEifGWvRmAcJa3PZDFZebx6ZYqbH5DIBgCLcBGAsYHQ/s72-c/65392720-c3d6-4dd6-ac2a-0493157b2c15.jpg)
UMOJA WA WAWAKILISHI WANAWAKE (UWAWAZA) WAMPONGEZA MAMA MWANAMWEMA SHEIN.
![](https://1.bp.blogspot.com/-9S7NxHQ0zQE/XvMkiNITjoI/AAAAAAALvOM/MEifGWvRmAcJa3PZDFZebx6ZYqbH5DIBgCLcBGAsYHQ/s640/65392720-c3d6-4dd6-ac2a-0493157b2c15.jpg)
MWENYEKITI wa Wawawakilishi Wanawake Zanzibar (UWAWAZA) ni Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Mgeni Hassan Juma akitowa pongeza kwa Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, kwa ushirikiano wake kikamilifu katika shughuli za maendeleo mbalimbali zikiwemo za Kijamii.(Picha na Ikulu)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bOIpv46YEJU/XvIRQsDU-4I/AAAAAAALvFA/DhPxEfiJZ1MPMmHGrEpY9HTyCo759k8TQCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-10-2048x1385.jpg)
Mchungaji Rose achangia gharama za matibabu ya mtoto anayetibiwa JKCI
![](https://1.bp.blogspot.com/-bOIpv46YEJU/XvIRQsDU-4I/AAAAAAALvFA/DhPxEfiJZ1MPMmHGrEpY9HTyCo759k8TQCLcBGAsYHQ/s640/Picha-1-10-2048x1385.jpg)
Mkuu wa kitengo cha Ustawi wa Jamii na Lishe wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Asha Salum akimkabidhi Mr. Jackson Msilambo Tsh. 4,370,000/= zilizotolewa na Mchungaji Rose Shaboka kutoka kanisa la New Day Church kwa ajili ya gharama za matibabu ya mtoto wake anayetibiwa JKCI leo Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Picha-2-10-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Picha-4-8-scaled.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TI4EUdeNYJ8/XvHnIzesV7I/AAAAAAALvD4/XPB6L_6sOXIbSulAmbQSOXCfatbC4WUEwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B2.18.12%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MAHAKAMA YAMFUTIA MASHTAKA MFANYABIASHARA WA DAWA ZA KULEVYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TI4EUdeNYJ8/XvHnIzesV7I/AAAAAAALvD4/XPB6L_6sOXIbSulAmbQSOXCfatbC4WUEwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B2.18.12%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemfutia mashtaka Mfanyabiashara Mussa Mohamed aliyefikishwa mahakamani hapo leo Juni 23, 2020 akikabiliwa na mashtaka ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroine.
Hatua hiyo imekuja baada ya Wakili wa Serikali, Sylvia Mitanto kudai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Yusto Ruboroga kuwa upande wa mashtaka hauna nia ya kuendelea kumshitaki Mohamed kwa kosa hilo.
Aliomba mahakama kufuta shauri hilo chini ya kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai.
![](https://1.bp.blogspot.com/-VEZ2X_47o3k/XvHnI6yWVBI/AAAAAAALvD0/3_H7_kuKa-IJ9DeCpeOpfIKP6cfUouXuwCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B2.18.12%2BPM.jpeg)
Alidai mshitakiwa alikutwa akisafirishwa dawa za kulevya aina ya heroine zenye gramu 101.71.
Hata hivyo mshitakiwa alikana mashitaka na upande wa mashitaka ulidai upelelezi wa shauri hilo bado haujakamilika na kisha wakawasilisha ombi la kumfutia mashtaka.
Hakimu Ruboroga alikubaliana na maombi ya upande wa mashitaka na kuondoa shauri hilo pamoja na kumuachia huru mshitakiwa.
Hata hivyo, mshitakiwa huyo amekamatwa tena na kupelekwa mahabusu ya mahakamani hapo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Djne6x46ODY/Xu8jB7KTDJI/AAAAAAALuzA/alONzZnzPOkZrjfL3IqvZvmQvI0d92moACLcBGAsYHQ/s72-c/National_Electoral_Commission_%2528Tanzania%2529_Logo.png)
SHERIA ZA UCHAGUZI ZINAZOJIKITA KWENYE MRENGO WA JINSI YA USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA UONGOZI,WENYE AZMA YA UPATIKANAJI WA HAKI ZA WANAWAKE.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Djne6x46ODY/Xu8jB7KTDJI/AAAAAAALuzA/alONzZnzPOkZrjfL3IqvZvmQvI0d92moACLcBGAsYHQ/s200/National_Electoral_Commission_%2528Tanzania%2529_Logo.png)
Mtandao wa wanawake,Katiba,Uongozi na Uchaguzi,kwa udhamini wa mfuko wa wanawake Tanzania(WFT)hivi karibuni uliendesha mada ya uchambuzi wa sheria tano za uchaguzi zilizojikita kwenye wa mrengo wa jinsi ya ushiriki wa wanawake katika uongozi unaolenga kwenye azma ya upatikanaji wa haki za wanawake na ujenzi wa nguvu za pamoja katika kuendeleza utetezi wa ukombozi wa kimapinduzi
Mkutano huo ulifanyika kwa njia ya mtandao wa zoom ulioendeshwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko Wanawake Tanzania(WFT) Profesa Ruth Meena kwa waandishi wa habari, alisema kuwa uchambuzi huo umeainisha mapengo ya jinsia katika sheria tano zilizochambuliwa, kwa kuzingatia misingi usawa wa kijinsia, ambapo umebainishwa katika njia tatu ambazo ni ngazi ya Kimataifa,Kitaifa na Kikanda.
Sheria hizo ni pamoja na :sheria ya uchaguzi ya mwaka sura 343 ya 2015.Sheria ya uchaguzi ya zanzibar ya mwaka namba 4 ya mwaka (2018)Sheria ya uchaguzi ya serikali za mitaa namba 4 ya mwaka 1979 sura 292 kama ilivyofanyiwa marekebisho 2010 na mwaka 2015 ,sheria ya serikali za mitaa mamlaka za wilaya sura 287 (kama ilivyorekebishwa 2002)Sheria za serikali za mitaa za mamlaka za miji sura 288 na mamlaka za wilaya sura ya 287 vilevile katiba zote mbili zilichambuliwa
Katika ngazi ya Kimataifa Tamko la kimataifa kuhusu haki za kibinadamu 1948,ambao limebainisha msingi wa kutokubaguliwa katika kifungu cha 2 kinakiri kila bindamu ana haki na nguvu sawa bila kubaguliwa kwa misingi ya rangi utaifa jinsi ,lugha na itikadi za kisiasa.
Aidha Mkataba wa kimataifa kuhusu haki za wanawake za kisiasa mwaka 1952,ulikiri wanawake kama ilivyo kwa wanaume wanahaki sawa ya kupiga kura ,kifungu cha 2 cha mkataba huo kinasisitiza,wanawake wanahaki sawa ya kushiriki nafasi zote za uongozi kama wanaume.
Mkataba wa maridhiano wa mwaka 2000 charter ya umoja huo iliingiza na kubainisha misingi ya usawa wajinsia katika kifungu 4(1),Katika makubaliano ya wananchama wa umoja wa Afrika yaliyofanyika Lome mwaka 2000,Sheria hiyo ilibainisha msingi wa amani,uhuru,haki na usawa kama nguzo kuu zitakazoongoza umoja huoMkataba wa umoja wa Afrika wa demokrasia uchaguzi na utawala bora,huo ni mkataba ambao umebainisha misingi ya usawa katika ujenzi wa afrika yenye kuendeshwa kwa kuzingatia demeokrasia na utawala bora
Aidha Itifaki ya maputo imezitaka nchi za umoja wa Afrika kuchukua hatua za makusudi kisheria, kisera na mipango ili kutokomeza ubaguzi wa aina yeyote ambapo tamko la shirika la maendeleo ya nchi za kusini mwa afrika SADC ,2005 liliweka kiwango cha jinsia chini ya uwakilishi wanawake kuwa asilimia 30% na baadae kukipandisha kuwa asilimia 50% katika ngazi zote za uwakilishi na za maamuzi katika vyombo vya umma.
Mambo yaliyojitokeza katika uchambuzi katiba zote mbili pamoja na sheria zilizochambuliwa hazina vikwazo vina,vyoashiria ubaguzi wa jinsia kwa mfano takribani asilimia 95% ya wapigakura waliojiandikisha kwa mwaka 2015,walipiga kura wanawake wakiwa asilimia 53%ya wapigakura wote wa mwaka huo(NEC 2016)kulikuwepo na ongezeko la wanawake waliojiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi huo 2015 kwa asilimia 4.4% ya wale waliojiandikisha katika uchaguzi wa 2010.
''Ongezeko la wapigakura wanawake limetokana kuwepo kwa wadau wengi na walitambua kura ya mwanamke kuwa ni (turufu ya ushindi,)kwa upande wa vyama vya siasa katika mfumo wa uchaguzi unaongowa na mfumo wa msingi wa mshindi anapata zote kila kura inathamani kwa mshindi''alisema Pro.Meena
Prof.Meena aliitaja misingi hiyo ya usawa wa jinsia katika uchaguzi kuwa ni pamoja na :Kutokubaguliwa kwa njia yeyote kwenye mchakato wa uchaguzi,haki ya kupiga kura, kuteuliwa,haki ya kufikia na kutumia rasilimali za uchaguzi ,haki ya kuhabarishwa na kusikilizwa na haki ya kuchaguliwa.
Prof.Meena aliwataka kuchambua masuala ya jinsia katika mchakato wote wa uchaguzi ili kuweza kuibua masuala ya wakati wa uchaguzi kama sehemu ya utetezi wa haki za wanawake katika uongozi
''Tamko la Kimataifa kuhusu haki za Binadamu (1948)ambalo limebainisha msingi wa kutobaguliwa katika kifungu cha 2 kinakiri kila binadamu ana haki na uhuru sawa,bila kubaguliwa kwa misingiya rangi,utaifa jinsi lugha na itikadi za kisiasa'' alisema Prof.Meena.
Alisema mkataba wa Kimataifa kuhusu haki za wanawake za kisiasa mwaka 1952 ulikiri wanawake kama ilivyo kwa wanaume wana haki sawa ya kupiga kura kifungu cha 2 cha mkataba huu kinasisistiza wanawake wanahaki sawa za kushiriki katika nfasi zote wanahaki sawa kama wanaume.
Aidha mkataba wa Kimataifa wa kutokomeza aina zote za ubaguzi didhi ya wanawake 1979 ,unasisitiza kwamba ubaguzi dhidi ya wanawake ni ukiukaji wa haki zao za msingi na hususani haki ya kuheshimu utu wao ,na haki zao za msingi ,mpango kazi wa Berjin mwaka 1995 uliotokana na mkutano wa nne wa kimataifa wa wanawake ,uliobainisha maeneo 12 mahususi ya kufanyia kazi kwenye kupambana na ubaguzi wajinsia.
Katika maeneo hayo 12 Tanzania ilibainisha maeneo ya awali 4 ya kipaumbele nayo ni pamoja na wanawake na umasikini,uwezeshwaji kisheria,suala la uwezeshaji kiuchumi na mtoto wa kike.
Katika ngazi ya Kanda,mkataba wa maridhiano wa mwaka 2000 chpater ya umoja huu iliingiza na kubainisha misingi ya usawa wa jinsia katika kifungu cha nne (1)katika makubaliano ya wanachama wa umoja wa Afrika yaliyofanyika huko Roma ya mwaka 2000 sheria hii ilibainisha misingi ya amani uhuru haki,na usawa kama nguzo kuu zitakazoongoza umoja huo.
Wanahabari wanapaswa kujielimisha kuhusui masuala ya jinsia katika mchakato wote wa uchaguzi ili kubaini mapengo ya utekelezwaji wa seria za uchaguzi kwa mrengo wa jinsia,.maarifa hayo yatawapa wanahabari nyenzo ya kutetea haki ya ushiriki ya wanawake katika mchakato wa uchaguzi.
Vyombo vya habari vinahimizwa kutumia takwimu za chaguzi zilizopita kama nyenzo ya utetezi,alisema kuwa ,wanawake wabunge waliochaguliwa katika uchaguzi wa ubunge wa jamhuri ya muungano wa tanzania ni 2005-2010,idadi ni 18 au 8%,2010-2015 idadi ni 21 sawa asilimia9%,2015 idadi 25 sawa na asilimia 9% m Mkataba wa umoja wa Afrika wa kidemokrasia uchaguzi wa utawala bora,huu ni mkataba ambao umebainisha misingi ya usawa katika ujenzi wa akwenye kurasa za mbele au kwenye vichwa vya habari.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa TAMWA Rose Reuben,alivishauri vya habari kuandoka makala mbalimbali na kutayarisha vipindi maalum vinavyolenga kuibua mjadala wa kitaifa, kuhusu ushiriki wawanawake katika mchakato wa uchaguzi ,sambamba na kutoa kipaumbele kwa wagombea wanawake kwenye matamko yao wakati wa kampeni, kutoa habari wakati wa kupiga kura, utakapofika kuhusu vitendo vya wanawake kunyimwa haki kupiga na kupigiwa kura.
Aidha wametakiwa kujielimisha katika masuala ya jinsia katika mchakato wote wa uchaguzi ili kubaini mapengo ya utekelezwaji wa sheria za uchaguzi kwa mrengo wa jinsia ,maarifa hayo yatatoa weledi kwa wanahabari nyenzo wa kutetea haki ya ushiriki wa wanawake katika mchakato wa uchaguzi ambapo vyombo vya habari vinahimizwa kutumia takwimu za uchaguzi zilizopita kama nyenzo ya utetezi,aliongeza Rose.frika yenye kuendeshwa kwa kuzingatia demokrasia na utawala bora .
Vilevile vyombo vya habari vimeshauriwa kuandika makala mbalimbali na kutayarisha vipindi maalum vinavyolenga kuibua mjadala wa kitaifa kuhusu ushiriki wawanawake katika mchakato wa uchaguzi,wagombea wanawake kipaumbele kwenye matamko yao wakati wa kampeni na wanahabari watoe taarifa wakati wa kupiga kura utakapofika kuhusu vitendo vya wanawake kunyimwa haki ya kupiga na kupigiwa kura.
Aidha waandishi wametakiwa kutambua kuwa wao ndio watafutaji wa habari,watafuteni wanawake haswa wale wenye kuonyesha nia wame chanzo cha habari ili kuhakikisha kuwa habari zinatoa taswira chanya ya wanawake wanaowania uongozi,kuhakiki matumizi ya lugha ili kuondoa lugha za kudhalilisha wanawake kushawishi wahariri watoe nafasi ya kwanza
''Ninyi ndiyo watafuta habari hivyo watafuteni wanawake na haswa wale wenyekuonyesha nia wawe chanzo cha habarikuhakikisha habari inatoa taswira chanya na wanawake wanaowania kuhakiki matumizi ya lugha na kuondoa zile lugha za kudhalilisha wanawake kusawishi wahariri watoe nafasi ya kwanza kwenye kusara za kwanza kwenye vichwa vya habari.Aidha wametakiwa kutoa taarifa kuhusu manyanyaso yanayowasibu wanawake wakati wa uchaguzi kwa nia ya kuyakemea
Sambamba na hayo wanahabari wametakiwa kujielimisha kuhusu haki za wanawake kama zilivyobainishwa kwenye mikataba,matamko ya maazimio ya kimataifa kikanda,na hata kwenye sheria za nchi ili maarifa hayo yatumike kwenye maandiko ya kutetea haki za wanawake,pamoja na kuchambueni masuala ya jinsia ,katika mchakato wote wa uchaguzi, ili kuweza kuibua masuala wakati wa uchaguzi,kama sehemu ya utetezi wa haki za wanawake katika uongozi
Vilvile haki ya kufikia na kupata habari kifungu cha 53(1&2)cha sheria ya uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inawapa wagombea wa Urais na wagombea wenza haki ya kutumia vyombo vya habari vya umma Tv&Radio iko kimya kuhusu gharama zake,vilevile iko kimya kuhusu vyombo binafsi .
Hata hivyo vifungu hivyo hivyo vinazitaka vyombo hivyo vya habari kutokuegemea upande wowote wakati wa kampeni,kwa upande wa Zanzibar haki ya kutumia vyombo vya habari vya umma ,inatolewa kwa mgombea katika aya ya 65(1)inampa kila mgombea haki ya kurusha hewani ilani ya chama chake kupitia vyombo vya habari vya umma.
Hivyo basi vyombo vya habari vinatakiwa kusimamia misingi ya usawa ,uadilifu na kutopendelea katika kuhudumia na kutangaza siasa ,hata hivyo tafiti zinaonyesha wanawake wanapata changamoto kubwa wakati wa kujinadi kupitia vyombo vya habari vya umma na vya binafsi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cHP17hb5YlE/Xu0FngeBUqI/AAAAAAALurM/whQf18wEBc0ceG98aqC6F7J02lgQPwStACLcBGAsYHQ/s72-c/20200619_102757.jpg)
BABU SEYA NA MKEWE WATEMBELEA MAKUMBUSHO YA MAJIMAJI SONGEA
Na Sixmund J. Begashe wa Makumbusho ya Taifa
Msanii maarifu Nguza Mbangu Viking maarufu kama "Babu Seya" na Mkewe Desderie P. Haule ambae pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Muheza Tanga, wamefanya Utali wa ndani mjini Songea kwa kuitembelea Makumbusho ya Maji Maji kwa lengo la kujifunza urithi wa historia ya Vita vya Maji Maji vilivyo tokea miaka ya 1905 hadi 1907.
Akizungumza baada ya kuitembelea Makumbusho hiyo Bw Viking ameipongeza Makumbusho ya Taifa kwa kuhifadhi urithi huo wa kihistoria kwani umempatia nafasi ya kujifunza kwa kuona namna mababu zetu walivyo tanguliza uzalendo katika kupigania haki na heshma yetu.
"Nimejifunza mambo mengi, japo yanaumiza sana lakini yanatupa faraja na ujarisiri katika kuendelea kulinda heshma yetu kama watanzania, Mashujaa wa Maji Maji wamesha timiza wajibu wao sasa kazi ni kwetu hasa katika kuunga mkono jitihada za Mhe Rais wetu Dkt John Pombe Magufuli katika kuleta maendeleo nchini" Alisema Bw Viking.
Nae Mke wa Viking Bi Desderie Haule licha ya kufurahia Utalii huo wa ndani katika kipindi chake cha likizo alisema kuwa ipo haja hasa vijana kuitembelea Makumbusho hiyo ya Vita vya Maji Maji ili kujifunza, uzalendo, upendo, kujituma na mengineyo ambavyo ni misingi bora ya uongozi utakao nufaisha Taifa Leo kama tunavyo nufaika sasa kupitia Mhe Rais wetu ambae ni Mzalendo Dkt John Pombe Magufuli
Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho nchini Dkt Noel Lwoga ambae yupo Songea kikazi amekutana watalii hao wa ndani (Familia ya Babu Seya) na kuwapongeza kwa kuitembelea Makumbusho hiyo na kutoa wito kwa wakazi wa Ruvuma na wote wanao ingia Songea kwenda katika Makumbusho hiyo ili kujione na kujifunza historia hadhimu ya Taifa hili kupitia Vita vya Maji Maji.
Msanii Nguli nchini na Mkewe Bw Nguza Mbangu Viking (Babu Seya) wakipata Maelezo kutoka kwa Mtaalamu wa Makumbusho ya Majimaji Songea Bw Erick Soko juu ya Historia ya Vita vya Majimaji.
Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Dkt Noel Lwoga wakiwapongeza Bw Viking na Mke wake Bi Desderia Haule kwa kuitembelea Makumbusho ya Majimaji Mjini Songea
Kulia Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Dkt Noel Lwoga akiongozana na Bw Viking na Mkewe wakitoka kuangalia Mnara wa Askari uliopo Makumbusho ya Maji Maji Mjini Songea.
Msanii maarifu Nguza Mbangu Viking maarufu kama "Babu Seya" na Mkewe Desderie P. Haule ambae pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Muheza Tanga, wamefanya Utali wa ndani mjini Songea kwa kuitembelea Makumbusho ya Maji Maji kwa lengo la kujifunza urithi wa historia ya Vita vya Maji Maji vilivyo tokea miaka ya 1905 hadi 1907.
Akizungumza baada ya kuitembelea Makumbusho hiyo Bw Viking ameipongeza Makumbusho ya Taifa kwa kuhifadhi urithi huo wa kihistoria kwani umempatia nafasi ya kujifunza kwa kuona namna mababu zetu walivyo tanguliza uzalendo katika kupigania haki na heshma yetu.
"Nimejifunza mambo mengi, japo yanaumiza sana lakini yanatupa faraja na ujarisiri katika kuendelea kulinda heshma yetu kama watanzania, Mashujaa wa Maji Maji wamesha timiza wajibu wao sasa kazi ni kwetu hasa katika kuunga mkono jitihada za Mhe Rais wetu Dkt John Pombe Magufuli katika kuleta maendeleo nchini" Alisema Bw Viking.
Nae Mke wa Viking Bi Desderie Haule licha ya kufurahia Utalii huo wa ndani katika kipindi chake cha likizo alisema kuwa ipo haja hasa vijana kuitembelea Makumbusho hiyo ya Vita vya Maji Maji ili kujifunza, uzalendo, upendo, kujituma na mengineyo ambavyo ni misingi bora ya uongozi utakao nufaisha Taifa Leo kama tunavyo nufaika sasa kupitia Mhe Rais wetu ambae ni Mzalendo Dkt John Pombe Magufuli
Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho nchini Dkt Noel Lwoga ambae yupo Songea kikazi amekutana watalii hao wa ndani (Familia ya Babu Seya) na kuwapongeza kwa kuitembelea Makumbusho hiyo na kutoa wito kwa wakazi wa Ruvuma na wote wanao ingia Songea kwenda katika Makumbusho hiyo ili kujione na kujifunza historia hadhimu ya Taifa hili kupitia Vita vya Maji Maji.
![](https://1.bp.blogspot.com/-cHP17hb5YlE/Xu0FngeBUqI/AAAAAAALurM/whQf18wEBc0ceG98aqC6F7J02lgQPwStACLcBGAsYHQ/s640/20200619_102757.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-y8QdIlygliM/Xu0Fn6ATkPI/AAAAAAALurQ/naVPmZ9X6-s3BwTxArvNHgBcu9y9uLKLgCLcBGAsYHQ/s640/20200619_115047.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-R-JNHufflAo/Xu0Fnv3K2-I/AAAAAAALurI/qlJdWWmOi74F6QhdhLlFU2ZfYqO6ogieQCLcBGAsYHQ/s640/20200619_115108.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gctU6T8RFoE/Xuo3iptHHsI/AAAAAAALuRw/TbBCpclqoEEGK63kb9vuUpiSYwl2-QbawCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_2103AAA-768x510.jpg)
WAZIRI MKUU ATIA SANI KITABU CHA MAOMBOLEZO KIFO CHA NKURUNZIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gctU6T8RFoE/Xuo3iptHHsI/AAAAAAALuRw/TbBCpclqoEEGK63kb9vuUpiSYwl2-QbawCLcBGAsYHQ/s640/PMO_2103AAA-768x510.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kwenye Ubalozi wa Burundi, Upanga jijini Dar es salaam, Juni 17, 2020. Wa pili kulia ni Balozi wa Burundi nchini, Mhe. Abayeho Gervais.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_2113AAAA-1024x610.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_2127AAAA-1024x660.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_2165AAAA-1024x657.jpg)
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Juni 17, 2020 ametia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza na kutoa pole kwa wananchi wa nchi hiyo kwa niaba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
“Kwa niaba ya Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli nimekuja hapa kutoa pole na salamu za rambirambi kwa Serikali na wananchi wa Burundi kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa nchi ya Burundi. Mheshimiwa Rais na Watanzania wote tumepokea kwa mshituko na masikitiko makubwa taarifa za kifo chake.”
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumatano, Juni 17, 2020) akiwa katika Ofisi za Ubalozi wa Burundi, Upanga jijini Dar es Salaam baada ya kusaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza aliyefariki Juni 9, 2020 kutokana na mshituko wa moyo.
Amesema Tanzania na Burundi ni nchi zenye historia ndefu na mshikamano wa muda mrefu, hivyo ametumia fursa hiyo kuwasihi wananchi wa Burundi wawe watulivu katika kipindi hiki cha majonzi. “Serikali ya Tanzania itaendelea kudumisha umoja na mshikamano kati yake na Burundi.”
Awali, Balozi wa Burundi nchini Tanzania, Balozi Abayeho Gervais ametumia fursa hiyo kumshukuru Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa ushirikiano mkubwa anaoutoa kwa Taifa hilo na kwamba anatarajia umoja na mshikano huo utadumu milele na milele.
“Tunamshukuru Rais wa Tanzania amepeleka ujumbe mkubwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete nchini Burundi kwa ajili ya kushuhudia uapishwaji wa Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye ambaye anatarajiwa kuapishwa kesho Juni 18.
Akizungumzia kuhusu kifo cha aliyekuwa rais wa nchi hiyo Balozi Gervais amesema wamepokea kwa mshtuko mkubwa kwa sababu alikuwa bado ni kijana akiendelea kufanya shughuli zake. “Hii yote ni mipango ya Mwenyezi Mungu na sote tupo safarini.”
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita.
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%.
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya Wananchi kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Chato,Mkuu wa Mkoa Geita, Mkuu wa Wilaya Chato na Diwani wa kata ya Muungano.
Ndugu Lubinga pia akiwa Wilayani Chato ametembelea na kukagua ujenzi wa ofisi ya Chama Cha Mapinduzi Tawi la Bomani kata ya Muungano ambapo wananchi hao na viongozi wa Tawi wamemshukuru Mkuu wa Mkoa Geita *Mhe.Eng Robert Gabriel* kwa kuwanunulia kiwanja hicho.
Pamoja na ukaguzi huo Ndugu Lubinga amewataka Viongozi na wanachama wa CCM Wilayani Chato kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kuendelea kumpa heshma Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania *Dkt John Pombe Joseph Magufuli* ambaye anatokea Wilayani CHATO.
Akiwa Wilayani Chato Ndugu Lubinga amesema ‘’Rais Magufuli ndio mtu pekee anayeweza kushughulika na matatizo ya Nchi na ya Watanzania wote tumeshuhudia kwenye janga la CORONA “ amewasisitiza viongozi wote kuwa wanapopewa madaraka waangalie matakwa ya mfumo na kutakiwa kuwa wanyenyekevu.
Wilayani Mbogwe, Mlezi huyo wa Mkoa wa Geita alikagua Ujenzi wa mradi wa vyumba 10 vya madarasa, bwalo la chakula, na mabweni mawili ya shule ya Sekondari Nyakasaluma.
Pamoja na hayo pia alipokea taarifa ya hali ya Kisiasa Wilaya ua Mbogwe na kukagua Ujenzi wa vyumba 22 vya madarasa katika shule ya msingi Kasandalala.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wqn41LHd0qY/Xumssim-ZFI/AAAAAAALuJs/nH3S-rkeshMC-0JXzRVefqDAwGem8bLmgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.54%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-F6wkglgW3M4/XumsssyigHI/AAAAAAALuJw/q_YnvtxbFwUlcOEldlxrmE7mTFcGdjYugCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.55%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-i-whJ7w2UyI/XumssZh_AgI/AAAAAAALuJo/-_-e0c3VbfImVBFKcQAlLHgOX4DC-YGcQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.56%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PheqtEYh_6Y/XujSw9KputI/AAAAAAALuEc/NzOuqZIwDuoLvf3xIbY9etWsDeOOff-ggCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.18.35%2BPM.jpeg)
MASHAHIDI 28 KUTOA USHAHIDI KATIKA KESI INAYOMKABILI MTUHUMIWA ANAYEDAIWA KUMUUA MKEWE KWA KUMCHOMA NA MAGUNIA MAWILI YA MKAA
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV .
JUMLA ya mashahidi 28 akiwemo Mtaalamu kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Hadija Mwema wanatarajia kutoa ushahidi katika kesi ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Hamis Said Luongo (38) anayedaiwa kumuua mke wake kwa kumchoma na magunia mawili ya mkaa.
Mbali na mashahidi hao, Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) atawasilisha mahakamani hapo vielelezo sita ikiwemo ramani ya tukio la mauaji, maelezo ya onyo ya mshitakiwa, ungamo la mshitakiwa kwa mlinzi wa amani, hati ya kuhodhi mali, ripoti ya Mkemi Mkuu wa Serikali.
Hayo yameelezwa leo Juni 26, 2020 na Hakimu Mkazi Mkuu, Richard Kabate ambaye amesema kesi ya mshtakiwa huyo itasikilizwa Mahakama Kuu na kwamba ushahidi dhidi yake utatolewa naye atapata nafasi ya kujitetea na kuita mashahidi kama atakuwa nao.
"DPP ameifahamisha Mahakama hii kuwa atatumia vielelezo mbalimbali katika kuendesha ushahidi ambao ni kutoka kwa mashahidi 28 na vielelezo sita," amesema Hakimu Kabate.
Hata hivyo, mshitakiwa alipohojiwa kama atakuwa na utetezi pamoja na mashahidi wa kupeleka mahakamani, Luwonga alidai atajitetea mwenyewe na kwamba hatakuwa na shahidi kwani angeweza kuwaleta ndugu zake na wa upande wa marehemu mke wake kuelezea matatizo yaliyotokea lakini atasimama mwenyewe.
Pia alidai kuwa, ana makovu yaliyosababishwa na kuchomwa visu na mke wake kutokana na ugomvi wa mara kwa mara kati yao lakini hawezi kuyatoa kama kielelezo.
Baada ya kueleza hayo, Hakimu Kabate alisema "Jalada linafungwa na kupelekwa Mahakama Kuu hivyo, utakuwa mahabusu kusubiri kikao kitakachopangwa na Msajili wa Mahakama na utapewa nakala ya jalada la mwenendo wa kesi hii kuanzia ulivyopandishwa kizimbani Julai 30,2019."
Baada ya kueleza hayo, mshtakiwa aliomba tena muongee ambapo alipata ruhusa alidai mahakamani hapo kuwa alimwandikia barua Mfawidhi wa Mahakama hiyo kuhusu ndugu wa upande wa mke wake wamekuwa wakimkataza mtoto wake kwenda Kwa ndugu zake ili waweze kumsomesha kwa kuwa Mali na fedha zipo zitakazosaidia kulipa ada yake ya shule.
"Mtoto wangu anaishi na ndugu wa mke wangu ninaomba mtoto wangu nimuhudumie lakini kinachojitokeza hawa ndugu wanampa maneno ya sumu ili mtoto anichukie,"alidai Luongo.
Katika kesi hiyo ya mauaji namba 4 ya mwaka 2019, mshitakiwa Luwonga ambaye ni Mkazi wa Kigamboni, Dar es Salaam anadaiwa Mei 15, mwaka huu akiwa maeneo ya Gezaulole Kigamboni kwa makusudi alimuua mke wake Naomi Marijani kwa kumchoma moto kwa maguia mawili ya Mkaa.
Inakumbukwa kuwa Hamis anadaiwa kumuua mke wake Naomi kisha kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa ambapo alichukua majivu ya marehemu na kwenda kuyafukia shambani kwake.
Mfanyabiashara Hamis Said Luongo (38) anayedaiwa kumuua mke wake kwa kumchoma na magunia mawili ya mkaa akitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo mara baada ya kusomewa mastaka yanayomkabiri.
JUMLA ya mashahidi 28 akiwemo Mtaalamu kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Hadija Mwema wanatarajia kutoa ushahidi katika kesi ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Hamis Said Luongo (38) anayedaiwa kumuua mke wake kwa kumchoma na magunia mawili ya mkaa.
Mbali na mashahidi hao, Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) atawasilisha mahakamani hapo vielelezo sita ikiwemo ramani ya tukio la mauaji, maelezo ya onyo ya mshitakiwa, ungamo la mshitakiwa kwa mlinzi wa amani, hati ya kuhodhi mali, ripoti ya Mkemi Mkuu wa Serikali.
Hayo yameelezwa leo Juni 26, 2020 na Hakimu Mkazi Mkuu, Richard Kabate ambaye amesema kesi ya mshtakiwa huyo itasikilizwa Mahakama Kuu na kwamba ushahidi dhidi yake utatolewa naye atapata nafasi ya kujitetea na kuita mashahidi kama atakuwa nao.
"DPP ameifahamisha Mahakama hii kuwa atatumia vielelezo mbalimbali katika kuendesha ushahidi ambao ni kutoka kwa mashahidi 28 na vielelezo sita," amesema Hakimu Kabate.
Hata hivyo, mshitakiwa alipohojiwa kama atakuwa na utetezi pamoja na mashahidi wa kupeleka mahakamani, Luwonga alidai atajitetea mwenyewe na kwamba hatakuwa na shahidi kwani angeweza kuwaleta ndugu zake na wa upande wa marehemu mke wake kuelezea matatizo yaliyotokea lakini atasimama mwenyewe.
Pia alidai kuwa, ana makovu yaliyosababishwa na kuchomwa visu na mke wake kutokana na ugomvi wa mara kwa mara kati yao lakini hawezi kuyatoa kama kielelezo.
Baada ya kueleza hayo, Hakimu Kabate alisema "Jalada linafungwa na kupelekwa Mahakama Kuu hivyo, utakuwa mahabusu kusubiri kikao kitakachopangwa na Msajili wa Mahakama na utapewa nakala ya jalada la mwenendo wa kesi hii kuanzia ulivyopandishwa kizimbani Julai 30,2019."
Baada ya kueleza hayo, mshtakiwa aliomba tena muongee ambapo alipata ruhusa alidai mahakamani hapo kuwa alimwandikia barua Mfawidhi wa Mahakama hiyo kuhusu ndugu wa upande wa mke wake wamekuwa wakimkataza mtoto wake kwenda Kwa ndugu zake ili waweze kumsomesha kwa kuwa Mali na fedha zipo zitakazosaidia kulipa ada yake ya shule.
"Mtoto wangu anaishi na ndugu wa mke wangu ninaomba mtoto wangu nimuhudumie lakini kinachojitokeza hawa ndugu wanampa maneno ya sumu ili mtoto anichukie,"alidai Luongo.
Katika kesi hiyo ya mauaji namba 4 ya mwaka 2019, mshitakiwa Luwonga ambaye ni Mkazi wa Kigamboni, Dar es Salaam anadaiwa Mei 15, mwaka huu akiwa maeneo ya Gezaulole Kigamboni kwa makusudi alimuua mke wake Naomi Marijani kwa kumchoma moto kwa maguia mawili ya Mkaa.
Inakumbukwa kuwa Hamis anadaiwa kumuua mke wake Naomi kisha kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa ambapo alichukua majivu ya marehemu na kwenda kuyafukia shambani kwake.
![](https://1.bp.blogspot.com/-PheqtEYh_6Y/XujSw9KputI/AAAAAAALuEc/NzOuqZIwDuoLvf3xIbY9etWsDeOOff-ggCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.18.35%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-i8eiVQZESJU/XujSw8htftI/AAAAAAALuEY/IHowHIThr48KDSE_F04ORhTwkMU9OY0nQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.18.37%2BPM.jpeg)